Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
- Thread starter
-
- #21
Asante. nimepata kumcheki bro kanielekeza (Makongo juu na lugaro wanasoma full gwarideKwa adv ni rahisi, mwezi wa 2 tu kafate ni chap unapata. O level (F1 dec tu chukua) kuhamia sina uzoefu.
Shida ya mtz unakuta anaogopa kitu ambacho hajawahi hata jaribu kufanya ila anahisi ni hakiwezekani
Mleta mada ndugu Hemedy Jr Junior ameulizia swala la mchakamchakaMichezo ni muhimu lakini hata kama sio mchakamchaka
Gwaride kawaida.Asante. nimepata kumcheki bro kanielekeza (Makongo juu na lugaro wanasoma full gwaride
Sawa tunafanyaje ili warudi kwa mchakamchakaMleta mada ndugu Hemedy Jr Junior ameulizia swala la mchakamchaka
Mom puu haitoki 🤣🤣🤣Watoto wa matajiri au kipato cha English medium hawezi kufua nguo, kuosha vyombo, kufagia wala kushika jembe. Hata kunya kwao utaskia "mama puu haitoki". Sembuse kukimbia. Wamenenepeana kama nguruwe.
Nilipita shule moja nikakuta watoto kibao wanapiga mchaka mchaka wa Fagio yaan pale linatembea Fagio hadi panakua peupe alafu mwalimu km Afande aisee utasikia weeewe haya rudi rudi anza na moja ni mwendo wa FagioShule nyingi hamna… ila zile za Jeshi bado kuna kukimbia Smart area.
Reverse what I have said on the post number #18Sawa tunafanyaje ili warudi kwa mchakamchaka
Serikali ndo imeuza maana ardhi ni ya serikaliReverse what I have said on the post number #18
Sio kweli mimi siwezi kuwa mzazi wa ovyo...Na wakkkimbizwa mchakamchaka mwanao akajikwaa na kuumia utakuja tena kuandika walimu hivi walimu vile watoto wameenda kisoma sio kufanya hivi.
Kweli uwalimu shida kila anayeona Hana Cha kufanya shuleni wafanye hiki, wafanye kile
AhahhaahahaSerikali ndo imeuza maana ardhi ni ya serikali
Kweli sio mama, wanatumia mom.Mom puu haitoki 🤣🤣🤣
Shule nyingi za Serikali mchaka mchaka wa Fagio upo Primary & Secondary especially zenye vina Saba na Jeshi hizo ni lazimaSawa tunafanyaje ili warudi kwa mchakamchaka
Kumbe wee F6 umemaliza 2018?2016-2018 kwa wiki ilitakiwa kukimbia mara 3. Binafsi nilikimbia mara 5 tu kwa miaka miwili, usingizi wangu ulikuwa ni wathamani mno. Sijawahi kuuelewa huu utaratibu kwakweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watoto wa matajiri au kipato cha English medium hawezi kufua nguo, kuosha vyombo, kufagia wala kushika jembe. Hata kunya kwao utaskia "mama puu haitoki". Sembuse kukimbia. Wamenenepeana kama nguruwe.
Tumewakatisha tamaa walimuTuna watoto mandazi sana siku hizi, hata Michezo imepungua ya kumjenga mtoto kiakili kwanini mambo machafu yasipate nafasi.
kuna maana kubwa ya kuwepo michezo tofauti tofauti katika maisha yetu.