Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Upo kishabiki sana mkuu impact ya hio Belt Road and initiatives ni ipi haswa , USA inalazimika kuziwekea baadhi ya kampuni za China kutokana na Sera za taifa ,China kampuni inaweza kuwa na nguvu lakini bado mambo yake mengi yanakuwa influenced na Serikali ,unadhani communist party ikiamua kutaka kupata taarifa za mtumiaji flani wa Tiktok wa Kimarekani inashindwa ,ogopa sana kampuni ambazo zipo chini ya sera ya Socialist Market economy.
Dunia inakoelekea haihitaji Socialist Market economy bali inahitaji free market economy na Marekani licha ya kuwa kwenye Mixed Economy ila uhuru wa kisoko upo.
Hebu nenda kafuatilie Hotuba ya Raisi wa Argentina Javier Miller juu ya Free Market economy kwanza.
China haitoweza kumzidi Marekani labda itokee aondokane na mfumo wa kikomunisti na kuingia kwenye Pure Capitalism.
Free market economy etii 😀 ni vizuri kuota
 
Mngekuwa mnafuatilia na kujua mambo mengi ya nchi zenu tungekuwa mbali. M'bongo ukitaka aharishe kila kitu na aingie kwenye mjadala mletee mijadala ya aina hii. 1. Kati ya fulani na fulani nani ni tajiri zaidi? Kati ya nchi fulani na fulani ipi imeendelea zaidi?
Ukianza wewe si mbaya
 
Mngekuwa mnafuatilia na kujua mambo mengi ya nchi zenu tungekuwa mbali. M'bongo ukitaka aharishe kila kitu na aingie kwenye mjadala mletee mijadala ya aina hii. 1. Kati ya fulani na fulani nani ni tajiri zaidi? Kati ya nchi fulani na fulani ipi imeendelea zaidi?
Kwamba yakijadiliwa mambo ya nchi kipi hasa kitabadilika au badilishwa.

Jukwaa la siasa limejaa hayo mambo so far mpaka sasa umeshuhudia mabadiliko gani ? Tumekuwa kama U.S ?, tumekuwa kama China ? , tumekuwa kama Russia ?, Tumekuwa kama Singapore ? Tumekuwa kama SK ? , tumekuwa kama France ?, Tumekuwa kama Canada ?
Kipi kimebadilika au tuna endelea kuwa wapumbavu tu.

Bila kuchukua hatua za dhati hata kupigana unafikiri kuna kitu kita badilika hapa nchini kwa michango ya JF ?

Acha Watanzania wajifariji hata kwa hiki kidogo.

Kama ufurahishwi organize vijana na Watanzania yapatikane mabadiliko ya jasho na damu kama unaweza sio kuponda watu humu walioamua kujifariji.
 
Mngekuwa mnafuatilia na kujua mambo mengi ya nchi zenu tungekuwa mbali. M'bongo ukitaka aharishe kila kitu na aingie kwenye mjadala mletee mijadala ya aina hii. 1. Kati ya fulani na fulani nani ni tajiri zaidi? Kati ya nchi fulani na fulani ipi imeendelea zaidi?
Wewe hayo mambo ya nchi umeyajua , umechukua hatua gani baada ya kujua? , Pathetic[emoji706]
 
Mngekuwa mnafuatilia na kujua mambo mengi ya nchi zenu tungekuwa mbali. M'bongo ukitaka aharishe kila kitu na aingie kwenye mjadala mletee mijadala ya aina hii. 1. Kati ya fulani na fulani nani ni tajiri zaidi? Kati ya nchi fulani na fulani ipi imeendelea zaidi?
Mkuu uijadili bongo unaijadili nini!?
Tanzania nchi ambayo wasomi hawapewi kipaumbele!?
 
