Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Tena akishakuwa mwanaccm anakuwa kama amelogwa vile.UVCC wapo kila sehemu Serikalini, umbea ni kama dini kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena akishakuwa mwanaccm anakuwa kama amelogwa vile.UVCC wapo kila sehemu Serikalini, umbea ni kama dini kwao.
Hakuna kuwajibika na wizi, ndivyo vinawafurahisha.Ukichunguza utagundua Watu wa serikalini Wana furaha sana kuliko watu wa sector private
Kote ni sawa tu hakuna tofauti.huku watu wanashinda kwa waganga wa kienyeji kulogana.Wakuu makazini mambo ni mazito.
Hasa private yaan umbea, unafiki, kuzushiana maneno,kuchongeana kwa boss, kuchunguzana na kuharibiana kazi kupo saana.
Mtizamo wangu labda serikalini hayapo haya.
Change my mind sijawai fanya kazi serikalini
Kwa mujibu wa askofu mhusikaDerever wa Askofu ana wake wawili? Hii haikubaliki😅😅
Umeibiwa nini mwanetu?Hakuna kuwajibika na wizi, ndivyo vinawafurahisha.
Hayo hadi msikitini yapo mkuu. Kimsingi kwenye riziki kote hakukosi fitina mkuu.Huko serikalini kurogana ndiyo kwenyewe, uchawi wote, uujuwao na usioujuwa, bila kusahau rushwa zote uzijuazo, mpaka za ngono usizozijuwa.
Halmashauri kila mtu anataka kuabudiwa badala ya kaziNjoo huku halmashauri utakimbia mwenyewe.
Ndiyo hapo sasaHalmashauri kila mtu anataka kuabudiwa badala ya kazi
Halmashauri gani hiyo? Halmashauri zenye changamoto hizo ni zile za vijijini ambapo watu wanaongea kilugha. Ila majiji na Miji hakuna kitu kama hiko. Kila mtu na shughuli zake.Njoo huku halmashauri utakimbia mwenyewe.
Wote wanavaa kaunda suti.Huko ndio hatari!,Kila mtu usalama wa Taifa!
Wapi huko wewe?Halmashauri kila mtu anataka kuabudiwa badala ya kazi
Serikali hii ya Mama Samia au unaongela nyingine ?Huko serikalini kurogana ndiyo kwenyewe, uchawi wote, uujuwao na usioujuwa, bila kusahau rushwa zote uzijuazo, mpaka za ngono usizozijuwa.