Hivi mkataba uliosainiwa na Yanga sc "WHIZMO" ni mkataba unayoiingizia timu shilingi ngapi?

Hivi mkataba uliosainiwa na Yanga sc "WHIZMO" ni mkataba unayoiingizia timu shilingi ngapi?

Ngoja wenye Yanga yao waje, binafsi pamoja na ushabiki wangu wa mpira kuna mambo hayawezi kunishughulisha nayo. Mfano kujua mikataba haina umuhimu kwasababu hata nikijua haina maslahi kwangu.
Sawa Mkuu
 
Sio kila mkataba lazima uwekwe hadharani kama wewe mwanachama nenda kaombe usome vipengere haukatazwi
Kwani Kuna ubaya kujua mkataba nikiwa Kama mwanachama mbona mikataba mingine wanatushirikisha huu mkataba una Nini mpaka usiwekwe wazi??
 
Jibu sahihi nenda makao makuu kaomba huo mkataba utapewa wewe si mwanachama hai?
NILISEMA KAMA HAMNA MAJIBU NI BORA KUKAA KIMYA KULIKO KUJA KUTUMIA HISIA KUTETEA TIMU WAKATI MIMI POST YANGU INAJIELEZA.
 
Mpaka Sasa hakuna aliyenijubu Bali ni MALALAMIKO tu.
 
SIJAPATA JIBU MPAKA SASA KUHUSU MKATABA WA "WHIZMO"
 
Nikiwa Kama mwanachama kindaki ndaki wa Yanga Sc ninayelipa ada ya uanachama kila mwaka ninayohaki ya kujua (kujuzwa) /kuuliza/kuhoji mapato ya timu pale ninapokua sijui.

Hili la Mkataba wa "WHIZMO" limekuja kitofauti nimeona watu wanapaa juu juu uzinduzi wa jezi, @NALIANGWENA nilisubiri maelezo kutoka kwa viongozi kuwa mkataba wa "WHIZMO" umeingiza kiasi gani lakini sikuona Hilo.

Na Mimi mwanayanga lialia nahitaji kujua/kutambua mkataba huu unaingiza shilingi ngapi kwenye timu yangu (Yanga Sc) ?? Kama tulivyowekwa wazi kwenye mkataba wa ZIRA, ZIPA kule zenji na mikataba mengineyo iliyo pita Kama "HAER"

NB: Kama hujui kitu Kama Mimi ni Bora kukaa kimya lakini siyo kuja kwenye Uzi kuporomosha matusi na lugha za kejeli Kama vile kwenu hakuna wakubwa.

Nawasilisha hoja.

View attachment 2841978
Kama nimwanachama hai je unabudhuria vikao km unahudhuria vikao kwanini hiyo hoja ukaipeleka huko ambako utapata ufafanuzi wa kina
 
Kama nimwanachama hai je unabudhuria vikao km unahudhuria vikao kwanini hiyo hoja ukaipeleka huko ambako utapata ufafanuzi wa kina
HUU MFUMO WA KUSUBIRI VIKAO UMEANZA LINI MBONA MIKATABA YOTE ILIWEKWA WAZI MBELE YA KAMERA??

SASA MKATABA HUU UNA KIPI MPAKA UFICHWE/USUBIRI MKUTANO MKUU

JIKITE KWENYE HOJA KAMA HUNA JIBU KAMA MIMI SUBIRI WANAOJUA WAJE KUJIBU.
 
Back
Top Bottom