Hivi mkeo huwa anachukulia vipi unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa fedha?

Wapi pongezi kwa bibi angu, ame deserve this.
Sky Eclat bibi njoo usome hapa. Huhuhuh
 
Mimi (saa nne usiku): Aisee hali yangu ni mbaya leo hapa nilipo sina hata 100!
Wife (saa 1 asubuhi): Ukitoka hebu niachie ile 50,000 nimalizie mchango wa ile harusi ya mtoto wa binamu aisee siku zimeisha..
Mimi:
 
Mimi (saa nne usiku): Aisee hali yangu ni mbaya leo hapa nilipo sina hata 100!
Wife (saa 1 asubuhi): Ukitoka hebu niachie ile 50,000 nimalizie mchango wa ile harusi ya mtoto wa binamu aisee siku zimeisha..
Mimi:
Wanaume tutazidi kupungua sana
 
Kwenye kujua kama huyu ni kahaba ndo kwenye mtihani mzito
 
Kwenye kujua kama huyu ni kahaba ndo kwenye mtihani mzito
 
Kama ng’ombe tu 😅😅😅 sina jinsi
 
Tatizo unacheka afu hutaki kunizawadia...

Kitu umepewa bure na Mungu, kwanini unakuwa mchoyo kukitumia na aliyeumbwa na Mungu ?
[emoji23][emoji23][emoji23] babuuuh wee huogopi kufia kifuani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…