Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Kuna dawa isio na madhara ? Tuanze na chanjo za Covid19 za U.S
Shida ya sisi waswahili tunachukulia kitu kikiwa maarufu ndio basi bora kuliko kingine.
Hajui kama hapa Tanzania kuna pharmaceutical companies nyingi tu zinazoendeshwa na wachina.
Hao johnson na Jonson anaowasemea mwaka jana tu kuna vipodozi vyao hapa Africa hususan West Africa vimepigwa marufuku kuwa huchochea vimelea vya saratani ya ngozi.
 
Usichoelewa ni kuwa kazi aliyofanya Marekani kwa miaka 10, mchina anaifanya ndani ya miaka 4, ndio hofu kuu iko hapo.
 
Shida ya sisi waswahili tunachukulia kitu kikiwa maarufu ndio basi bora kuliko kingine.
Hajui kama hapa Tanzania kuna pharmaceutical companies nyingi tu zinazoendeshwa na wachina.
Hao johnson na Jonson anaowasemea mwaka jana tu kuna vipodozi vyao hapa Africa hususan West Africa vimepigwa marufuku kuwa huchochea vimelea vya saratani ya ngozi.
Wachina wako wanaua mpaka watoto wao wenyewe google china milk scandals kwa kuweka melamin kwenye maziwa halaf ndo pharmaceuticals zao eti ziwe mbele ya US thubutuuu
 
Tofauti kubwa ni Wamarekani wavumbuzi wote ni wageni.

Wenye asili ya Marekani wamevumbua vitu vichache sana.
Statement ya 1 inapingana na ya 2 🤣😂😆😄😁 hii ni kuthibitisha ulichoandika kina walakini tena mkubwa kupindukia
 
Una mahaba ya ajabu ngoja nikwambie tech nyingi zilizopo leo chanzo ni USA hilo huwezi kataa
Hapa tunaongelea mwanzilishi wengine wanadevelop tu!
Hivi warusi wangejuaje kuna nuclear bombs Kama wasingeona yakipigwa Nagasaki au Hiroshima .hao tiktok waliiga wapi? Ni sawa leo uanzishe biashara yako halafu wengine waige waimodify kwa kusoma udhaifu wa biashara yako. Halafu wapewe credit wao walikuwa wapi kuibuni? Ndo maana tunasema tech nyingi zinaanziaga west then east wanatwist na kuzinogesha
Toka hapa 😀 😀 😀 ,USA amekuja baada ya vita ya pili kuna watu humu walikuwa washazaliwaacha ushamba...Marekani anasapot hata hao founders wengi sio wamarekana kwa asili wamepewa uraia.
 
Toka hapa 😀 😀 😀 ,USA amekuja baada ya vita ya pili kuna watu humu walikuwa washazaliwaacha ushamba...Marekani anasapot hata hao founders wengi sio wamarekana kwa asili wamepewa uraia.
Hata wewe hapo asili yako siyo tanganyika
Kwanza Zamani kabla ya kuja wakoloni Tanganyika haikuwepo? Kusema USA tech imeanza kukua baada ya vita ya pili umepuyanga nenda kasome kwanza ndo uje hapa
Mataifa yote yana mwanzo hata huyo China alikuwa anaexist Kama empires tu na siyo Kama alivyo sasa
 
Hata wewe hapo asili yako siyo tanganyika
Kwanza Zamani kabla ya kuja wakoloni Tanganyika haikuwepo? Kusema USA tech imeanza kukua baada ya vita ya pili umepuyanga nenda kasome kwanza ndo uje hapa
Mataifa yote yana mwanzo hata huyo China alikuwa anaexist Kama empires tu na siyo Kama alivyo sasa
😀 😀Wachina ni real kasome wenye IQ kubwa kama sio Asia , wazungu kuvuruga tu na kuanzisha vita .
 
😀 😀Wachina ni real kasome wenye IQ kubwa kama sio Asia , wazungu kuvuruga tu na kuanzisha vita .
Nimesoma fizikia mpaka level ya Advance sijawahi kutana na knowledge aliyoleta mchina karibia zote walileta west
Au nchi yako iliamua kukumbatia western Education?
Hata kwenye kemia ni hivo hivo
 
