Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pambana tu na hali yako kaka. Tambua nafasi yako kama mume na pili upige mwingi kitandani the rest utumie busara kwenye maamuziKwa hyo nifanye nn mkuu?
Jiandae kumpiga chini,hawaachagi hizo tabia za kiumbwa,zaidi ya kubadili mbinu.Kwa hyo nifanye nn mkuu?
Simu kaiacha nyumbqni ili kusiwe na usumbufu wa wewe kumpigia na wagegedane kwa uhuru.Sim aliiacha nyumban
Jipange kuhusu watoto lakini hapo huna mke. Mimi nilishaacha mke na mtoto yalinishinda. Otherwise utazeeka na ma stress za mwanamke. Asikwambie mtu ni bora viibiwe vitu vyote vya ndani kuliko watu kukuibia mwenza wako inauma sana.Watoto ndo kikwazo mkuu! Au unanshaurije kuhusu watoto?
Kwa mwanamke anae kupenda na mwenye akili akikuona umerudi nyumbani muda ambao inatakiwa uwepo kwenye mihangaiko lazima nae arudi chap kujua kulikoni.Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezini, nilipoamua nirudi nyumbani kwenye kona fulani hivi nikakutana na wife tukapeana salamu baadae akaendelea na mishe zake, ila moyo nikawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa, lakini nilishindwa kumrudisha.
Nilipofika home nilisubiri takribani masaa manne ndio akarudi na alionesha dalili zote za kuliwa. Swali langu ni je, ningemrudisha tulipokutana? na ningetumia kigezo gani?
Karibuni.
Yani Dak 12 zinatoka wapi na wew umemuona muda huo anapita na Boda??? Why usipande Boda nyingine kumfatiliaa au maeneo hayo hakuna Boda na umesema ni town..Boda ikikupta baada ya dk Kama mbil hiv ni ngum kuiona,hasa maeneo ya mjin
Malez ya watoto hawatapata changamoto ?Kwa mwanamke anae kupenda na mwenye akili akikuona umerudi nyumbani muda ambao inatakiwa uwepo kwenye mihangaiko lazima nae arudi chap kujua kulikoni.
Ila kwa hapo bro tafuta mwingine mapema kabisa kabla mambo hayajawa mengi
Ahsante kwa ushaur mkuuJipange kuhusu watoto lakini hapo huna mke. Mimi nilishaacha mke na mtoto yalinishinda. Otherwise utazeeka na ma stress za mwanamke. Asikwambie mtu ni bora viibiwe vitu vyote vya ndani kuliko watu kukuibia mwenza wako inauma sana.
Kuna mazingira Fulani lazma uwe unahis Hilo,hata Kama hafanyi!! Imajin umehis anaenda kuliwa utafanyeje?Pongezi kwa moyo ulionao, kuishi na mwanamke ambae akitoka kuchepuka unagundua na maisha yanaendelea kama kawaida.
Ndoa ni ngumu sana aisee
Na mwingine anachombeza wakoSmart phone zimeleta mengi, niko busy namchombeza mke wa mtu hapa!