Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Le Mutumuz mzee late dinner at 5 star hotel yupo kweli?Waliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema
Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha
Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
Mbingu na ardhi. Au Magharibi na mashariki. HuzitakutanaUmri wake na akili zake ni kusini na kaskazini
PM alijisahau sana. Umri mdogo akaanza kufanya mambo kama mganga wa kienyejiWaliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema
Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha
Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
Wewe bwana ndio leo na kuona kuchangia mada ya za wenzakoUsiishi Kwa nadharia. Maisha ni halisi.
Utani utani huwa kweli,
Cheche huzaa Moto
Makonda alipaswa alidhibiti Jambo hili mapema, Kwa maana hakuna utani WA hivi.
Ikishindikana leo, kesho itawezekana.
Muanzishaji anaweza kuwa na lengo jingine lakini watakaotokea katikati wakawa na dhamira ya kweli kumshtaki.
Awali ndio ngumu kuianza, lakini ikishawezekana kazi kwisha.
Hakunaga Siasa za hivyo Mkuu.
Chawa wamemgeuka. Ndio wanakazana kusema asulubiwe.Waliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema
Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha
Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
Le mutuz alimpamba kama malaika wa 2 kw cheoKwenye extra curriculum aliitwa Field Marshal.
Makonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidiHehe hili ni shauri la kiraia na sio la serikali. Halina mashiko yoyote aliepeleka amefanya kwa nia za kisiasa ila kila siku asikike katika habari anamuomba Makonda aende mahakamani.
Makonda anapiga mazoezi kila siku uwanja wa Oysterbay.
laana ya gwajiboy hiyo, haijatenguliwa, gwajiboy alisema anamfuta kisiasa hapa duniani na mbinguni. sasaivi jamaa hata hajulikani anaishi wapi. kipindi kile alikuwa ametawala angani na ardhini, mitandaoni na kwenye mass media zote. kiburi kilipanda juu, kumbe ajikwezaye atashushwa na ajishushaye atakwezwa, Neno la Mungu latuonya unyenyekevu tujivike, Mungu huwapiga weney kiburi lakini huwapa wanyenyekevu neema.Waliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema
Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha
Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!
Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
Yupo active muda wote, nenda andika baba_keegan , utaona anavyoendelea na mishe zake. Nyie endeleeni kujipangusa uharo huoMwambie atupie instagram basi
Now a FUGITIVE!!! Msitegemee IGP Sirro na watu wake kumkamata Bashite kwasababu Sirro kupata hicho Cheo ilitokana na recommendation ya Bashite kwa marehemu Jiwe!!!The former Governor of Dar es Salaam.
Kwa akili yako ya uchawa na sasa kunguni unajiona una maarifa kuliko woote humu? Kwa taarifa yako hata kama bashite asinge pelekwa mahakaman bado taabu angekuwa nayo hata kama sofa na kitanda anacho lalia ni maburungutu ya fedha, hii ni kutokana na maisha aliyoishi akiwa kiongozi wa umma.Makonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi
Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
Kujua kwingi sometimes ni ujinga.Wanaoishi kama digidigi ni Lisu na Lema siyo Makonda ambaye anafanyabiashara zake Kigamboni