Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale walishatolewa jeshini muda. Ni raiaHawa si walikua wanalia juzi tu wanekamatwa na polisi ?
Vuta picha labda wangekamatwa na wajeda wa russia ingekuaje
Muda mwengine ni akili ya vita. Tungeingia sisi pengine wangeingia kwetu kwa urahisi na kufanya mashambulizi ya kushtukiza kama nchi nyenginezo. Ila Rwanda iko mbali. Mbali na hivyo si lazima kila kitu ujue.You are not serious.......Hapo tu majuzi majeshi ya Kagame yalitoka yalikotoka kuja kuchachafya Msumbuji, sisi kimyaaaaaa!
Commando wanapigwa makonzi na polisi wenye elimu za darasa la saba hadi wanaomba msamaha uwalinganishe na makomandoo wa nchi za wenzetu kweli? Kwa ufupi nchi hii haina makomandoo bali tuna wasanii waliojificha kwenye kivuli cha makomandoo
Kuna siasa gani hapo?Wabongo siasa zinawaharibu sana!
Commando ni old name for specialized units. Wenzetu wanaita special forces. So kila taifa au bara fulan lina majina tofauti.SEAL sio commandos wale ni special elite force tu ila wanafunzwa na makomando So you can imagine if SEAL wapo ile Je hao commandos wao wapoje ... m,arekani wana elite force zaidi ya SEAL
Hatukutaka kwenda maana Ni jirani uliza Kenya ilivyo wacost na Somali land ,You are not serious.......Hapo tu majuzi majeshi ya Kagame yalitoka yalikotoka kuja kuchachafya Msumbuji, sisi kimyaaaaaa!
Hauna info za kutosha! Badala ya kutumia fact unatumia hisia zako kisha unahitimisha mwenyewe.Kuna siasa gani hapo?
Kazi ya jeshini nayo niyakujisifia mbele ya watu, kwa ufupi bado tupo stone age hili jeshi lenu linapaswa kufumuliwa na kuwa advanced liendane na kasi ya teknolojia. Hili jeshi lina kitu gani cha ziada kulizidi jeshi la Rwanda?Hauna info za kutosha! Badala ya kutumia fact unatumia hisia zako kisha unahitimisha mwenyewe.
Heshimu kazi za watu, na kama hujui uliza au kaa kimya.
Mtu kuuliza ndio kuwa na tatizo la akili ?Huyu aliyeleta mada ana tatizo la akili.
Competent ya wanajeshi inapimwa kwa kuwa simple tu?
Halafu unazungumzia eneo la "battle".
Sasa hapo uwanjani kulikuwa na battle?
Anyway...nenda kawajaribu uone umahiri wao!
Kupigana na marekani umeenda mbali sana wataliban tu wanawakimbiza haoAcha ujuha wewe,waliwahi kupigana na Marekani wakaishinda? Yaani unasema nchi yoyote, Mataga una Bongo zenye funza kabisa
Haaa haaa hawa kiboko yao dogo Mahita na Kingai Makomandoc ccm polisi ccmHuyu aliyeleta mada ana tatizo la akili.
Competent ya wanajeshi inapimwa kwa kuwa simple tu?
Halafu unazungumzia eneo la "battle".
Sasa hapo uwanjani kulikuwa na battle?
Anyway...nenda kawajaribu uone umahiri wao!
Rwanda ana kipi?Kazi ya jeshini nayo niyakujisifia mbele ya watu, kwa ufupi bado tupo stone age hili jeshi lenu linapaswa kufumuliwa na kuwa advanced liendane na kasi ya teknolojia. Hili jeshi lina kitu gani cha ziada kulizidi jeshi la Rwanda?
Kuna watu hawalali ili wewe ulale salama alafu unaleta kejeli, kua na heshima japo kidogoKazi ya jeshini nayo niyakujisifia mbele ya watu, kwa ufupi bado tupo stone age hili jeshi lenu linapaswa kufumuliwa na kuwa advanced liendane na kasi ya teknolojia. Hili jeshi lina kitu gani cha ziada kulizidi jeshi la Rwanda?