Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi ningekuwa kwenye system ningemficha mahali tutafune maburungutu yake yakiisha namtosa kama kasusuraMambo ya uongozi yanapaswa kuangalia kwa macho kadhaa!. Tunaweza kujadili hapa kuwa kawa digidigi kumbe sisi ndo tumefanywa vipofu!.. ukute mtu anakula bata mahali na anautafuna si kifani halafu huku wanakuja kutufanyia maigizo ya mtafutwa aliefichwa makusudi!.
Mfikishie wito anatakiwa mahakamaniMakonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi
Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
Mwambie atupie instagram basiMakonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi
Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
Kweli tuishi vyema na watu woteHaruhusiwi kuingia USA.
USA ndio kiboko ya madikteta bila wao yangetutesa sanaUSA ni mbinguni?
Mambo ya uongozi yanapaswa kuangalia kwa macho kadhaa!. Tunaweza kujadili hapa kuwa kawa digidigi kumbe sisi ndo tumefanywa vipofu!.. ukute mtu anakula bata mahali na anautafuna si kifani halafu huku wanakuja kutufanyia maigizo ya mtafutwa aliefichwa makusudi!.
Wanaogopa atamwaga Siri regime itachafuka kama ilivyochafuka kwenye kesi ya Mbowe na sabayaInavyosomeka huku kitaa, jamaa analindwa na ruling regime. Mtu ambaye makosa yake yalithibitila hata kwa 'external observers' asingepaswa kuishi uraiani hata masaa kadhaa.
Kubenea ni chambo tuUsiishi Kwa nadharia. Maisha ni halisi.
Utani utani huwa kweli,
Cheche huzaa Moto
Makonda alipaswa alidhibiti Jambo hili mapema, Kwa maana hakuna utani WA hivi.
Ikishindikana leo, kesho itawezekana.
Muanzishaji anaweza kuwa na lengo jingine lakini watakaotokea katikati wakawa na dhamira ya kweli kumshtaki.
Awali ndio ngumu kuianza, lakini ikishawezekana kazi kwisha.
Hakunaga Siasa za hivyo Mkuu.
Inawezekana kabisa mkuu,,hizi siasa za Afrika zina mambo mengi,,unaweza kuta hao wakubwa wanafahamu jamaa alipo na tena yupo huko kwa maelekezo yao afu wanatuzuga tu..!Mambo ya uongozi yanapaswa kuangalia kwa macho kadhaa!. Tunaweza kujadili hapa kuwa kawa digidigi kumbe sisi ndo tumefanywa vipofu!.. ukute mtu anakula bata mahali na anautafuna si kifani halafu huku wanakuja kutufanyia maigizo ya mtafutwa aliefichwa makusudi!.