Hivi mkataba uliosainiwa na Yanga sc "WHIZMO" ni mkataba unayoiingizia timu shilingi ngapi?

Hivi mkataba uliosainiwa na Yanga sc "WHIZMO" ni mkataba unayoiingizia timu shilingi ngapi?

Ni haki yako Mkuu.

SUBIRIA VIONGOZI WATAKUPA A-Z KUHUSU HUO MKATABA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Nyie ndio mnaleta chokochoko mkiona mambo yapo sawa

Au turudi kule kutembeza bakuli?
Hiyo ada yako ya uanachama inasaidia nini?
Mkuu jikite kwenye hoja Unajua Nini maana ya chokochoko?!

Kwa hiyo Sina haki ya kuhoji??

Kama huna jibu bora ukae kimya maana hata wewe hujui huo mkataba Gharama yake.
 
Mkuu jikite kwenye hoja Unajua Nini maana ya chokochoko?!

Kwa hiyo Sina haki ya kuhoji??

Kama huna jibu bora ukae kimya maana hata wewe hujui huo mkataba Gharama yake.
Sass subiri wakati wa mkutano mkuu utauliza au mwishoni mwa msimu watatoa tathmini hapa sio mahala sahihi

Zaidi inaonekana kama vile unafanya sabotage
 
Hii ya simba haijibu swali la mleta mada kuhusu Whizmo ya Yanga. Sio watu wote ni weupe kichwani kwamba unaweza ukawapa jibu la kulinganisha na tatizo la upande wa pili wakakaa kimya
Lupweko kwenye kukurupuka
Mzee staafu kazini tu utaitia office hasara akili yako imefika mwisho
 
Sass subiri wakati wa mkutano mkuu utauliza au mwishoni mwa msimu watatoa tathmini hapa sio mahala sahihi

Zaidi inaonekana kama vile unafanya sabotage
Mbona mikataba ya ZIPA ZIRA huko zenji haikusubiri mkutano mkuu??

Mkataba wa "HAER" nao haukusubiri mkutano mkuu ulitangazwa hadharani?

Hata mkataba wa "NIC" Kama sijakosea huu unashughulika na tuzo ya mchezaji Bora wa mwezi huu mkataba nao haukusubiri mkutano mkuu.

Sijui hoja yako kuhusu mkutano mkuu Ni ipi
 
Mbona mikataba ya ZIPA ZIRA huko zenji haikusubiri mkutano mkuu??

Mkataba wa "HAER" nao haukusubiri mkutano mkuu ulitangazwa hadharani?

Hata mkataba wa "NIC" Kama sijakosea huu unashughulika na tuzo ya mchezaji Bora wa mwezi huu mkataba nao haukusubiri mkutano mkuu.

Sijui hoja yako kuhusu mkutano mkuu Ni ipi
Mkuu mimi naona nikuachie wewe yaani umeshinda hiyo ilikuwa mikataba mifupi mifupi tena ilisainiwa hapa hapa .

Hiyo Whizmo ni company ya huko dubai inajihusisha na mawasiliano Nadhani tutajua soon

Na hata kama wanapiga hela ni sawa tu GSM anarudishaje Faida yake unadhani?
 
Mkuu mimi naona nikuachie wewe yaani umeshinda hiyo ilikuwa mikataba mifupi mifupi tena ilisainiwa hapa hapa .

Hiyo Whizmo ni company ya huko dubai inajihusisha na mawasiliano Nadhani tutajua soon

Na hata kama wanapiga hela ni sawa tu GSM anarudishaje Faida yake unadhani?
HAYA BHANA LENGO LANGU NI KUJUA TU ILA NIMEONA WATU WENGI PIA HAWAJUI KAMA MIMI NISIVYOJUA.
 
Ngoja wenye Yanga yao waje, binafsi pamoja na ushabiki wangu wa mpira kuna mambo hayawezi kunishughulisha nayo. Mfano kujua mikataba haina umuhimu kwasababu hata nikijua haina maslahi kwangu.
 
Nikiwa Kama mwanachama kindaki ndaki wa Yanga Sc ninayelipa ada ya uanachama kila mwaka ninayohaki ya kujua (kujuzwa) /kuuliza/kuhoji mapato ya timu pale ninapokua sijui.

Hili la Mkataba wa "WHIZMO" limekuja kitofauti nimeona watu wanapaa juu juu uzinduzi wa jezi, @NALIANGWENA nilisubiri maelezo kutoka kwa viongozi kuwa mkataba wa "WHIZMO" umeingiza kiasi gani lakini sikuona Hilo.

Na Mimi mwanayanga lialia nahitaji kujua/kutambua mkataba huu unaingiza shilingi ngapi kwenye timu yangu (Yanga Sc) ?? Kama tulivyowekwa wazi kwenye mkataba wa ZIRA, ZIPA kule zenji na mikataba mengineyo iliyo pita Kama "HAER"

NB: Kama hujui kitu Kama Mimi ni Bora kukaa kimya lakini siyo kuja kwenye Uzi kuporomosha matusi na lugha za kejeli Kama vile kwenu hakuna wakubwa.

Nawasilisha hoja.

View attachment 2841978
We mla mihogo kaa kmya in msomalis voice
 
Nikiwa Kama mwanachama kindaki ndaki wa Yanga Sc ninayelipa ada ya uanachama kila mwaka ninayohaki ya kujua (kujuzwa) /kuuliza/kuhoji mapato ya timu pale ninapokua sijui.

Hili la Mkataba wa "WHIZMO" limekuja kitofauti nimeona watu wanapaa juu juu uzinduzi wa jezi, @NALIANGWENA nilisubiri maelezo kutoka kwa viongozi kuwa mkataba wa "WHIZMO" umeingiza kiasi gani lakini sikuona Hilo.

Na Mimi mwanayanga lialia nahitaji kujua/kutambua mkataba huu unaingiza shilingi ngapi kwenye timu yangu (Yanga Sc) ?? Kama tulivyowekwa wazi kwenye mkataba wa ZIRA, ZIPA kule zenji na mikataba mengineyo iliyo pita Kama "HAER"

NB: Kama hujui kitu Kama Mimi ni Bora kukaa kimya lakini siyo kuja kwenye Uzi kuporomosha matusi na lugha za kejeli Kama vile kwenu hakuna wakubwa.

Nawasilisha hoja.

View attachment 2841978
Uko sawa kiongozi, mkataba umewekwa Siri na sio kawaida ya viongozi wetu. Pia hata Haier kwenye jezi wapo nao inatakiwa isemwe mkataba wao ukoje.
 
Wewe Kama mwanachama hai nenda makao makuu wakupe au subiri mikutano ya klabu!!, Kila Jambo linauendeshaji wake acha kupropagate Mambo ya kichochezii!.
 
Wewe Kama mwanachama hai nenda makao makuu wakupe au subiri mikutano ya klabu!!, Kila Jambo linauendeshaji wake acha kupropagate Mambo ya kichochezii!.
Mbona mikataba mingine imewekwa wazi huu kwa Nini usubiri mkutano mkuu??

Kama huna jibu ni Bora ukaa kimya.
 
Back
Top Bottom