Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Moja ya vigezo vya kusomea profession niliyo nayo ni lazima usome fizikia.

Kwa kifupi ilinisaidia kusomea profession ya ndoto yangu au wewe ulitakaje bwashee
Umefikia wapi zaidi ya kukariri , wenzio wanapata tenda duniani wewe unapewa makapi hayo 😀 😀 😀 .

Soma kule japan , china ukaone uhalisia sio takataka hizo
 
😂🤣😆 unakimbia hoja na maswali niliyokuuliza unakuja na vipoint vyako vingine tena vya kuokoteza
Kwa heri
 
😂🤣😆 unakimbia hoja na maswali niliyokuuliza unakuja na vipoint vyako vingine tena vya kuokoteza
Kwa heri
Umeona umepingwa hoja zako unakimbia kijana!?
Hoja za dawa kuleta madhara na maziwa kuua watoto zimekanushwa ndio unakimbia!?
I proved you wrong na wewe fanya vivyo hivyo.
Sijakimbia hoja,umeleta hoja nimezichambua pia nimekupa hint ukasome wewe hautaki,sasa unataka nini!?
Mbona wewe ulinambia niende google nikasome kuhusu"China milk scandal"?Si nimeenda na nikaja na majibu!?
Kwanini na wewe usifanye kama mimi ukasome kuhusu Samantha Du na API?
Hautaki kujifunza pia unaonekana haupendi kusoma ndio maana ukaleta taarifa zisizo sahihi.
Angelikua anaependa kusoma angeeda kutafuta maana ya API na kumsoma huyo mama.
 
Sasa mbona unakuja halafu unakataa? Newton alileta kanuni zake miaka mingi iliyopita lakini mpaka leo urushwaji wa rockets msingi wake ni Newton's third law
Huwezi kuiita eti fizikia ni takataka kisa umesoma elementary physics tu. Leo unaejoy umeme unadhani aliyeugundua hakuwa na uelewa wowote wa uwepo wa charged particles? Na kwamba zikimove in a material zinabring current?
 
Mkuu nakuja na kukataa au wewe NI MGUMU KUELEWA!?
Embu jaribu kunisoma tena utanielewa.
Sikusema kama physics takataka bali nimesema Physics sio uvumbuzi bali ni principles inayosaidia uvumbuzi.
Hata huo mfano wa cathod ray hujauelewa mkuu!?
Embu soma kwa uelewa nakusihi.
 
Kuna invention na innovation mkuu

Unaweza kufanya invention ukaja kuzidiwa na atakayekuja kufanya innovation

Vitu vingi vimefanyiwa invention Ulaya lakini mbona credit iende kwa USA ambaye amefanya innovation kama China
Na china anachokifanya ni innovation, haupotezi muda na rasilimali nyingi, ila tija yake ni ya uhakika. Hata walichokifanya Space X na Tesla ni pure innovation tu.
 
Umefikia wapi zaidi ya kukariri , wenzio wanapata tenda duniani wewe unapewa makapi hayo 😀 😀 😀 .

Soma kule japan , china ukaone uhalisia sio takataka hizo
Watu wa aina yako ndo wanafanya nchi hii ionekane IQ zetu ni ndogo!?
Kwa hiyo madaktari wanaokutibu unapokuwaga hoi hata simu huwezi shika wote wamesoma nje?
Mi nafanya kazi na hao wamesoma huko China, Japan n.k. ila sijawahi ona utofauti wao
Acha colonial mindset mzee
 
Madaktari bingwa nenda Asia huko India ndio maarufu sio elimu yako ya kukariri , tangu muanze kusoma nje miaka ya nyuma mpaka leo hamna matokeo kazi uwizi na forging , miradi mnaharaibu.

Wewe IQ ndogo hata usome wapi hamna maajabu utafanya labda uajiriwe mpaka kufa.
 

= dialysis
 
Japo ni mda sasa toka uanzishe hii thread, hizo technologia unazoziongelea; unajua kuna products za mmarekani zinatoka china? Je, unadhani bei ya product original ya Mchina wabongo wangapi wanaiweza? Unavyoona hapa vinavyoitwa vya mchina, ni products special for Africa, haziuziki kwingine. Na ni kwa sababu uwezo hawana.
 
Ww hapo kuna chochote unachotumia kutoka usa ukiitoa hizo os
 
Kwahiyo hizi ndo mada zinazo jadaliwa na wasomi wa kitanzania.... tena mnazipamba na kuziita mada zenye akili... dooh!
 
Sio rahisi hivyo Semiconductor ni technology ngumu kweli kweli bila R&D ya kutosha kufanikiwa inahitaji maajabu
True lakin sio kwamba wanaanza the scratch .. tayari wana 7nm microchips .. and the currently iliyopo ni ya 3nm
 
Hii ni sababu ya usa dolla domination
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…