NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #41
Mambo yanakwenda kimya kimya ukihoji unaitwa mchocheziUko sawa kiongozi, mkataba umewekwa Siri na sio kawaida ya viongozi wetu. Pia hata Haier kwenye jezi wapo nao inatakiwa isemwe mkataba wao ukoje.
Lazima tuhoji mzeeWe mla mihogo kaa kmya in msomalis voice
Sawa MkuuNgoja wenye Yanga yao waje, binafsi pamoja na ushabiki wangu wa mpira kuna mambo hayawezi kunishughulisha nayo. Mfano kujua mikataba haina umuhimu kwasababu hata nikijua haina maslahi kwangu.
Kwani Kuna ubaya kujua mkataba nikiwa Kama mwanachama mbona mikataba mingine wanatushirikisha huu mkataba una Nini mpaka usiwekwe wazi??Sio kila mkataba lazima uwekwe hadharani kama wewe mwanachama nenda kaombe usome vipengere haukatazwi
Jibu sahihi nenda makao makuu kaomba huo mkataba utapewa wewe si mwanachama hai?Mbona mikataba mingine imewekwa wazi huu kwa Nini usubiri mkutano mkuu??
Kama huna jibu ni Bora ukaa kimya.
NILISEMA KAMA HAMNA MAJIBU NI BORA KUKAA KIMYA KULIKO KUJA KUTUMIA HISIA KUTETEA TIMU WAKATI MIMI POST YANGU INAJIELEZA.Jibu sahihi nenda makao makuu kaomba huo mkataba utapewa wewe si mwanachama hai?
INAONEKANA HAKUNA ANAYEJUA HILISisi nikuvaa mashabiki hatujui lolote
Wenye majibu wapo ofisini wafate huko....... Au unataka C.E.O wa timu akujibu hapa? Au hapa utapata majibu unayoyataka?.NILISEMA KAMA HAMNA MAJIBU NI BORA KUKAA KIMYA KULIKO KUJA KUTUMIA HISIA KUTETEA TIMU WAKATI MIMI POST YANGU INAJIELEZA.
PUNGUZA MIHEMKO.Wenye majibu wapo ofisini wafate huko....... Au unataka C.E.O wa timu akujibu hapa? Au hapa utapata majibu unayoyataka?.
Hakuna ubaya wewe ni mwanachama una access ya kwenda kuhoji pale makao makuu ni haki yakoKwani Kuna ubaya kujua mkataba nikiwa Kama mwanachama mbona mikataba mingine wanatushirikisha huu mkataba una Nini mpaka usiwekwe wazi??
Wewe ndio una mihemko mshindo!PUNGUZA MIHEMKO.
UNGEJIKITA KWENYE HOJAWewe ndio una
Wewe ndio una mihemko mshindo!
Kama nimwanachama hai je unabudhuria vikao km unahudhuria vikao kwanini hiyo hoja ukaipeleka huko ambako utapata ufafanuzi wa kinaNikiwa Kama mwanachama kindaki ndaki wa Yanga Sc ninayelipa ada ya uanachama kila mwaka ninayohaki ya kujua (kujuzwa) /kuuliza/kuhoji mapato ya timu pale ninapokua sijui.
Hili la Mkataba wa "WHIZMO" limekuja kitofauti nimeona watu wanapaa juu juu uzinduzi wa jezi, @NALIANGWENA nilisubiri maelezo kutoka kwa viongozi kuwa mkataba wa "WHIZMO" umeingiza kiasi gani lakini sikuona Hilo.
Na Mimi mwanayanga lialia nahitaji kujua/kutambua mkataba huu unaingiza shilingi ngapi kwenye timu yangu (Yanga Sc) ?? Kama tulivyowekwa wazi kwenye mkataba wa ZIRA, ZIPA kule zenji na mikataba mengineyo iliyo pita Kama "HAER"
NB: Kama hujui kitu Kama Mimi ni Bora kukaa kimya lakini siyo kuja kwenye Uzi kuporomosha matusi na lugha za kejeli Kama vile kwenu hakuna wakubwa.
Nawasilisha hoja.
View attachment 2841978
HUU MFUMO WA KUSUBIRI VIKAO UMEANZA LINI MBONA MIKATABA YOTE ILIWEKWA WAZI MBELE YA KAMERA??Kama nimwanachama hai je unabudhuria vikao km unahudhuria vikao kwanini hiyo hoja ukaipeleka huko ambako utapata ufafanuzi wa kina