Sasa mtoto anaenda skul 3yrs atacheza saa ngapi hyo michezo Zaid ya kwenda kugeuzana huko mashulen na vitoto vye nzao ndio michezo wanayowezawadau hili je ni kuwa michezo tuliyocheza zamani imepitwa.na wakati aukama bile.ukuti.kombolela.rede.kibaba na kimama magari ya udongo kundesha matairi.au kufunga kamba na kundesha kama basi unapakia abiria hii michezo sioni kwa watoto wetu wa sasa je imepitwa.na akati au
Sio kila mtu wa codingMnunulie mwanao PC ajifunze Coding usi-Entertain vitu vya enzi za ujima.
Thibitisha hili.Sio kila mtu wa coding
Kwa huu uandishi wako sidhani kama hata hiyo michezo ulichezawadau hili je ni kuwa michezo tuliyocheza zamani imepitwa.na wakati aukama bile.ukuti.kombolela.rede.kibaba na kimama magari ya udongo kundesha matairi.au kufunga kamba na kundesha kama basi unapakia abiria hii michezo sioni kwa watoto wetu wa sasa je imepitwa.na akati au
Coders tunao ila ni wachache wenye competency ya maana wengi wamemeza tu wanahangaika mitaani........acha watu tu wasome wanachopenda.........kusoma kitu isiwe trend kama fashion flaniThibitisha hili.
Mbona mabeki 3 nao wanawachezesha watoto michezo ya ajabu piaMtafutie mwanao wa kiume beki 3 ili atulie nyumbani na sio kucheza michezo ya ajabu kama hiyo anayotaka
wadau hili je ni kuwa michezo tuliyocheza zamani imepitwa.na wakati aukama bile.ukuti.kombolela.rede.kibaba na kimama magari ya udongo kundesha matairi.au kufunga kamba na kundesha kama basi unapakia abiria hii michezo sioni kwa watoto wetu wa sasa je imepitwa.na akati au
Nini maana ya kusoma unachopenda.Coders tunao ila ni wachache wenye competency ya maana wengi wamemeza tu wanahangaika mitaani........acha watu tu wasome wanachopenda.........kusoma kitu isiwe trend kama fashion flani
Ni kweli mambo yanabadilika lakini kuna baadhi ya michezo enzi hizo ilikuwa inawasaidia watoto hasa kwenye ubunifu na kutumia akili.Yaani kwa Elimu yako hiyo na Kujiita kote Great Thinker Ndugu umeshindwa tu Kuelewa kuwa Nyakati zetu zile tulikuwa hatuko so exposed na Mambo mengi ya Kimaendeleo ( ya Kidunia ) kutokana na Mapinduzi ya Viwanda duniani yaliyokaribisha hata Ubunifu zaidi na Teknolojia Kuongezeka hivyo hivi sasa Watoto wetu Fikra zao zimehamishiwa kutoka zile zetu na Wao wamejikita zaidi katika Michezo ya Kisasa kama ya Video Game na mengineyo ambayo haiwalazimishi wao Kuzurula hovyo Mitaani pamoja na kuwa na tabia zetu zile za Uswahili Uswahili. Kila zama za Kizazi kinakuja na Mabadiliko yake ya Kimfumo katika Jamii iliyopo.