Hivi Makonda ndio wakuishi kama digidigi kweli?

Hivi Makonda ndio wakuishi kama digidigi kweli?

Mambo ya uongozi yanapaswa kuangalia kwa macho kadhaa!. Tunaweza kujadili hapa kuwa kawa digidigi kumbe sisi ndo tumefanywa vipofu!.. ukute mtu anakula bata mahali na anautafuna si kifani halafu huku wanakuja kutufanyia maigizo ya mtafutwa aliefichwa makusudi!.
Ale bata wapi ndugu yangu,mwenye mbea kafa mbwa wote wanapata shida,hakuna kiongozi wa juu anayetaka kumsikia yule matakro
 
Makonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi
Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
Mwambie ajitokeze na msambwanda pilato anamhitaji
 
Kesi aliyofungua Kubenea ni kesi ambayo ina dhamana.

Kesi aliyoifungua Kubenea ni kesi iliyokaa kiulipizaji visasi na ndio maana wahusika wakuu,yaani Clouds [emoji342] 360.
Walikwisha toa tamko la kujitoa wala kutohusika na kesi hiyo ya kubenea.

Makonda hawezi kimbia kesi kama hii ambayo anafika kusikilizwa na kurudi nyumbani.

Wachangiaji wengi humu ni wale wale team roho mbaya,ambao walikodisha magari na kupakia watu wao kwenda kumzomea Sabaya mahakamani.

Lakini yalipowarudi wao wenyewe,tunawaona humu mchana kutwa na usiku kucha.
Wakilalamika.

Ooh mwamba anaonewa......

Kubenea anatafuta kick ya kutafutia umaarufu baada ya kuporomoka kutoka Uheshimiwa hadi mtuhumiwa wa Pesa haramu Namanga.
Tatizo ile kukaa tu kizimbani kama mshtakiwa itamuathiri sana kisaikolojia
 
Waliosema maisha sio leo ni kesho walifunuliwa unabii mkubwa mno.. Ni maono ya aina yake ambayo kila anayepata nafasi ya kuwa juu ya wengine anapaswa kuyakariri vema

Maisha kamwe hayana formula .. Nimemkumbuka Gadafi na Saddam Hussein na mwisho wao ulivyokuwa.. Maisha ya ukwasi, ubabe, ulinzi na kuwa juu ya sheria..lakini wakaishia kuwa kama digidigi na ndezi.. Wakiwa hawana kikao maalum na kuishi maisha ya hofu na kuiificha

Mtu aliyewahi kujitangaza kama mla bata namba moja duniani leo hii hajulikani alipo kakimbia mkono wa sheria na mahakama imetoa kibali atangazwe kwenye vyombo vya habari kwamba anatafutwa akajibu kesi inayomkabili
Waliokuwa chawa wake, wapambe wake marafiki zake ni muda sahihi wa wao kujitokeza hadharani na kumpigania kwa namna yoyote ama la kumpa walau faraja kwamba KIONGOZI TUKO NAWE MPAKA MWISHO!
TULIFURAHI PAMOJA TUTALIA PAMOJA!

Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari
download.jpeg


Digi Digi ni mnyama mwenye haya na hupenda kula kwa machale sana akisoma mazingira akishtushwa tu anaondoka kwa spidi kali huku akipiga hatua za zig zag mpaka mambo yawe shwari.


Hata mimi ningekuwa Makonda nisingeibuka mahakamani sababu swali la kwanza linaweza kuwa kuulizwa umezaliwa wapi na vipi elimu

Oohh kolomoje

Elimu msingi mwala gani ulimaliza

Nilimaliza mwaka xxx

Mbona mwaka huo shule hiyo hakuna Makonda aliyemaliza hapo.

Nilikuwa natumia Bashite

Aah haa we ni Bashite au Makonda

HATA mi ningeishi kama huyo jamaa hapo. Kwa mtindo wa Zig zaga kama dig digi.
 
View attachment 2113405

Digi Digi ni mnyama mwenye haya na hupenda kula kwa machale sana akisoma mazingira akishtushwa tu anaondoka kwa spidi kali huku akipiga hatua za zig zag mpaka mambo yawe shwari.


Hata mimi ningekuwa Makonda nisingeibuka mahakamani sababu swali la kwanza linaweza kuwa kuulizwa umezaliwa wapi na vipi elimu

Oohh kolomoje

Elimu msingi mwala gani ulimaliza

Nilimaliza mwaka xxx

Mbona mwaka huo shule hiyo hakuna Makonda aliyemaliza hapo.

Nilikuwa natumia Bashite

Aah haa we ni Bashite au Makonda

HATA mi ningeishi kama huyo jamaa hapo. Kwa mtindo wa Zig zaga kama dig digi.
Hata mimi ningekuwa Makonda nisingeibuka mahakamani sababu swali la kwanza linaweza kuwa kuulizwa umezaliwa wapi na vipi elimu[emoji23]
 
Wangecheki kwa sangoma kule kolomije
Nasikia kuna ka mzizi fulani unaweka mdomoni halafu pale mahakamani akiishaingia hakimu tu unakatafuna halafu Paaap unapotea wanakuwa hawakuoni.
 
Madhara ya dhambi ndiyo haya, dhambi huanza kumtafuna mtu hapahapa duniani. Muda wa kuomba msamaha ungalipo ila mahakama imeamua yake
 
Kimsingi makonda alikuwa dikteta, na kama angepata uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi huyu jamaa tungeshuhudia ubabeubabe mwingi na udhalilishaji wa raia sambamba na ukiukwaji mkubwa wa haki za raia kusudi tu aonekane anafanya kazi nzuri kwa bosi wake na kutaka sifa za kilumbukeni kwenye uongozi
 
Kimsingi makonda alikuwa dikteta, na kama angepata uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi huyu jamaa tungeshuhudia ubabeubabe mwingi na udhalilishaji wa raia sambamba na ukiukwaji mkubwa wa haki za raia kusudi tu aonekane anafanya kazi nzuri kwa bosi wake na kutaka sifa za kilumbukeni kwenye uongozi
Lakini hata shetani ana watetezi.. Imagine kuna watu wanaona anaonewa! Ama tunamuonea wivu
 
Kaka Mshana naomba unisaidie contact zako mkuu,nicheck kupitia 0754991764
Huyu ni Nyani mzee sana" Chui ,Simba , Nyoka na wanyama wakali wote kwenye msitu huu wamechemsha kwake. ...

Halafu wewe unakuja kirahisi hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom