mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Shuleni tulikuwa na bendi piaMichezo ni muhimu lakini hata kama sio mchakamchaka
Asubuhi watu wanaliamsha kwenye paredi
Forodhani primary(St joseph)
Nlikuwaga kitengo cha kupiga drum lile.....basi wakati wa paredi nlikuwa nalikolezaaaa ngoma ile
Acha bana zamani kuna vitu vilikuwa vinavutia
Ova