Hivi Makonda ndio wakuishi kama digidigi kweli?

Hivi Makonda ndio wakuishi kama digidigi kweli?

Unajuaje kama hajatubu? una uhakika gani amesababisha yatima? kama una ushahidi unaonane ukiupeleka mahakamani
Akitoka MAFICHONI na kujitokeza Mahakamani atakutana na huo ushahidi, usihofu.
 
Nimemuona mtu kama yeye kabisa hapa kwenye mwalo wa pepsi hapa jijini Mwanza nahisi kajiunga na wavuvi atakua kwenye visiwa vidogo vidogo ziwani huko
 
Si aende mahakamani? Kwani wito ni wa Kubenea au wa mahakama?
Kubenea Ametumwatu. Nyuma Yake wapo wahuni. Ambao hawakufuraia jamaa alipokua serikalini maana aliwanyoosha. Hata sabaya ni wahunitu ndio wamemchezea mchezo wakamweka korokoroni.
 
Makonda yupo anakagua hospital yake mwanza...wafanyakazi wake moja haikai wala mbili haikai mambo yamekuwa vululumvalala.......
 
Are you sure with your words? Au ni hisia za infinix?
I KNOW AND I AM CERTAIN OF WHAT I AM WTITING ABOUT! May be you do not know or you were still living upcountry when SIRRO was RPC in charge of Dar es Salaam Region and Bashite ws the RC then!!!!
 
Waliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema

Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha

Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili

Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba kiongozi tuko nawe hadi mwisho.

Tulifurahi pamoja, tutalia pamoja.

Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari.

87FE53C4-1891-441B-9F78-864CE6E6CB45.jpeg
 
Makonda ni panya tu au kicheche fulani,kuwa RC bado ni mdogo tu ila maarufu.
Lupango wameshaingia mawaziri, viongozi wa kitaifa na watu pesa za kufuru.

Lord Rajpar tajiri wa meli alikuwa na meli kibao ( nyie chawa hamkuzaliwa bado hamwezi kumjua) peke yake ndio hata Nyerere alipata kigugumizi kumbana, na alikuwa na elimu ya kutosha sio bashite elimu Fffff zote mara eti ana dry cleaner kali mara Range Rover kali na upuuzi mwingine.

Kuwa na hatia ni swala jingine ila sijui labda yuko juu ya sheria zote duniani inabidi mahakama zote zisubiri amue mwenyewe lini ataenda.
 
Wewe ni MKEWE AU HAWARA WAKE? Mbona unalazimisha kuleta taarifa zisizo na uthibitisho wowote ule? Leta uthibitisho mkiwa naye hapo chumbani tuone.
Na wewe leta ushahidi kama kweli yupo mafichoni!trash yaani takataka!
 
Back
Top Bottom