Hivi mkeo unamuachia Tsh. ngapi unapotaka kwenda kazini?

Ndoa utaachiwa 100k perday.
Kawaida mtu mwenye akili zake anaacha 30k kwa siku kama hana basi anasema .
Kuliko mtu maisha ndio haya unaachiwa 10k hamna hata vitu vya jumla nikutesana tu.
30 na bado amenunua vitu ndani vyote hapo niuchumba tu je ndoa .
 
Uzi tayari!

Kiasi gani cha matumizi unachomwachia mkeo ili kukidhi mahitaji ya kutwa na maandalizi ya chakula cha jioni?

Ambao hatujaoa njooni tujifunze hapa!
Kuacha matumizi ya kila siku ni kutojipanga kimaisha weka vitu ndani mwanamke mpe hela yake ya matumizi ya mwezi mzima afanye anavyojua yeye yan kila siku uache hela ndo ratiba gan ya maisha hiyo mm hapo napinga sana
 
Ni jinsi ulivyo mjenga toka mnaanza mahusiano kama hukuwa ukimrekebisha tabia ndogo ndogo atakusumbua alaf tutafte wanawake wenye sababu za msingi za maisha hao wanakua wanajielewa
 
Kwa comments hizi kweli nakubaliana na ule usemi wa kusema "kwa mwanamke ndoa ni ajira"
Kwa mila na desturi za kidunia inalazimisha iwe hivyo mkuu.
Ni jinsi ulivyo mjenga toka mnaanza mahusiano kama hukuwa ukimrekebisha tabia ndogo ndogo atakusumbua alaf tutafte wanawake wenye sababu za msingi za maisha hao wanakua wanajielewa
Hakuna sababu ya msingi kwa watu woote mkuu,kila mtu ana sababu yake ya msingi katika maisha.

Naomba ufafanuzi hapo kwenye kurekebisha tabia ndogondogo
 
Huo ndio mfumo sahihi wa maisha pongezi kwako ww unaelewa nn maana ya kua na ustaarabu kwenye matumizi
 
Una shule kaka
Watu tisa mbona normal sana kaka, humu mjini kuna miji ina watu balaa. Kwamfano nenda kule Masanza kona- Magu kwa Mabeyo uone tupuli iliyopo pale, kama ukoo vile. Pale nikihesabu roughly hawapungui raia 20-25.

Mwaka 2020 alikuwa anajenga mjengo wake kule(bangalore), nilikula shavu la usimamizi kama Engineer kutoka kwa aliekuwa Zonal construction manager JKT. HAPO NDO NILIJUA KUNA WATU WANALEA WATU BWANA.
 
Kuacha matumizi ya kila siku ni kutojipanga kimaisha weka vitu ndani mwanamke mpe hela yake ya matumizi ya mwezi mzima afanye anavyojua yeye yan kila siku uache hela ndo ratiba gan ya maisha hiyo mm hapo napinga sana
Kuna familia nyingi za Kitanzania (zaidi ya 50%),baba atoke ndio wale sasa mwanaume kama huyu hiyo hela ya mwezi mzima anaipataje, labda aotee mchongo utakao mpa hela ya kula hata mwezi na hiyo hutokea mara chache sana.
 
Ndege John yule ni demu au mke?
 
Maza 200k ma michango ya harusi

Baba hayupo

Maza ana watoto wazito kunizidi mimi hakosi 800k kwa mwezi
Habari yako kaka. Nina shida na msaada wako nimejaribu kukutumia message humu imeshindikana. Labda kama kuna uwezekano wa kupata mawasiliano yako ningeomba unisaidie. Nitashukuru sana. 🙏
 
Kuacha matumizi ya kila siku ni kutojipanga kimaisha weka vitu ndani mwanamke mpe hela yake ya matumizi ya mwezi mzima afanye anavyojua yeye yan kila siku uache hela ndo ratiba gan ya maisha hiyo mm hapo napinga sana
Hii inawezekana kwa baadhi ya Watu, kwa mwengine budget ya kesho inategemea jinsi atakavyorudi jioni ya leo.
 
Mimi nina familia ya watu wa3 naacha ten au naweza acha 70 wiki nzima wakati kila kitu kipo ndani yani unga mchele na mazaga ya sokoni. Nikiacha hela ya mwezi mzima tunagombana kwani inaisha ndani ya wiki 2 tu sijui anacheza kikoba sielewi.
Wanawake wako hivi, ukimpa pesa nyingi inaisha fasta.
 
Eeeeeh na wakwe kumbe nao wamo
 
Nlikuwa naishi naye akiwa mjamzito (sijamuoa) na mwachia 150k kwa mwezi kila kitu ndani, lakini mwezi hauishi anakwambia nimebakiwa na elfu 5, kumbe anatuma kwao wakati MI mwenyewe naungaunga..
Asante Mungu kwa kuniepushia lile janga kuoa baadae sana kama sio never acha nisake mihela nijilie mwenyewe
 
Bora hata huyu anaacha buku mbili, kuna wengine hawaachi hata Mia.

Akirudi jioni anataka akute msosi mezani.

Mtasaidiwa sana na vijana wa genge.
Kwani tatizo liko wapi mkeo kutombwer na vijana wa genge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…