Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

MICHEZO YA VIDEO GAMES unayoita ya kisasa haimfanyi mtoto kuwa na nguvu za kiakili na kimwili.Toto linakuwa dormant na ujasiri na nguvu zero

Mfano michezo ya kiswahili kuna ile ya watoto kuruka kamba.Watoto wawili wanashika kamba wanaizungusha mmoja anaruka katikati inajenga misuli ya mikono na miguu kwa mrukaji na matumizi ya akili kwa pamoja na kujenga team work na watoto wenzie.
Na akishindwa kamba ikimpiga miguuni anatolewa nje analetwa mwingine yule anayeweza sana anasifiwa kwa uwezo wake na wenzie na kumjengea sprit ya kupenda kushinda kwenye maisha.Hiyo mitoto micheza video games nguvu haina kabisa za mikononi wala miguuni wako kama kuku wa mdondo

Kuna michezo kama ukuti ukuti wa nazi wa nazi watoto wanazunguka kijeshi kwa spidi ya mwewe utachoka mwenyewe amri toka kwa kamanda mwimbishaji jeshi litoke nyuma akitoa amri watoto wanatua chini kama ndege ya boeing inatua uwanja wa kimataifa kwa spidi.WAtoto mtaani wanajuana wanajenga urafiki ambao haukatiki maisha yao yote sababu walicheza pamoja .Wa video games rafiki yake robot aliyeko kwenye computer game hapati muda wa kutengeneza marafiki sababu ratiba yake iko tight .Asubuhi shule mpaka jioni hana muda wa ku make friends .Akirudi ana homework ,akimaliza homework anaingia kucheza video games!!! Huyo hatengenezwi kuwa binadamu unatengeneza li robot!!
Kula mbakishie baba........ huu mchezo kama ulikua na afya mbovu ilibidi ukae pembeni tu........watu walikua wanakula ngumi hadi mtu anacheua damu halafu hio ngumi kakutandika mtoto mwenzio
 
Michezo yote ukifika huku Uswahilini kwa Dovya utaikuta. Tena kuna minginebl Mimi utotoni sijaicheza
 
Hakuna neno la Kombolera katika Lugha ya Kiswahili bali kuna neno sahihi na sanifu kabisa la Kombolela. Pumbavu.
Pumbavu ni wewe mporipori mwenye mawazo finyu kufikiri komboreraaaaa ni uswahili na ushamba,kwa lugha nyingine inaitwa hide and sick na ipo mpaka Paris,New York,Moscow huko nako ni uswahilini you TWAT.
 
Pumbavu ni wewe mporipori mwenye mawazo finyu kufikiri komboreraaaaa ni uswahili na ushamba,kwa lugha nyingine inaitwa hide and sick na ipo mpaka Paris,New York,Moscow huko nako ni uswahilini you TWAT.

Naendelea Kusisitiza ni Kombolela na siyo Kombolera. Swine.
 
Wadau hili ni kuwa michezo tuliyocheza zamani imepitwa na wakati au kama vile ukuti, kombolela, rede, kibaba na kimama, magari ya udongo, kuendesha matairi au kufunga kamba na kuendesha kama basi unapakia abiria. Hii michezo sioni kwa watoto wetu wa sasa.

Je, imepitwa na wakati?
mtoto yuko boarding school tangu darasa la kwanza unategemea nn??akirudi nyumbani hutaki akacheze na wenzake njee unadai wale maskini ndo hivi sasa mwana kulitafuta mwana kulipata
 
siku hizi tunawalipia vifurushi vya 124000 dstv anaangalia kila kitu ndani..kunya ndani...kuapata mke ndani...ndo maana wanaanza ushoga bado mapema..hawajui mchezo huu wa kina dada au kina kaka..tuendelee tulipoishia
 
Naendelea Kusisitiza ni Kombolela na siyo Kombolera. Swine.
hata ww Kiswahili hujui ebu tamka khamisi au hamisi..muda mwingne ni sehemu mtu anatoka kwenye r anaweka l..point ni ipi elewa..ukiona ukovizuri Kiswahili tukukute bakita pale makumbusho wamehamia pale..swine
 
hata ww Kiswahili hujui ebu tamka khamisi au hamisi..muda mwingne ni sehemu mtu anatoka kwenye r anaweka l..point ni ipi elewa..ukiona ukovizuri Kiswahili tukukute bakita pale makumbusho wamehamia pale..swine

Pumbavu.
 
Sasa ulikuwa unachelewa nini Kukubali tu kuwa ulikuwa umekosea kusema Kombolera badala ya Kombolela hadi umesubiri nimekutia Adabu hivi?
Naomba unifafanulie kwanini kombolela ni mchezo wa uswahilini wakati unachezwa mpaka huko uzunguni New york,Toronto mpaka London na kwa lugha nyingine unaitwa hide and seek.
 
mazingira pia yanachangia,, Mtoto aache kucheza Playstation akacheze komborela ni ngumu sana, Aache GTA VICE CITY acheze ukutiukuti,, Watoto wengi wa saiz watakuja kuwa wanamapinduzi sana kwenye nyanja za kitechnolojia sababu wAnaanza kuizoea tangu wadogo,.
 
Naomba unifafanulie kwanini kombolela ni mchezo wa uswahilini wakati unachezwa mpaka huko uzunguni New york,Toronto mpaka London na kwa lugha nyingine unaitwa hide and seek.

Kukuambia Uswahilini kamwe sikumaanisha kuwa ninaudharau ila nimemaanisha kuwa unachezwa hasa na Waswahili ila Kwingineko hawauchezi.
 
Kukuambia Uswahilini kamwe sikumaanisha kuwa ninaudharau ila nimemaanisha kuwa unachezwa hasa na Waswahili ila Kwingineko hawauchezi.
Kuna kitu nataka kujifunza.Je Ulikuwa una maana gani kusema mchezo wa uswahilini?
 
Back
Top Bottom