Hivi mkataba uliosainiwa na Yanga sc "WHIZMO" ni mkataba unayoiingizia timu shilingi ngapi?

Kwanza naomba nijue WHIZMO ni kitu gani? Kuuliza si ujinga
PITIA HAPA

 
Genta hatukuelewi, uko Simba au Yanga?
 
Ila hizi timu zetu mbili ni pasua kichwa kwenye kuficha mikataba,wakati mwingine nahisi hata figure wanazoandika kwenye mikataba siyo halisi wanapunguza ila wanapiga parefu
 
Ila hizi timu zetu mbili ni pasua kichwa kwenye kuficha mikataba,wakati mwingine nahisi hata figure wanazoandika kwenye mikataba siyo halisi wanapunguza ila wanapiga parefu
TENA KIPINDI KAMA HIKI MASHABIKI WAMEFURAHI TIMU ZOTE ZIMEFUZU WATU HAWAWEZI KUHOJI MAMBO YA MKATABA.
 
TENA KIPINDI KAMA HIKI MASHABIKI WAMEFURAHI TIMU ZOTE ZIMEFUZU WATU HAWAWEZI KUHOJI MAMBO YA MKATABA.
Kama Mo, imagine mbet kifuani wamesema wanalipa bilioni 7, Mo ana matangazo manne kwenye jezi basi kwa vile siyo kifuani angelipa hata bil 3 kwa kila tangazo ingekuwa bil 12,ila analipa mil 300 ambayo hata haijulikani kama ni ukweli,hela zote za kuingia robo mara nne hakuna mchanganuo,acha kufuzu hizi hatua za chini,hela za AFL bil 5 wamepata na bado anakuambia anapata hasara, Mo kawa tajiri wa 12 baada ya kuingia Simba,je simba haijachangia utajiri wake?
 
NGOJA WAJE WENYE TIMU YAO WATAKUTUKANA NAHIVI WAMESHINDA GOLI 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…