The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Aha ha ha haaHuko ndio hatari!,Kila mtu usalama wa Taifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha ha ha haaHuko ndio hatari!,Kila mtu usalama wa Taifa!
Yani hakuna pa kuponea 😂😂😂Yaan kazi ngumu biashara ngumu
Kuondoa wazungu, waafrika, waarabu na wahindi kuchongeana kazini ni utamaduni wao. Wahindi ndiyo wanachukuwa namba moja wakifuatiwa na waafrika halafu waarabu. Tatizo ni kuwa ma-bosi wa hizi jamii wanaendekeza umbeya. Ukiwa na boss ambaye haendekezi maneno ya chini chini ni vigumu wafanyakazi kuwa wambea. Nliwahi kufanya kazi na wahindi, boss akiwa mzungu nilifurahi sana. Alikuwa anawakomesha na kila walipojaribu kupeleka umbeya kwake alikuwa anapuuza na kuwambua.Huko serikalini kurogana ndiyo kwenyewe, uchawi wote, uujuwao na usioujuwa, bila kusahau rushwa zote uzijuazo, mpaka za ngono usizozijuwa.
Wazee wa point ndogo ndogo, Its just grammer bro 😂😂😂😂Kulogana, siyo kurogana. Kiswahili ulijifunzia wapi?
Wahindi ni hatari mkuu. Hutakiwi kucheka ni zile kima. Mi kuna mmoja nilimfanyia uhuni kule Arusha hana hamu.Kuondoa wazungu, waafrika, waarabu na wahindi kuchongeana kazini ni utamaduni wao. Wahindi ndiyo wanachukuwa namba moja wakifuatiwa na waafrika halafu waarabu. Tatizo ni kuwa ma-bosi wa hizi jamii wanaendekeza umbeya. Ukiwa na boss ambaye haendekezi maneno ya chini chini ni vigumu wafanyakazi kuwa wambea. Nliwahi kufanya kazi na wahindi, boss akiwa mzungu nilifurahi sana. Alikuwa anawakomesha na kila walipojaribu kupeleka umbeya kwake alikuwa anapuuza na kuwambua.
huu ushauri umeshibaHizo ni changamoto za kila pahala, hadi makanisani na misikitini zipo, jambo la muhimu ni kukaa kitaalam(kutopenda mazoea yasio na tija
yaan wengine wanakuja kukosoa siyo kuchangia maada wengine wajifunze kutoka kwene ushauri wakeWazee wa point ndogo ndogo, Its just grammer bro 😂😂😂😂
Una ushahidi au unajisemea tu kwa kuwa unakula na kulala bure hapo kwa dada yako? Nimefanya LGA hadi nikahama kwenda serikali kuu sijawahi kukutana na hayo mambo.Serikalini ndo balaa unafki,vitina,uchawa,ukabila na uchongeleji ndo viliko anzia
ulimfanyajeWahindi ni hatari mkuu. Hutakiwi kucheka ni zile kima. Mi kuna mmoja nilimfanyia uhuni kule Arusha hana hamu.
Hiyo ni hulka ya binadamu ,kote ni hivyo hivyo japo huko sekta binafsi uchawa umezidi.Wakuu makazini mambo ni mazito.
Hasa private yaan umbea, unafiki, kuzushiana maneno,kuchongeana kwa boss, kuchunguzana na kuharibiana kazi kupo saana.
Mtizamo wangu labda serikalini hayapo haya.
Change my mind sijawai fanya kazi serikalini
Hongera kama ulipofanya hamnaUna ushahidi au unajisemea tu kwa kuwa unakula na kulala bure hapo kwa dada yako? Nimefanya LGA hadi nikahama kwenda serikali kuu sijawahi kukutana na hayo mambo.
Fitina zipo kila mahali panapo riziki.
Uwe kinara mbobeziHiyo ni hulka ya binadamu ,kote ni hivyo hivyo japo huko sekta binafsi uchawa umezidi.
Ukitaka maneno yasikuharibie huko private sector hakikisha uwe unategemewa kwenye section Yako.
Hatari mno mno. Nakubali. Nadhani ni kwa sababu kwao population ni kubwa na ushindani wa maisha uko juu ndiyo maana wame-delevep tabia ya kuishi kwa kujipendekeza. Na jambo jingine: wakiwa na shida wanajua kujipendekeza sana sana. Unaweza kudhani huyu jamaa ni rafiki yangu mkubwa, wacha ile shida iishe ndiyo utajua rangi zote. Ukiona urafiki wa karibu black na mhindi basi ujue yule mhindi kuna kitu anapata. Japo sisemi ni wote lakini wengi ndiyo ilivyo.Wahindi ni hatari mkuu. Hutakiwi kucheka ni zile kima. Mi kuna mmoja nilimfanyia uhuni kule Arusha hana hamu.
Ukichunguza utagundua Watu wa serikalini Wana furaha sana kuliko watu wa sector private
Ongezea hapo na Kujipendekeza na kujichekesha chekesha hata kama bosi kaongea upuuzi...Wakuu makazini mambo ni mazito.
Hasa private yaan umbea, unafiki, kuzushiana maneno,kuchongeana kwa boss, kuchunguzana na kuharibiana kazi kupo saana.
Mtizamo wangu labda serikalini hayapo haya.
Change my mind sijawai fanya kazi serikalini
Hii siri watu wengi hawaijuikukaa kitaalam(kutopenda mazoea yasio na tija