Hivi mliojenga hapa mjini, mliwezaje? Mna miujiza ama ni wezi?

Hivi mliojenga hapa mjini, mliwezaje? Mna miujiza ama ni wezi?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.

Sasa wewe ukisikia kuna mtu ana nyumba 80 si unaweza kusema huyu ni mdogo wake Jesus.
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Kwanza lazima upunguze ndugu na marafiki , ili ujijuwe mwenyewe. Pili ujiulize ni kitu ngani kichopo ndani yako unacho weza kuuza kwa watu wanao kuzunguka. Ukisha fanya hivyo unajenga ndani mwaka mmoja. Pia punguza starehe
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Rudi kijijini Mjini hupawezi!
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Cc. Matunga PESA...kwetu pazuri.
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini kuna mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Mbinu zinazotumika ni mchanganyiko sana, mbinu inayoongoza ni wizi( haijalishi aina ya wizi, ili mradi ulipata kiharamu), bonus ( usijali aina ya bonus, cha msingi ni bonus baada ya kusota), kudunduliza ( hapa utakuta nyumba moja imejengwa na mafundi kumi), mkopo ( toka benki, ofisini,jamaa, vikundi nk), kutunukiwa( zawadi toka ofisini, mshikaji, zali, bahati nasibu), urithi, kuokota nyumba.
 
Kwanza lazima upunguze ndugu na marafiki , ili ujijuwe mwenyewe. Pili ujiulize ni kitu ngani kichopo ndani yako unacho weza kuuza kwa watu wanao kuzunguka. Ukisha fanya hivyo unajenga ndani mwaka mmoja. Pia punguza starehe
Kula vizuri na vinono mfn kuku,nyama,kuvaa vizuri tupe ufafanuzi..
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Mkuu hakuna miujiza komaa tu utatoboa
 
Mbinu zinazotumika ni mchanganyiko sana, mbinu inayoongoza ni wizi( haijalishi aina ya wizi, ili mradi ulipata kiharamu), bonus ( usijali aina ya bonus, cha msingi ni bonus baada ya kusota), kudunduliza ( hapa utakuta nyumba moja imejengwa na mafundi kumi), mkopo ( toka benki, ofisini,jamaa, vikundi nk), kutunukiwa( zawadi toka ofisini, mshikaji, zali, bahati nasibu), urithi, kuokota nyumba.
Wewe ndiye umeutendea haki uzi wangu. Watu wengine badala ya kutoa mbinu walizoombwa kwenye uzi, wanatoa tambo na vijembe.
 
Back
Top Bottom