Stephen M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 371
- 379
Nenda HQ na kadi yako ya uanachama utaambiwaMpaka Sasa hakuna aliyenijubu Bali ni MALALAMIKO tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda HQ na kadi yako ya uanachama utaambiwaMpaka Sasa hakuna aliyenijubu Bali ni MALALAMIKO tu.
MBONA MIKATABA MINGINE IPO WAZI BILA HATA YA KWENDA HQNenda HQ na kadi yako ya uanachama utaambiwa
MPAKA SASA KIMYAWataweka wazi ni suala la mda tu
NAONGELEA YANGAKwani wa zile mwamed mbili mbili waliweka ngap
IMEINGIZWA KWENYE ZILE B20Moxtraa sijui kiasi gani nao
JOB TRUE TRUE.Ni haki yako Mkuu.
SUBIRIA VIONGOZI WATAKUPA A-Z KUHUSU HUO MKATABA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wewe kunguni, mtoa mada kasema kama hujui kitu kaa kimya ili wanaojua watiambie, au haujasoma wewe!!!Kwani wa zile mwamed mbili mbili waliweka ngap
Kwanza naomba nijue WHIZMO ni kitu gani? Kuuliza si ujingaWewe kunguni, mtoa mada kasema kama hujui kitu kaa kimya ili wanaojua watiambie, au haujasoma wewe!!!
PITIA HAPAKwanza naomba nijue WHIZMO ni kitu gani? Kuuliza si ujinga
Genta hatukuelewi, uko Simba au Yanga?Nikiwa Kama mwanachama kindaki ndaki wa Yanga Sc ninayelipa ada ya uanachama kila mwaka ninayohaki ya kujua (kujuzwa) /kuuliza/kuhoji mapato ya timu pale ninapokua sijui.
Hili la Mkataba wa "WHIZMO" limekuja kitofauti nimeona watu wanapaa juu juu uzinduzi wa jezi, @NALIANGWENA nilisubiri maelezo kutoka kwa viongozi kuwa mkataba wa "WHIZMO" umeingiza kiasi gani lakini sikuona Hilo.
Na Mimi mwanayanga lialia nahitaji kujua/kutambua mkataba huu unaingiza shilingi ngapi kwenye timu yangu (Yanga Sc) ?? Kama tulivyowekwa wazi kwenye mkataba wa ZIRA, ZIPA kule zenji na mikataba mengineyo iliyo pita Kama "HAER"
NB: Kama hujui kitu Kama Mimi ni Bora kukaa kimya lakini siyo kuja kwenye Uzi kuporomosha matusi na lugha za kejeli Kama vile kwenu hakuna wakubwa.
Nawasilisha hoja.
View attachment 2841978
NGOJA AJE MWENYEWE GENTAMYCINEGenta hatukuelewi, uko Simba au Yanga?
KAMA HUNA JIBU KAA KIMYA WAJE WANAOJUAGenta hatukuelewi, uko Simba au Yanga?
HIYO SIYO MAADA JIKITE KWENYE MAADA NDUGU MKUU NDUGU YANGU.Kwani ukiwa mwanachama wa club unafaidika na nini?
TENA KIPINDI KAMA HIKI MASHABIKI WAMEFURAHI TIMU ZOTE ZIMEFUZU WATU HAWAWEZI KUHOJI MAMBO YA MKATABA.Ila hizi timu zetu mbili ni pasua kichwa kwenye kuficha mikataba,wakati mwingine nahisi hata figure wanazoandika kwenye mikataba siyo halisi wanapunguza ila wanapiga parefu
Kama Mo, imagine mbet kifuani wamesema wanalipa bilioni 7, Mo ana matangazo manne kwenye jezi basi kwa vile siyo kifuani angelipa hata bil 3 kwa kila tangazo ingekuwa bil 12,ila analipa mil 300 ambayo hata haijulikani kama ni ukweli,hela zote za kuingia robo mara nne hakuna mchanganuo,acha kufuzu hizi hatua za chini,hela za AFL bil 5 wamepata na bado anakuambia anapata hasara, Mo kawa tajiri wa 12 baada ya kuingia Simba,je simba haijachangia utajiri wake?TENA KIPINDI KAMA HIKI MASHABIKI WAMEFURAHI TIMU ZOTE ZIMEFUZU WATU HAWAWEZI KUHOJI MAMBO YA MKATABA.
NGOJA WAJE WENYE TIMU YAO WATAKUTUKANA NAHIVI WAMESHINDA GOLI 6Kama Mo, imagine mbet kifuani wamesema wanalipa bilioni 7, Mo ana matangazo manne kwenye jezi basi kwa vile siyo kifuani angelipa hata bil 3 kwa kila tangazo ingekuwa bil 12,ila analipa mil 300 ambayo hata haijulikani kama ni ukweli,hela zote za kuingia robo mara nne hakuna mchanganuo,acha kufuzu hizi hatua za chini,hela za AFL bil 5 wamepata na bado anakuambia anapata hasara, Mo kawa tajiri wa 12 baada ya kuingia Simba,je simba haijachangia utajiri wake?
Mada isiyo na manufaa ya kazi gani?HIYO SIYO MAADA JIKITE KWENYE MAADA NDUGU MKUU NDUGU YANGU.