nawakimbiza wote we na hao wapuuzi wenzako mpaka mnachoka na kuishiwa pumzi mnakosa hoja mnaanza kutukana. Popote mkiibuka na hoja za kipuuzi niko na nyinyi, badilishe id nisiwatambue, ila kwa mlivyo wajinga nitawatambua tu na kuwapa nakoz za uso. Hamjui kujenga washenzi wakubwa nyieWe choko acha kujilengesha,unataka kunipangia maisha kiazi wewe? Huoni aibu kumfuatitilia kidume mpaka comment anazo like? Wewe ni kituko cha JF na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,ndio maana unapigwa spana humu kwa comment zako zilizojaa matapishi,hivi hujajishtukia tu bado?
Huna akili wewe na wengi wamesha kutambua hivyo.nawakimbiza wote we na hao wapuuzi wenzako mpaka mnachoka na kuishiwa pumzi mnakosa hoja mnaanza kutukana. Popote mkiibuka na hoja za kipuuzi niko na nyinyi, badilishe id nisiwatambue, ila kwa mlivyo wajinga nitawatambua tu na kuwapa nakoz za uso. Hamjui kujenga washenzi wakubwa nyie
Nimesikitika kuona kuna wanaume pia, tena wana ndevu kabisa 😁Ng'ombe nyingine hizi huku
Mamlaka zetu zijifunze Somo Kwa yaliyotokea Kenya na kuanza kuchuja makanisa yanayoendesha utapeli kabla madhara makubwa hayajalipata taifa. Kinga ni Bora kuliko tiba.Mackenzie anatofauti gani na hawa wabongo eti toa sadaka ya kujimaliza sijui kujiteketeza yeye anajengea hotel wewe unarudi mbagala kwa miguu,
Sadaka ya kujimaliza ni wizi wa kisaikolojia Hakuna fundisho hilo kwenye maandiko. Utoi sadaka Ili uumie. Huo ni wizi.
Hao waliokufa wote ni wanawake!?Mwanamke kwenye dini ni zaidi ya kiazi mdau.....unajiburuzia unavyotaka
Sio mwanamke tu, mtu mwenye imani ya kijinga ni mtu hatari sana
Hao wachungaj wala wasihukumiwe jela, waamrishwe na wao wafunge had kufa, ukiuwa kwa upanga nawe uuawe kwa upangaMAREHEMU BETTY AJENTA CHARLES:
Hadithi ya Betty Ajenta Charles (pichani), inasikitisha. Mwili wake umefukuliwa baada ya kufunga mpaka kufa katika sakata linaloendelea nchini Kenya la Mchungaji Paul Mackenzie ambaye anawafungisha Wakenya hadi umauti ("Fasting to Death") ili wafike Mbinguni kirahisi.
Mwili wake ni kati ya miili 73 iliyofukuliwa katika zoezi la kiuchunguzi linaloendelea kwenye jimbo la Kilifi - Kanisa la Shakahola. Marafiki na ndugu za Betty wamepata mshtuko mkubwa sana.
Betty alikuwa mfanyakazi wa Shirika moja kuubwa la ndege duniani, ambaye aliamua kuacha kazi yake, akauza ardhi yake kwa Kshs 7,000,000 = Tzs 121,170,000 na kumkabidhi "Mchungaji Wakala wa Shetani" Paul Mackenzie wa Malindi - Kenya.
Betty alirejea Kenya kutoka ughaibuni baada ya mtoto wake aitwaye Jason kulazimishwa kufunga hali iliyopelekea mtoto huyo aage dunia. Wakati mtoto huyo wa Betty anafunga kula hadi kufariki, Betty alikuwa nchini Qatar. Mtoto wa Betty, Jason, alikuwa akiishi na babu na bibi yake wakati huo. Haijulikani ni nani alimfungisha mtoto huyo hadi kufa.
Baada ya kupokea taarifa za kifo cha mwanaye, inaelezwa Betty alifunga safari kutoka Qatar hadi Kenya kwa ajili ya mazishi ya mwanaye lakini akapotea na hakujulikana alipo tena.
Dada ya Betty anayeishi eneo la Umoja - Nairobi, anasema Betty aliacha barua ya hisia kali kwa Mume wake akionesha asingelirejea tena milele. Baada ya kuandika barua hiyo Betty aliondoka na wanaye kuelekea Malindi.
Inaonekana alifuta akaunti zake zote za mitandao ya kijamii, akauza vitu vyake vyote kabla ya kupanda Ndege kuelekea Malindi - Kenya.
Rafiki ya Betty anasema, Betty alimuaga akimjulisha kuwa anaenda kuonana ana kwa ana na Yesu siku ya tarehe 08 Aprili 2023 na kwamba alilazimika kuondoka tarehe 07 Aprili 2023. Rafiki ya Betty alipoifuatilia tiketi yake ya ndege akagundua ni tiketi ya moja kwa moja na siyo ya nenda rudi.
Katika msako unaoendelea katika eneo la ekari 800 linalomilikiwa na "Mchungaji Feki" Paul Mackenzie, polisi wamemkamata Mchungaji mwenza anayejulikana kama "Zablon wa Yesu". akiwa anasoma Biblia akieleza yeye angelianza kufunga Juni 2023!
Teh 😂😂 dah!...noma sanaUjinga hautegemei na elimu ya mtu View attachment 2599725
pumbavuKua na elimu na kuelimika ni vitu tofauti,
Unaweza kua na elimu ila ukawa haujaelimika,yani elimu imeshindwa kukukomboa kifikra.
Wewe choko huwezi kuelewa vitu vinavyohitaji akili,endelea kusugua kalio kwenye kochi hapo kwa shemeji yako huku ukisubiri ugali wa shikamoo,pumbavu
Paul Mackenzie, Kibwetere e.t.c
umekazana choko, choko, ndio nini, hiyo ni tabia yako. Ndio maana ulialia id yako kuigwa. Ngoja wakuige tena ili ushike adabuWewe choko huwezi kuelewa vitu vinavyohitaji akili,endelea kusugua kalio kwenye kochi hapo kwa shemeji yako huku ukisubiri ugali wa shikamoo,
Halafu nilisha kwambia acha kujilengesha,mimi sina time na machoko kama wewe.
Wewe ni mmojawapo wa waumini wa hao wachungaji walio tajwaUnasemaje wewe?
Hao uliowataja wameamua nani? Au wapi uliona wametapeli Watu km huko Kenya?
Au wapi uliona wamewaamrisha Watu kufunga?
Au ndo umejisikia TU kuchafua majina ya Watu?
We mpuuzi kweli, na usipotubu , utashangaa sn!
AahahaaaaMwanamke kwenye dini ni zaidi ya kiazi mdau.....unajiburuzia unavyotaka