Kama hivi ndivyo vipaumbele vyako utachelewa sanaBado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party na mitoko ya weekends bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Kabisa.Ukifikia hatua ya kuwaza hayo yote ujue unakaribia kuanza ujenzi. Komaa chief, hakuna kisichowezekana. Tumeweza baada ya kujua ni lazima tujenge.
Kwanza lazima upunguze ndugu na marafiki , ili ujijuwe mwenyewe. Pili ujiulize ni kitu ngani kichopo ndani yako unacho weza kuuza kwa watu wanao kuzunguka. Ukisha fanya hivyo unajenga ndani mwaka mmoja. Pia punguza stareheKila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Rudi kijijini Mjini hupawezi!Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Cc. Matunga PESA...kwetu pazuri.Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Mkuu,Kipindi unapojikuta huna hela,ndo muda muafaka wa kuanza ujenzi.
Mbinu zinazotumika ni mchanganyiko sana, mbinu inayoongoza ni wizi( haijalishi aina ya wizi, ili mradi ulipata kiharamu), bonus ( usijali aina ya bonus, cha msingi ni bonus baada ya kusota), kudunduliza ( hapa utakuta nyumba moja imejengwa na mafundi kumi), mkopo ( toka benki, ofisini,jamaa, vikundi nk), kutunukiwa( zawadi toka ofisini, mshikaji, zali, bahati nasibu), urithi, kuokota nyumba.Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Kula vizuri na vinono mfn kuku,nyama,kuvaa vizuri tupe ufafanuzi..Kwanza lazima upunguze ndugu na marafiki , ili ujijuwe mwenyewe. Pili ujiulize ni kitu ngani kichopo ndani yako unacho weza kuuza kwa watu wanao kuzunguka. Ukisha fanya hivyo unajenga ndani mwaka mmoja. Pia punguza starehe
Mkuu hakuna miujiza komaa tu utatoboaKila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Alafu ukifariki wategemezi wakose pa kwendaa..Kujenga ni woga wa maisha, unajenga vipi njiani "dunia tunapita tu".
Ukipata tumbua, ukikosa jutia.
Wewe ndiye umeutendea haki uzi wangu. Watu wengine badala ya kutoa mbinu walizoombwa kwenye uzi, wanatoa tambo na vijembe.Mbinu zinazotumika ni mchanganyiko sana, mbinu inayoongoza ni wizi( haijalishi aina ya wizi, ili mradi ulipata kiharamu), bonus ( usijali aina ya bonus, cha msingi ni bonus baada ya kusota), kudunduliza ( hapa utakuta nyumba moja imejengwa na mafundi kumi), mkopo ( toka benki, ofisini,jamaa, vikundi nk), kutunukiwa( zawadi toka ofisini, mshikaji, zali, bahati nasibu), urithi, kuokota nyumba.
Ni watu wa kusikitikia mno.Kuna watu huwa wanakopa benki ili wajenge nyumba waache kulipa kodi, huwa nawasikitikia sana.