Hivi Mchakamchaka bado upo shuleni au ndio basi tena?

Hivi Mchakamchaka bado upo shuleni au ndio basi tena?

2016-2018 kwa wiki ilitakiwa kukimbia mara 3. Binafsi nilikimbia mara 5 tu kwa miaka miwili, usingizi wangu ulikuwa ni wathamani mno. Sijawahi kuuelewa huu utaratibu kwakweli.
 
Na wakkkimbizwa mchakamchaka mwanao akajikwaa na kuumia utakuja tena kuandika walimu hivi walimu vile watoto wameenda kisoma sio kufanya hivi.

Kweli uwalimu shida kila anayeona Hana Cha kufanya shuleni wafanye hiki, wafanye kile
 
Na wakkkimbizwa mchakamchaka mwanao akajikwaa na kuumia utakuja tena kuandika walimu hivi walimu vile watoto wameenda kisoma sio kufanya hivi.

Kweli uwalimu shida kila anayeona Hana Cha kufanya shuleni wafanye hiki, wafanye kile
Sio kweli mimi siwezi kuwa mzazi wa ovyo...
 
Watoto wa matajiri au kipato cha English medium hawezi kufua nguo, kuosha vyombo, kufagia wala kushika jembe. Hata kunya kwao utaskia "mama puu haitoki". Sembuse kukimbia. Wamenenepeana kama nguruwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee poleni sana ,sisi shuleni kwetu tulikua tunafanya Kazi ya kusoma tu,
Usafi ilikuepo kampuni inafanya usafi so waliosoma shule inaitwa Lake mnajua then Jambo la mchakamchaka ni kupoteza Muda tu
 
Mnavyotuchambaga walimu pambaneni na watoto wenu🤣🤣🤣 Tunawarudishia Kama mlivyowaleta, mtoto hawezi hata kumenya embe🤣🤣🤣
Maisha yenyewe mchakamchaka tosha
 
Back
Top Bottom