Kivipi embu nieleweshe?
Maana kuna mataifa yapo na mapigano na wanatumia Chinese made weapons.
Biashara ni Vita mkuu , mfano;unadhani alieifungia Huawei Marekani ni wanasiasa pekee na watu wa usalama ? pale kulikuwa na mkono wa matajiri wakubwa , Huawei ilikuwa kampuni inayokuwa kwa kasi ya upepo wa kisulisuli na kuwa tishio kwa kampuni za Kimarekani na kilichofanyika ni kuikata miguu ianze upya, hizi ni figisu ambazo popote pale utazikuta kwenye vita ya maendeleo.
Mmarekani hawezi igusa Sumsung pale Korea kwasababu ushirikiano wa S.Korea na Marekani ni mkubwa zaidi kuliko Korea na China.
Kwenye swala la China kuuza Siraha hawezi mpiku Mmarekani japo anauza, Ndio kashikilia mtandao wa Black Market karibia dunia nzima ,Marekani haijaanza Vigisu jana yaani anazijua China anajifunza... Rejea namna USSR Ilivyo collapse
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
Tofauti kubwa ni Wamarekani wavumbuzi wote ni wageni.

Wenye asili ya Marekani wamevumbua vitu vichache sana.
 
Tofauti kubwa ni Wamarekani wavumbuzi wote ni wageni.

Wenye asili ya Marekani wamevumbua vitu vichache sana.
Mfano wa wenye asili ya Marekani waliovumbua hivyo vichache ni wakina nani na vitu gani kwa Mfano?
 
Jiulize hao ma Dr wa aina gani na wamepitaje!?
Na hata kama wamepita je wanasikilizwa na kupewa uhuru wa mawazo!?
Watu kama kina prof Kabudi una mashaka na elimu yao? Ukiwa msomi kama uko huko na husikilizwi basi ni vizuri uondoke.
 
Kwamba yakijadiliwa mambo ya nchi kipi hasa kitabadilika au badilishwa.

Jukwaa la siasa limejaa hayo mambo so far mpaka sasa umeshuhudia mabadiliko gani ? Tumekuwa kama U.S ?, tumekuwa kama China ? , tumekuwa kama Russia ?, Tumekuwa kama Singapore ? Tumekuwa kama SK ? , tumekuwa kama France ?, Tumekuwa kama Canada ?
Kipi kimebadilika au tuna endelea kuwa wapumbavu tu.

Bila kuchukua hatua za dhati hata kupigana unafikiri kuna kitu kita badilika hapa nchini kwa michango ya JF ?

Acha Watanzania wajifariji hata kwa hiki kidogo.

Kama ufurahishwi organize vijana na Watanzania yapatikane mabadiliko ya jasho na damu kama unaweza sio kuponda watu humu walioamua kujifariji.
Ni wale wale. Hata kuandika maneno ya kiswahili hujui, sitegemei uelewe point yangu. Elimu yetu imezaa ma-graduate hovyo kabisa.
 
Ni wale wale. Hata kuandika maneno ya kiswahili hujui, sitegemei uelewe point yangu. Elimu yetu imezaa ma-graduate hovyo kabisa.
Hongera kwako upo vizuri.

Tukomboe masihi na umasikini huu ongoza njia sisi wanafunzi wako twasubiri muongozo wako.
 
Watu kama kina prof Kabudi una mashaka na elimu yao? Ukiwa msomi kama uko huko na husikilizwi basi ni vizuri uondoke.
Tuseme nipo katikati.
Ila uhalisia tunaujua mkuu Tanzania wasomi stahiki hawasikilizwi maoni yao.
Kama wangekua wanasikilizwa Tanzania isingekua hapa tulipo.
 
