ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Ndoa utaachiwa 100k perday.
Kawaida mtu mwenye akili zake anaacha 30k kwa siku kama hana basi anasema .
Kuliko mtu maisha ndio haya unaachiwa 10k hamna hata vitu vya jumla nikutesana tu.
30 na bado amenunua vitu ndani vyote hapo niuchumba tu je ndoa .