Hivi mkeo wa ndoa anapokublock kwenye simu anakua na maana gani?

Hivi mkeo wa ndoa anapokublock kwenye simu anakua na maana gani?

Kwema waheshimiwa?

Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani?

NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
Jamaa yako atakuwa anajua sababu. Sie tuta guess tu
 
Back
Top Bottom