Hivi lini hii dunia wajinga wataisha? Hivi msomi nae anaweza kuwa na vivyo hivyo ukawa mjinga! Dada Betty ujinga umekufanya upoteze maisha

nawakimbiza wote we na hao wapuuzi wenzako mpaka mnachoka na kuishiwa pumzi mnakosa hoja mnaanza kutukana. Popote mkiibuka na hoja za kipuuzi niko na nyinyi, badilishe id nisiwatambue, ila kwa mlivyo wajinga nitawatambua tu na kuwapa nakoz za uso. Hamjui kujenga washenzi wakubwa nyie
 
Huna akili wewe na wengi wamesha kutambua hivyo.
 
Miongoni mwa waumini wa kanisa la mchungaji Paul Makenzie wa nchini Kenya 🇰🇪 waliookolewa walipokuwa porini kwenye maombi ya kufunga ili kuonana na Yesu.

Ila pamoja na kuokolewa bado hawataki kula, wameshikilia msimamo wao wa kuendelea kufunga mpaka kufa ili wakakutane Yesu.

Hadi sasa waliokutwa wamezikwa baada ya kufariki wamefika watu 79 ambao tayari miili yao imefukuliwa na zoezi la uokozi bado linaendelea.
 

Attachments

  • IMG-20230426-WA0002.jpg
    58.8 KB · Views: 2
  • CamScanner 04-26-2023 16.12_1.jpg
    67.6 KB · Views: 2
Mamlaka zetu zijifunze Somo Kwa yaliyotokea Kenya na kuanza kuchuja makanisa yanayoendesha utapeli kabla madhara makubwa hayajalipata taifa. Kinga ni Bora kuliko tiba.
 
Mwanamke kwenye dini ni zaidi ya kiazi mdau.....unajiburuzia unavyotaka
Hao waliokufa wote ni wanawake!?
Tuwapige malimbwata tuu mfe mapema mtuache tukijivinjari

Sio mwanamke tu, mtu mwenye imani ya kijinga ni mtu hatari sana

Kujiita mkristo au muislamu ili mtu atimize uhalifu sio shida ya dini au imani. No shida ya mhalifu

Mathayo 24:24
Kwa maana watatokea Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, ikiwezekana, hata walio wateule.
 
Hao wachungaj wala wasihukumiwe jela, waamrishwe na wao wafunge had kufa, ukiuwa kwa upanga nawe uuawe kwa upanga
 
Yaliyojiri hivi punde kutoka Shule ya Msingi ya Mkerezage, katika wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani

Mwalimu:
Taja madini yayopatikana nchini Tanzania na kutuletea fedha za kigeni katika pato la taifa
Mwanafunzi:
Makiristo, Maislamu, Masabato, Malokole, Maupako, na Mamposa
Mwalimu:
Umetisha kijana !
 
Wewe choko huwezi kuelewa vitu vinavyohitaji akili,endelea kusugua kalio kwenye kochi hapo kwa shemeji yako huku ukisubiri ugali wa shikamoo,

Halafu nilisha kwambia acha kujilengesha,mimi sina time na machoko kama wewe.
 
Wewe choko huwezi kuelewa vitu vinavyohitaji akili,endelea kusugua kalio kwenye kochi hapo kwa shemeji yako huku ukisubiri ugali wa shikamoo,

Halafu nilisha kwambia acha kujilengesha,mimi sina time na machoko kama wewe.
umekazana choko, choko, ndio nini, hiyo ni tabia yako. Ndio maana ulialia id yako kuigwa. Ngoja wakuige tena ili ushike adabu
 
Unasemaje wewe?
Hao uliowataja wameamua nani? Au wapi uliona wametapeli Watu km huko Kenya?
Au wapi uliona wamewaamrisha Watu kufunga?
Au ndo umejisikia TU kuchafua majina ya Watu?
We mpuuzi kweli, na usipotubu , utashangaa sn!
Wewe ni mmojawapo wa waumini wa hao wachungaji walio tajwa

Huyo mwamposa ana ibada za kukanyaga mafuta ya upako aliua watu Moshi Kilimanjaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…