Hivi makomando wa JWTZ wako competent kweli kulinganisha na wenzao wa nchi nyingine?

Hivi makomando wa JWTZ wako competent kweli kulinganisha na wenzao wa nchi nyingine?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa JWTZ wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni nikajiuliza hawa uwanja wa vita huwa wanaenda wakiwa hivyo walivyopita?

Nikaona ngoja nicheck wenzao huko dunian huwa wanakua namna gani kwenye battle field, nimebahatika kuwaona seal team six, wale jamaa ni habari nyingine bana, kwanza wako simple tu.

Sasa hawa wa kwetu naona wana mavifua makubwa tu ila sioni kama wako competent.

Screenshot_20211209-124247_Instagram.jpg

Screenshot_20211209-125349_Opera Mini.jpg

Screenshot_20211209-125414_Opera Mini.jpg
 
Unafikiri degree holder wengi wa hapa kwetu wapo competent kulinganisha na developed countries?

Nani anaewafunza?

Ubora wa technology ya vifaa vya kufundishia uko sawa kote?

Level ya uelewa wa watu wanaokwenda kuqualify kwa hayo mafunzo zinafanana?
 
kwa nini unadhalau wanajeshi wa Taifa lako mbona North korea wanalo jeshi linalovunja tofauti, kukunja Nondo na Vitu vingi hufanya ambavyo vikifanywa na jeshi letu mtu anaanza kudhalau.

Unaanza kusifia Seal Team Six unajuwa bajeti yao ni shilling ngapi?
 
Unafikiri degree holder wengi wa hapa kwetu wapo competent kulinganisha na developed countries?

Nani anaewafunza?

Ubora wa technology ya vifaa vya kufundishia uko sawa kote?

Level ya uelewa wa watu wanaokwenda kuqualify kwa hayo mafunzo zinafanana?

[emoji28][emoji28]ukimuuliza yeye degree yake ya sheria atakwambia iko sawa na ya mrusi,ila makomandoo hataki iwe hivyo.
 
Huyu aliyeleta mada ana tatizo la akili.

Competent ya wanajeshi inapimwa kwa kuwa simple tu?

Halafu unazungumzia eneo la "battle".

Sasa hapo uwanjani kulikuwa na battle?

Anyway...nenda kawajaribu uone umahiri wao!
 
Kuna wengine huku walikimbia baada ya kuona gari la kawadi lilipita njia ya jeshi kutoka mwanzo wa mpaka mpaka mwisho wa mpaka na kabla halijamaliza lilishindwa kuvuka kimfereji, wenye gari wakawaita raia wa kawaida wakalitoa lilipo kwama humo humo jeshini na likaondoka,

Sasa kilichotokea tumepigwa biti hakuna kupita rai tena njia hiyo
 
Kiboko yao ni mapolisi tu huko kwingine unapotaka kuwalinganisha ni mbali Sana.
Unawalinganisha n hao makomandoo mateja yaliyoishiwa nguvu kwa kubugia madawa ya kulevya yakalegea kila eneo jeshi likawatimua baada ya kuwaona mdebwedo

Chadema eti wakasema tumepata makomandoo!!! hamna komandooo pale ni mateja tu Yale

Hata mgambo angeweza kuyakamata
 
Back
Top Bottom