Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Kina Steve, walienda kule sababu ya Cheap labour tu.
Cheap labor ambayo ina knowledge na skills na ni wengi huwezi kuipata marekani. Yani mfano now hapa kuna cheap graduates kwa sababu ni wengi mtaani hata 150k kwa mwezi wanachukua. Sasa hicho ndichi kilichopo china. Na ndio maana akakwambia china ukitaka watu wanaojua kitu fulani, watajaa uwanja wa mpira wakati US hata meza inaweza isijae.
 
Cheap labor ambayo ina knowledge na skills na ni wengi huwezi kuipata marekani. Yani mfano now hapa kuna cheap graduates kwa sababu ni wengi mtaani hata 150k kwa mwezi wanachukua. Sasa hicho ndichi kilichopo china. Na ndio maana akakwambia china ukitaka watu wanaojua kitu fulani, watajaa uwanja wa mpira wakati US hata meza inaweza isijae.
Basi sawa, ngoja nibakie msomaji.

Haya mambo ya Technology siyajui sana
 
Unaonekana UNA UGUMU WA KUELEWA.
Wacha nikupe mfano mmoja ndio utaelewa.
Hizo ndege za Boeing unazosifia muasisi ni Wilhelm Boeing ni Mjerumani ila alikimbilia USA.
Tunarudi pale pale USA wavumbuzi wake sio wa asili ya Amerika.
Bro note the point nayokwambia.
Ndio maana hata ukienda huko research centres zao hao USA utakutana na WAJERUMANI,WAISRAEL/WAYAHUDI,WAKOREA,WAJAPAN,WACHINA,WAHINDI.
Embu usiwe unakaza kichwa we jamaa.
Sawa USA ndio inatambulika imeasisi,je ASILI YA HAO WAASISI NI NATIVE AMERICANS!?
JIBU NI NO.
Unawafahamu native Americans?
Hembu toa mfano mmoja wa Native American maarafu ili ueleweke unataka kusema nini hasa.
Waziri mkuu wa sasa wa qqUingereza ni Muingereza au Mhindi?
 
At least mna facts za kujadili.
Hahaha mkuu sisi ni wazee wa kuahdithia ukijua story na hadithi nyingi mfano hapo nimesema 5nm breakthrough huku wanasema dah jamaa ana akili nyingi yule 😃😃 kisa tu najua story za technology.
 
Cheap labor ambayo ina knowledge na skills na ni wengi huwezi kuipata marekani. Yani mfano now hapa kuna cheap graduates kwa sababu ni wengi mtaani hata 150k kwa mwezi wanachukua. Sasa hicho ndichi kilichopo china. Na ndio maana akakwambia china ukitaka watu wanaojua kitu fulani, watajaa uwanja wa mpira wakati US hata meza inaweza isijae.
Kiwango cha skilled cheap labour kwenye mataifa yaliyoendelea lazima kiwe kidogo kulinganisha na katika mataifa yanayoendelea. Hata China wakiendelea kama US na uhuru wa raia ukiongezeka hao cheap labourers wa China wataanza kudai malipo makubwa zaidi.
 
Oya Mimi sitaki kubishana leo!
Nataka nijue hizi Mambo zinatoka wapi maana karibia kila mwenye smartphone anazo
Facebook, Google, android OS ,X zamani Twitter, linkendin na mziki wa hip hop🤣🤣
Harmony operating system unaijua wewe ?Hao wana vita ya kibiashara hata wanasayansi wa Marekani ni kutoka mataifa ya nje😛😛

Kuna wechat na mitandao kibao , waulize wanaofanya biashara kwenda china wanatumia mitandao gani sio takataka zako zinazohackiwa mpaka watu wanasambaza porno huko fecebook .

Mrekani anawatumia china na mataifa mengine kweny kupata teknolojia hata mashindano , wewe kajamba nane kutoka kyela unapiga kelele
 

Attachments

  • q00bnoodg5171.jpg
    q00bnoodg5171.jpg
    49.2 KB · Views: 1
Mchina hana ushawishi wowote duniani, ukimlinganisha na Mmarekani.

Ukiushika utamaduni, umeishika dunia. Ndio ushawishi wenyewe unaanzia hapo.

Afrika tunatumia vitu vya wachina kwa sababu ni cheap, ila ndoto zetu wote ni kutumia vitu vya magharibi.

USA forever
 
Unawafahamu native Americans?
Hembu toa mfano mmoja wa Native American maarafu ili ueleweke unataka kusema nini hasa.
Waziri mkuu wa sasa wa qqUingereza ni Muingereza au Mhindi?
Maana ya native ni mwenye asili ya pale.
Rishi Sunak sio native ni mlowezi wa kihindi aliyebeba uraia wa Uingereza.
 
