Hivi Makonda ndio wakuishi kama digidigi kweli?

Sisi chipukizi wa zamani tulifunzwa mengi
 
We acha tu!!!! Unakariri imani ya TANU na madhumuni kisha unaulizwa kwenye mtihani wa siasa. Vijana wa siku hizi wanadhani watakufa na vyeo vyao.
Vile vyuo vya siasa vilikuwa na maana kubwa sana na lile somo la siasa mashuleni pia
 
Acha kuongea utumbo wewe??!!aliyekuambia makonda anajificha ni nani??!🙄🙄🙄🙄acha hizo wewe kilaza
 
Makonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi

Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
Kwa uandishi huu, lazima uwe na kichaa cha mimba au kichaa ndoa
 
Mkuu mshana haya mambo yana mwisho ndiomaana wakati jiwe anafanya atakavyo kuna watu walisema haya yana mwisho na kweli mwisho ulifika na maisha yanaendelea kama kawaida kwa watesi wake
 
Acha kuongea utumbo wewe??!!aliyekuambia makonda anajificha ni nani??!🙄🙄🙄🙄acha hizo wewe kilaza
kama wewe unajua alipo si umpeleke mahakamani ukapate hilo donge nono lililoahidiwa !!? au wewe huna shida na hela !!??
 
Mkuu mshana haya mambo yana mwisho ndiomaana wakati jiwe anafanya atakavyo kuna watu walisema haya yana mwisho na kweli mwisho ulifika na maisha yanaendelea kama kawaida kwa watesi wake
walisema haya yana mwisho na kweli mwisho ulifika na maisha yanaendelea kama kawaida kwa watesi wake[emoji848][emoji2827]
 
Last week nimemwona makonda pale koffee kaffee kaunda road amenenepa hatar hana stress hio kesi kama haina mashiko kubenea anaforce ila hamna kitu atakachofanya.
Siku nyingine mfotoe uje na ushahidi hapa.
 
LeMutz hana habari naye siku hizi. Date yake ilisha expire
 
Bata gani hilo sasa unajificha kama kunguni hutaki mwanga
 
Kubenea Ametumwatu. Nyuma Yake wapo wahuni. Ambao hawakufuraia jamaa alipokua serikalini maana aliwanyoosha. Hata sabaya ni wahunitu ndio wamemchezea mchezo wakamweka korokoroni.
Kama hana kisa, mahakama itamuweka huru. Iwe ni wahuni au la, kama alifanya uhalifu, sharti aadhibiwe! Ukuu wa mkoa au wilaya sio ujambazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…