Hivi mkataba uliosainiwa na Yanga sc "WHIZMO" ni mkataba unayoiingizia timu shilingi ngapi?

Kama wewe ni mwanachama kwa nini usiende kuuliza kwenye ofisi za Yanga. Na je wakikuambia itakusaidia nini au utafanya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…