Hivi Mdude Nyagali ni kiumbe wa namna gani?

Tatizo hiki kikundi cha magaidi inatakiwa kifutwe kabisa kipotee kabisa. Hapo dawa ni kukamata na kuweka ndani mbowe na kurejesha ile kesi ili ahukumiwe kunyongwa mpaka kufa
Mbowe kamkamate wewe huku ukisaidiana na mamako kama unaweza.
 
Kuna baadhi ya watu wamezaliwa automatically ni wagonjwa wa akili.Sasa ona amepewa kesi ya uhaini ambayo adhabu yake ni kunyongwa mpaka kufa.
Siasa za Africa zinahitaji uwe na extra thinking capacity katika kufanya approach yoyote.
 
mamayenu samia nyie amewalea vizuri,kama mnamalezi mazuri kule geita mngetoa vitisho kuwa lissu asikanyage chato, mzee wasira mlezi wenu huko ccm anaakili timamu aliposema lissu azomewe chato? jiongezeni nyie makuwadi na madalali ya dpworld.
 
Kuna baadhi ya watu wamezaliwa automatically ni wagonjwa wa akili.Sasa ona amepewa kesi ya uhaini ambayo adhabu yake ni kunyongwa mpaka kufa.
Siasa za Africa zinahitaji uwe na extra thinking capacity katika kufanya approach yoyote.
Wanafanganywa sana na mashabiki wa kwenye mitandao hadi wanajoona wao ni kama Nelson Mandela au Che Guevara.
 
Tanzania tunarudi nyuma Sana. Mara ugaidi mara uhaini. Ukiuliza uhaini wenyewe Sasa, utashangaa unaambiwa mambo ya kijinga. Ila mwisho wa mafisadi wa CCM imefikia.
 
Hiyo kauli " mwambieni huyo mama yenu nitamnyoa kwa wembe ule ule niliotumia kwa mtangulizi wake" Ina shida gani? Na unaweza Thibitisha kwamba anayeongelewa ni nani?
 
Sahihi sana kaka

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kauli " mwambieni huyo mama yenu nitamnyoa kwa wembe ule ule niliotumia kwa mtangulizi wake" Ina shida gani? Na unaweza Thibitisha kwamba anayeongelewa ni nani?
Ni mama yako wewe Marco Polo basi ndiye anaongelewa.
 
Kwa torturing aliyofanyiwa na wale jamaa, lazima atakuwa aliathirika kisaikolojia.
Kwa hiyo isingekuwa ajabu kumwambia Mama maneno hayo yasiyo ya kistaarabu!
 
Mr@Stuxnet njaa mbaya sana

Hata kama ni njaa haipaswi uwe mpumbavu kiasi hiki
 
Kwenye hotuba yake ya kwanza akiapishwa Rais Samia mnamo 19/03/2021 alitamka kuwa magazeti yafunguliwe, wananchi waikosoe Serikali kwa mujibu wa sheria. Akasisitiza na kesi za kubambikizwa zifutwe...
Mwambieni huyo Mama yenu, "nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake" hilo nalo ni tusi! Kama ni tusi basi vinyozi wote wakamatwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…