You are not serious. Hapo tu majuzi majeshi ya Kagame yalitoka yalikotoka kuja kuchachafya Msumbuji, sisi kimyaaaaaa!Kaulize nchi JWTZ wailkopigana hawajawahi shindwa popote nchi yeyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are not serious. Hapo tu majuzi majeshi ya Kagame yalitoka yalikotoka kuja kuchachafya Msumbuji, sisi kimyaaaaaa!Kaulize nchi JWTZ wailkopigana hawajawahi shindwa popote nchi yeyote
Mkuu heshimu proffesion za watu.Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika,na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa jwtz wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni...
Wewe jamaa umewaza nn mpk kuandika huu uziiiNilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika,na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa jwtz wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongon...
😂😂😂Hawa si walikua wanalia juzi tu wanekamatwa na polisi ?
Vuta picha labda wangekamatwa na wajeda wa russia ingekuaje
Enbu muelekezeeekwa nini unadhalau wanajeshi wa Taifa lako mbona North korea wanalo jeshi linalovunja tofauti, kukunja Nondo na Vitu vingi hufanya ambavyo vikifanywa na jeshi letu mtu anaanza kudhalau.
Unaanza kusifia Seal Team Six unajuwa bajeti yao ni shilling ngapi?
Umeuliza JWTZ sio jeshi la kagameYou are not serious.......Hapo tu majuzi majeshi ya Kagame yalitoka yalikotoka kuja kuchachafya Msumbuji, sisi kimyaaaaaa!
Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika,na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa jwtz wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongon...
JWTZ inapigana vita kubwa. JWTZ ilipigana Msumbiji nchi nzima kumtimua mreno Msumbiji iwe huruYou are not serious.......Hapo tu majuzi majeshi ya Kagame yalitoka yalikotoka kuja kuchachafya Msumbuji, sisi kimyaaaaaa!
SEAL sio commandos wale ni special elite force tu ila wanafunzwa na makomando So you can imagine if SEAL wapo ile Je hao commandos wao wapoje ... m,arekani wana elite force zaidi ya SEALNilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika,na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa jwtz wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongon...
[emoji1][emoji1]Hawa si walikua wanalia juzi tu wanekamatwa na polisi ?
Vuta picha labda wangekamatwa na wajeda wa russia ingekuaje
Polisi wa afande kingai?[emoji15][emoji849]Kiboko yao ni mapolisi tu huko kwingine unapotaka kuwalinganisha ni mbali Sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa si walikua wanalia juzi tu wanekamatwa na polisi ?
Vuta picha labda wangekamatwa na wajeda wa russia ingekuaje
Amani ikizidi sana inaleta uzemne, habari ndio hiyo. Sio kwamba tupigane vita ila mnapokuwa na amani mkijisahau viwango vinashuka, sharti wawe na mafunzo na programme za kujiweka sawa, tunawaona mitaani huku ni wenzetu tunaishi nao, wamerelax kila eneo la mwili na akili,Kuna wengine huku walikimbia baada ya kuona gari la kawadi lilipita njia ya jeshi kutoka mwanzo wa mpaka mpaka mwisho wa mpaka na kabla halijamaliza lilishindwa kuvuka kimfereji, wenye gari wakawaita raia wa kawaida wakalitoa lilipo kwama humo humo jeshini na likaondoka,,
Sasa kilichotokea tumepigwa biti hakuna kupita rai tena njia hiyo
Hawa JWTZ hawajawahi kutuangusha.Nilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika,na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa jwtz wanapita na mafurushi sijui ya vitu ...
Acha ujuha wewe,waliwahi kupigana na Marekani wakaishinda? Yaani unasema nchi yoyote, Mataga una Bongo zenye funza kabisaKaulize nchi JWTZ wailkopigana hawajawahi shindwa popote nchi yeyote