Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kilimanjaro unaiachaje?Mikoa yenye maji mazuri Ni TANGA ,dar na mbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilimanjaro unaiachaje?Mikoa yenye maji mazuri Ni TANGA ,dar na mbeya
Wewe unaishi mtaa gani kwenye hili jiji?Unaposema jiji zima unamaanisha nn?? Mbona sie hapa tulipo maji hayajawahi kukatika hata kwa sekunde tu..
Wivu tu unakusumbua!Haya maji sio kabisaa, basi tu ila sidhani kama yanafaa kwa matumizi ya binadamu.
Eti makao makuu ya nchi[emoji2297][emoji2297]
Try to grow up!Dodoma nilikua nafua shati dakika 3 nikianika ndani ya dakika 7 limekauka kama ngozi
😍😍😍Waongo hao labda wawe hawaijui Dar. .. Kwanza jua la Dom halikutoi jasho linawaka kwa kiasi chake lakini kunakuwaga na kiupepo cha mbali mbali. In short jua la Dom halikeri kama la Dar
Ili mradi na wewe uonekane umechangia?Dodoma sio mji wa kuishi maji Yana chumvi hata kupikia chai hayafai, ukioga ndo usiseme ni Kama unajichafua. Huo mji kwa shida za maji sio wa kuishi kabisa
Dodoma kwa kweli hapana ni mkoa mgumu Sana na kama ulishazoea mikoa mizuri kule hakufaiKuna mikoa ji jehanamu.. nilienda huko 2015 nikapita na Mpwapwa, ndani ya week lipsi zimepasuka balaa.. nimepauka hatari..
Mzee wangu saivi kuko bombs sanaHivi Dodoma kwa sasa kuna maji ya kutosha? Nakumbuka nilishawahi kuoga maji kwenye beseni la kunawia mikono nilipomtemblea jamaa yangu aliyekuwa anaishi eneo la Makole mwaka 1977!
Haaaa ha haaa. Ungepaka lipbumKuna mikoa ji jehanamu.. nilienda huko 2015 nikapita na Mpwapwa, ndani ya week lipsi zimepasuka balaa.. nimepauka hatari..
Nakuonea huruma sana.Ulitaka ni comment hilo bichwa lako@loftins
Dodoma Hali yake ni ya jangwa...wataalamu watasaidia...Za muda huu wakuu wa mambo
Moja kwa moja kwenye mada, tokea nije Dodoma sio nguo sio ngozi lazima vibadilike ila nikirudi DSM hali inakuwa nzuri mno
Nguo - ukiifua zaidi ya mara 5 kama ni nyeusi mpauko utakao uona huwezi kuitamani hiyo nguo na rangi nyingine ni nafuu ila nyeusi ndio mwisho inakuwa kama ina mba (ugonjwa wa ngozi).
Ngozi - mapele yanakutoka na siku nyingine ukiamka unaamka na vinundu baada ya siku chache vinakauka , pia swala la ngozi kubauka ni swafi sana na kawaida sana.
Sijui kwa wengine ila kwangu imekuwa hivo.
NB. Peroxide ni breaching agent, kwa wale wa penzi wa series turudi nyuma kidogo enzi hizo season one prison break pale Michael Scofield anapo jipeleka fox river kumtoa kaka yake Lincoln sasa katika strategy zake itatokea njia ya kutolokea walibadilisha pipe system kwahyo ilibidi wapitie kwenye psych ward(wodi ya vichaa) na magandwa yao yalikuwa meupe na kina scofield walikuwa wanavaa nguo za blue ndio hapo idea inakuja atatumwa flanklin (c-note) kwenda kuiba peroxide ili wazi breach zili nguo zao za blue ziwe nyeupe.
Nimalize kwa shukrani.
Ha ha haa.....Jua la Dodoma linaozesha macho!😃😃😃 ...hutaki unaacha!
Hahahaa.. sijazoea hayo mambo mkuuHaaaa ha haaa. Ungepaka lipbum
Ili watu watumie changamoto za Mkoa huo kupata maisha!Duuh.. sasa kwanini Dodoma iliumbwa???
Kuna sehemu sio za kuishi mkuuIli watu watumie changamoto za Mkoa huo kupata maisha!
Kweli tuna mipango ya ajabu, hivi pesa za dream liner moja si ingetosha kuvuta maji from Lake Victoria, Kuja Shinyanga, Tabora, Singida mpaka Dodoma??Maji ya chumvi sana.ndiyo maana yanasababisha nguo na ngozi kuharibika, sabini kutokutoa povu n.k..kwa wale wanaoosha magari kila siku lazima bodi ioze baada ya muda fulani.
Kinachotakiwa kufanyika Ni kuyafanyia hayo maji filtration(RO ) ili kuondoka chumvi kwenye maji before matumizi.