Kumbuka Kuna mazngra furan hiv,huwez kumhoji mtu,mfano umekutana nae yupo kweny boda bodo hapo utamhojije mkuu??We jamaa yani mke wako anatoka nyumbani Masaa manne bila kukuaga ,aya umekutana nae umeshindwa ata kumuuliza anaenda wapi!?
Acha ugongewe.
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Unashindwaa kuanza kumfatilia nyuma nyuma na Boda???Kumbuka Kuna mazngra furan hiv,huwez kumhoji mtu,mfano umekutana nae yupo kweny boda bodo hapo utamhojije mkuu??
Bado unaishi naye?Boda ikikupta baada ya dk Kama mbil hiv ni ngum kuiona,hasa maeneo ya mjin
Fanya ibada.Ndyo mkuu,npe ushaur
Tusimlaumu sana wanawake wanaongoza kwa kutumia nguvu za giza kutufanyia sisi waume zao.Kwa mtu unayemmiliki kihalali huko kumchunguza chunguza ndio inatakiwa sasa.
Na wenye ndoa zilizo na misingi watakushangaa sana wakisikia mkeo anaondoka nyumbani bila ridhaa yako halafu unakutana naye humuulizi wala nini zaidi ya kumpa hiyo unayosema sijui hi. LOL.
Jiangalieni kwa kweli.
Na bado kakaa huko masaa manne. Duuu! Estimation kapigwa bao 3.Kitendo cha kuja kuomba ushauri jinsi ya kummudu mkeo kwa jambo ambalo una yakini kabisa kuwa keshalifanya ni dhahiri kuwa humo ndoani huna kauli.
Kama kweli ungekuwa unasimama kama mume kwenye ndoa yako ilipaswa ujue kila mzunguko wa mkeo, kitendo cha kukutana nae na usijue anakoelekea ukabaki na dhana tu, hiyo ni wazi kuwa anakuchukulia kama binti mwenzie. Mwanamke anaemuheshimu mumewe hasa asingekuwa na ujasiri wa kwenda kuukatikia baada ya kukutana na wewe. Lazima angegeuza na kurudi nyumbani. Kitendo cha kuendelea na safari yake alijua fika kuwa huna madhara.
Subiri siku akuletee mume mwenzio ndani kwenu kabisa, nahisi hapo utakuwa na ithibati tosha.
Unajua kuna memba mmoja ana msemo wake kuwa ukiowa mke ambae si bikra umeowa mke wa watu. Ndio hayo sasa.Hujakua bado.kama mkeo unashindwa kumdhibiti wewe ni MUME BWEGE
niazime mkeo kwa siku tatu akirudi atakua na adabuNpe mbinu mkuu
Daaaa! Kakwambia kweli kwamba anatoka kuchepuka? Mwamba huna mke. Lazima uchukue hatua za kinidhamu za kumrudisha kwao.Nlimbana akaniambia ukwel
Unapigia simu anyooshe maelezo coz sina taarifa za safari yake.Kumbuka Kuna mazngra furan hiv,huwez kumhoji mtu,mfano umekutana nae yupo kweny boda bodo hapo utamhojije mkuu??
Mpe ukweli aache hiyo tabia kisha fatilia nyendo zake kama habadiliki rudisha kwao.Wew maon yko ni yap ??