Vizuri mkuu,wacha nipite kwenye point zako.
Kipengele cha kwanza na chapili na kubali,japo China naye ameshaanza kupiga hatua kuja juu katika hizo sehemu,na hatua yake ndio inayomuumiza kichwa USA.
Tukija katika masuala ya kitiba kiujumla iwe biotech,pharmaceuticals iwe masuala ya epidemiology China kapiga hatua kuliko USA.
Kama ulifuatilia Corona China ilichukua siku 90 kuidhibiti corona,vifo vilipungua na maambukizi yalikua yenye kudhibitiwa.
Vifo vingi vilitokea mwanzo wa eruption ya Covid 19.Ila baadae China iliweza kudhibiti usambaaji wa Corona.
Tukija kwa USA,Spain na Italy ndio waliokuja kuongoza kwa vifo na iliwachukua muda kudhibiti Corona.
China ndio nchi pekee ulimwenguni wenye uwezo wa kupambana na aina nyingi za saratani tena kwa tiba za kisasa na kienyeji.
Na ulimwenguni China pekee ndiye aliyeendelea katika herbal science.
Upande wa afya China yuko mbele zaidi kaifuatilie mkuu.
Kuhusu aerospace nakubali japo China anapiga hatua kali kuja hilo eneo katika fighter jets kashakamilika ila katika ndege za abiria bado ndio anajitafuta ila soon anakuja walipo wengine.

Kuhusu dollar kuwa medium of exchange hilo halipingwi kuna factors nyingi zinazofanya dollar bado kuwa na nguvu,japo kukosekana kwa dollar kunatuathiri sisi nchi za ulimwengu wa tatu.

Kuhusu manufacturing CHINA HANA MPINZANI,China is the most industrialized nation na inachangia zaidi ya 32% ya manufacturing goods ulimwenguni,kalifuatilie hili mkuu.
Kiubora China huwenda anazidiwa na Germany na Japan ila sio USA.
China ana uwezo wa kuunda bidhaa zenye ubora kama wa USA na amethibitisha hilo katika soko.
Tesla EV zimeonekana kuwa na ufanisi mdogo chini ya Chinese EVs.
Kwenye pharmaceuticals mchina ana company gani inayoweza kupambana na high tech giant multinational pharmaceuticals za US kama johnson and jonson? na zingine nyingi tu mchina ana kampuni gani? ya madawa ambayo ipo even kwenye tano bora duniani? huyo mchina ambaye utafiti wa MUHAS ulionyesha wazi dawa zake nyingi za kichina zinaua figo ndo ampite US?
 
Kwenye pharmaceuticals mchina ana company gani inayoweza kupambana na high tech giant multinational pharmaceuticals za US kama johnson and jonson? na zingine nyingi tu mchina ana kampuni gani? ya madawa ambayo ipo even kwenye tano bora duniani? huyo mchina ambaye utafiti wa MUHAS ulionyesha wazi dawa zake nyingi za kichina zinaua figo ndo ampite US?
Kuna dawa isio na madhara ? Tuanze na chanjo za Covid19 za U.S
 
Kwenye pharmaceuticals mchina ana company gani inayoweza kupambana na high tech giant multinational pharmaceuticals za US kama johnson and jonson? na zingine nyingi tu mchina ana kampuni gani? ya madawa ambayo ipo even kwenye tano bora duniani? huyo mchina ambaye utafiti wa MUHAS ulionyesha wazi dawa zake nyingi za kichina zinaua figo ndo ampite US?
Lete ushahidi hapa wa dawa za China zinazoleta madhara ya figo.
Ila hiyo kampuni uliyoisemea kuna dawa zake nyingi zimepigwa marufuku Tanzania na vipodozi vyake maana huleta vimelea vya carcinoma.
Mitandao ipo bro nenda kagoogle uone jinsi China walivyoendelea kwa kuleta herbal medicine katika uwanda wa pharmaceuticals science.
Na dawa zao zime prove kwa kiasi kikubwa,na dawa za herbs za kichina zimeonekana kuwa too active kwa early stage of carcinoma.
Field yangu hiyo nimesoma na nimepita nyanja za wote wawili hao mkuu.
We kama unabisha kafuatilie.
 
Back
Top Bottom