Hivi maji ya Dodoma yana peroxide?

Hivi maji ya Dodoma yana peroxide?

Haya maji sio kabisaa, basi tu ila sidhani kama yanafaa kwa matumizi ya binadamu.
Eti makao makuu ya nchi[emoji2297][emoji2297]
Wivu tu unakusumbua!
Maji yanafaa sana tu hao wanaokupa maji mazuri huko uliko huenda elimu yao ya maji ikawa ndogo kuliko walioko kwenye hili jiji.
 
Waongo hao labda wawe hawaijui Dar. .. Kwanza jua la Dom halikutoi jasho linawaka kwa kiasi chake lakini kunakuwaga na kiupepo cha mbali mbali. In short jua la Dom halikeri kama la Dar
😍😍😍
 
Dodoma sio mji wa kuishi maji Yana chumvi hata kupikia chai hayafai, ukioga ndo usiseme ni Kama unajichafua. Huo mji kwa shida za maji sio wa kuishi kabisa
Ili mradi na wewe uonekane umechangia?
 
Hivi Dodoma kwa sasa kuna maji ya kutosha? Nakumbuka nilishawahi kuoga maji kwenye beseni la kunawia mikono nilipomtemblea jamaa yangu aliyekuwa anaishi eneo la Makole mwaka 1977!
Mzee wangu saivi kuko bombs sana

Ila umenichekesha

Wenyeji usikute walioga kikombe ila kwaupendeleo kwavile wewe ni mgeni ukapewa kabeseni
 
Utazoea tu mkuu,ukifua nguo suuza na maji mengi!!
 
Ulitaka ni comment hilo bichwa lako@loftins
Nakuonea huruma sana.
Yani ukitaka uswahili mimi ndio mswahili haswa, ukitaka ufala mimi ndio nimezaliwa ndani yake ukitaka ubandidu hadi uione JF chungu mimi ndiye bandidu haswa.

Kindigo wewe, hujui kitu kazi kuropoka tu upuuzi.
 
Za muda huu wakuu wa mambo

Moja kwa moja kwenye mada, tokea nije Dodoma sio nguo sio ngozi lazima vibadilike ila nikirudi DSM hali inakuwa nzuri mno

Nguo - ukiifua zaidi ya mara 5 kama ni nyeusi mpauko utakao uona huwezi kuitamani hiyo nguo na rangi nyingine ni nafuu ila nyeusi ndio mwisho inakuwa kama ina mba (ugonjwa wa ngozi).

Ngozi - mapele yanakutoka na siku nyingine ukiamka unaamka na vinundu baada ya siku chache vinakauka , pia swala la ngozi kubauka ni swafi sana na kawaida sana.

Sijui kwa wengine ila kwangu imekuwa hivo.

NB. Peroxide ni breaching agent, kwa wale wa penzi wa series turudi nyuma kidogo enzi hizo season one prison break pale Michael Scofield anapo jipeleka fox river kumtoa kaka yake Lincoln sasa katika strategy zake itatokea njia ya kutolokea walibadilisha pipe system kwahyo ilibidi wapitie kwenye psych ward(wodi ya vichaa) na magandwa yao yalikuwa meupe na kina scofield walikuwa wanavaa nguo za blue ndio hapo idea inakuja atatumwa flanklin (c-note) kwenda kuiba peroxide ili wazi breach zili nguo zao za blue ziwe nyeupe.

Nimalize kwa shukrani.
Dodoma Hali yake ni ya jangwa...wataalamu watasaidia...
 
Kabilianeni na hali hamna naMna. Ila ni ukweli mtupu...
 
Maji ya chumvi sana.ndiyo maana yanasababisha nguo na ngozi kuharibika, sabini kutokutoa povu n.k..kwa wale wanaoosha magari kila siku lazima bodi ioze baada ya muda fulani.
Kinachotakiwa kufanyika Ni kuyafanyia hayo maji filtration(RO ) ili kuondoka chumvi kwenye maji before matumizi.
Kweli tuna mipango ya ajabu, hivi pesa za dream liner moja si ingetosha kuvuta maji from Lake Victoria, Kuja Shinyanga, Tabora, Singida mpaka Dodoma??
 
Back
Top Bottom