GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Hapa tumepigwa kama HAIER?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WENYE TIMU NI AKINA NANI?!Mada isiyo na manufaa ya kazi gani?
Kama wenye timu wametumia hela zao, wewe inakuuma nini?
UNANIULIZA MIMI TENA?!Hapa tumepigwa kama HAIER?
ViongoziWENYE TIMU NI AKINA NANI?!
SIRI YA NINI TENA ?!?
Nisaidie kuniulizia hiliUNANIULIZA MIMI TENA?!
Jibu zuri sana,,Subiri mkutano mkuu tutapewa taarifa
KAMUULIZE MO DEWJNisaidie kuniulizia hili
HILO SIYO JIBU NA NDIYO MAANA NIKASEMA KAMA HUNA MAJIBU NI BORA UNYAMAZE.Jibu zuri sana,,
Na mimi nasubiri jibuMPAKA SASA SIJAPATA MAJIBU
Kama wewe ni mwanachama kwa nini usiende kuuliza kwenye ofisi za Yanga. Na je wakikuambia itakusaidia nini au utafanya nini.Nikiwa Kama mwanachama kindaki ndaki wa Yanga Sc ninayelipa ada ya uanachama kila mwaka ninayohaki ya kujua (kujuzwa) /kuuliza/kuhoji mapato ya timu pale ninapokua sijui.
Hili la Mkataba wa "WHIZMO" limekuja kitofauti nimeona watu wanapaa juu juu uzinduzi wa jezi, @NALIANGWENA nilisubiri maelezo kutoka kwa viongozi kuwa mkataba wa "WHIZMO" umeingiza kiasi gani lakini sikuona Hilo.
Na Mimi mwanayanga lialia nahitaji kujua/kutambua mkataba huu unaingiza shilingi ngapi kwenye timu yangu (Yanga Sc) ?? Kama tulivyowekwa wazi kwenye mkataba wa ZIRA, ZIPA kule zenji na mikataba mengineyo iliyo pita Kama "HAER"
NB: Kama hujui kitu Kama Mimi ni Bora kukaa kimya lakini siyo kuja kwenye Uzi kuporomosha matusi na lugha za kejeli Kama vile kwenu hakuna wakubwa.
Nawasilisha hoja.
View attachment 2841978