Wachina wako wanaua mpaka watoto wao wenyewe google china milk scandals kwa kuweka melamin kwenye maziwa halaf ndo pharmaceuticals zao eti ziwe mbele ya US thubutuuu
Wachina wako wanaua mpaka watoto wao wenyewe google china milk scandals kwa kuweka melamin kwenye maziwa halaf ndo pharmaceuticals zao eti ziwe mbele ya US thubutuuu
Ndio maana nasema nina mashaka na uelewa wako.
Kuhusu maziwa yaliyoathiri watoto yanahusisha kampuni binafsi moja sio CHINA NZIMA.
Ni sawa Azania company watengeneze vyakula vyenye sumu,hilo ni tatizo la Azania na Azania itawajibishwa,ila sio tatizo la serikali nzima ya Jamhuri.
Soma nilipozungushia duara jekundu.
Screenshot_2024-05-18-07-02-56-07_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Nimesoma fizikia mpaka level ya Advance sijawahi kutana na knowledge aliyoleta mchina karibia zote walileta west
Au nchi yako iliamua kukumbatia western Education?
Hata kwenye kemia ni hivo hivo
Suala la chemistry na physics na biology mkuu ni tofauti na inventions.
Usifananishe hivyo vitu.
Unaleta masuala ya Galileo Galilei na masuala ya invention wapi na wapi mkuu!?
 
Nimesoma fizikia mpaka level ya Advance sijawahi kutana na knowledge aliyoleta mchina karibia zote walileta west
Au nchi yako iliamua kukumbatia western Education?
Hata kwenye kemia ni hivo hivo
Elimu ya mzungu hiyo bado unatawaliwa 😀 😀 theories hizo , wenzio wapo mbali sana kidunia hawasomi takataka hizo .

Nataka kujua hiyo fizikia imekufikisha wapi ?
 
Elimu ya mzungu hiyo bado unatawaliwa 😀 😀 theories hizo , wenzio wapo mbali sana kidunia hawasomi takataka hizo .

Nataka kujua hiyo fizikia imekufikisha wapi ?
Moja ya vigezo vya kusomea profession niliyo nayo ni lazima usome fizikia.

Kwa kifupi ilinisaidia kusomea profession ya ndoto yangu au wewe ulitakaje bwashee
 
Wachina wako wanaua mpaka watoto wao wenyewe google china milk scandals kwa kuweka melamin kwenye maziwa halaf ndo pharmaceuticals zao eti ziwe mbele ya US thubutuuu
Mie nakupa hints tu.
Kafuatilie kitu chaitwa API uone nani the leading producer.
Pia kamfuatilie mwanamama anayeitwa SAMANTHA DU.
Ni Mchina ambaye ni kiongozi wa research wa masuala ya pharmaceutical industry USA.
Kumbuka ni Mchina.
Nenda kamsome,USA ilifanya mageuzi makubwa ya pharma kwa ujuzi na uweledi wa huyu mwanamama.
Halafu bado unam underestimate Mchina,aiseee!
 
Hata wewe hapo asili yako siyo tanganyika
Kwanza Zamani kabla ya kuja wakoloni Tanganyika haikuwepo? Kusema USA tech imeanza kukua baada ya vita ya pili umepuyanga nenda kasome kwanza ndo uje hapa
Mataifa yote yana mwanzo hata huyo China alikuwa anaexist Kama empires tu na siyo Kama alivyo sasa
Kwamba China na Tanganyika kuna mfanano ?
 
Suala la chemistry na physics na biology mkuu ni tofauti na inventions.
Usifananishe hivyo vitu.
Unaleta masuala ya Galileo Galilei na masuala ya invention wapi na wapi mkuu!?
Hapo ndo mnapochemshaga hizo inventions zilizingatia kanuni za asili mfano radar gun aliyetengeneza aliielewa doplar effect, aliyetengeneza x ray machine je? Tatizo mnafikiri fizikia ni akina galileo na Newton tu!
 
Hapo ndo mnapochemshaga hizo inventions zilizingatia kanuni za asili mfano radar gun aliyetengeneza aliielewa doplar effect, aliyetengeneza x ray machine je? Tatizo mnafikiri fizikia ni akina galileo na Newton tu!
Unachanganya inventions na matumizi ya principles of physics kwenye uundaji vitu.
Physics ina principles zinazosaidia kwenye uvumbuzi eidha iwe invention au innovations,ila physics yenyewe sio uvumbuzi mkuu.
Alogundua Cathod ray oscilloscope ya hospitalini alichekecha kichwa kuhusu vipi tutapata signal ya kujua moyo wa mgonjwa unafanyaje kazi kwa kutizama electro cardiogram yake.
Ndio akarudi katika hizo principle kuunda hiyo oscilloscope.
Physics are matter of principles mkuu.
 
Back
Top Bottom