Mchina hana ushawishi wowote duniani, ukimlinganisha na Mmarekani.

Ukiushika utamaduni, umeishika dunia. Ndio ushawishi wenyewe unaanzia hapo.

Afrika tunatumia vitu vya wachina kwa sababu ni cheap, ila ndoto zetu wote ni kutumia vitu vya magharibi.

USA forever
Ushawishi sasa hivi hutizamwa kidiplomasia na kibiashara.
China sasa hivi ni taifa linaloongoza kiushawishi wa kidiplomasia na kibiashara.
Robo tatu ya dunia ishakula pesa ya Mchina na inafanya biashara na Mchina.
 
Kumbe wewe kwako taifa la USA ni wale Wahindi Wekundu(Red Indians) tu ambao ndio wakazi wa asili wa Marekani!
Nilichotaka kukiweka sawa ni kuwa hiyo China ina vipawa.
 
Hizo stori za migahawa, kafanye research kwanza alafu ndo uanze kuongea sio eti "hata hizo research center wavumbuzi sio native Americans" unaongea kama mtu aliyekatwa kichwa mzee.
Alafu kitu kingine utambue, Marekani haina white population peke yake,hata hao whites unaowaona ukitrace asili yao ni Europe sasa nakushangaa unaposema muita mtu mchina just kwakuwa ana asili ya Asia, mtu kazaliwa USA, kasoma USA, na maisha yake yote kaishi USA alafu anafanya kazi research center USA wakiinvent kitu unasema Ooh sio native American hii ni nonsense ya kwanza alafu mzee aliyekwambia wachina, waisraeli, wajerumani ndo wamejazana research center za USA kuliko whites ni nani??? Fanya research kwanza usikurupuke mkuu
Unaingiza Boeing, sijazungumzia Boeing maana sina ufaham nazo katafute hizo nlizokuwekea mifano apo acha kujibu kwa mihemko
Naona NABISHANA NA KIJANA MDOGO AMBAE YEYE NDIYE ANAYEFUATILIA STORI ZA VIJIWENI.
Sina cha kujadili na wewe nimemaliza mjadala na wewe jadili na watu wengine.
 
Harmony operating system unaijua wewe ?Hao wana vita ya kibiashara hata waansayansi wa Marekani ni kutoka mataifa ya nje😛😛

Kuna wechat na mitandao kibao , waulize wanaofanya biashara kwenda china wanatumia mitandao gani sio takataka zako zinazohackiwa mpaka watu wanasambaza porno huko fecebook .

Mrekani anawatumia china na mataifa mengine kweny kupata teknolojia hata mashindano , wewe kajamba nane kutoka kyela unapiga kelele
Halafu kuna wajinga watakwambia China wanasubiri mpaka wazungu waendeleze kitu ndio hao wafanye.
Hajui kama China wana research centres zao.
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
China anapomzidi US ni kwenye wizi, rushwa na kutengeneza bidhaa feki.
 
Halafu kuna wajinga watakwambia China wanasubiri mpaka wazungu waendeleze kitu ndio hao wafanye.
Hajui kama China wana research centres zao.
Marekani mzee wa kukwapua watu wenye uwezo anawapa uraia kweny nchi yake .
 
Marekani mzee wa kukwapua watu wenye uwezo anawapa uraia kweny nchi yake .
Ndicho nilichokua namwambia jamaa.
Ndio maana nikatumia kauli hii,"tukitaka kuzungumzia invention kiuhalisia lazima tutarudi EUROPE na ASIA far east regions".
Na hao ndio waliojazana USA.
Kuna jitu linabisha.
China inaanza kuunda vilipuzi kabla hata Ottoman empire haijulikani inazaliwa lini.
Yani nyuma ya hiyo 18th century China ashaunda vilipuzi na silaha.
 
Ndicho nilichokua namwambia jamaa.
Ndio maana nikatumia kauli hii,"tukitaka kuzungumzia invention kiuhalisia lazima tutarudi EUROPE na ASIA far east regions".
Na hao ndio waliojazana USA.
Kuna jitu linabisha.
China inaanza kuunda vilipuzi kabla hata Ottoman empire haijulikani inazaliwa lini.
Yani nyuma ya hiyo 18th century China ashaunda vilipuzi na silaha.
Marekani ni mjanja yule usione atatetea kule Israel ndio wanamuweka mjini , kajaza watu weusi kibao kweny entertainment kama basketball , miziki ,movie yote kukuza uchumi wake
 
Back
Top Bottom