Demi unatakiwa upewe uwasisi au ununue share jf atalest upate gawioHapana bana sipo hivyo.
Mkongwe mie staki ID mpya. Halafu ntanigundua tu maana siwezi kufake..
Nilishawahi kuachana na ID yangu ya 2013 najuta hadi leo . So nikipotea ujue nimepotea kikwelikweli.
Masadukayo wajuaji sanaBaba msamehe maana hajui alisemalo.
Sawa jini mahaba...😅Nitaanza na wewe, lazima udate
Ushapata tayari😂Nitaanza na wewe, lazima udate
Bado.Ushapata tayari😂
Ewaaa ,umeona ehhhh, demi lile jukwaa la wakubwa tupiganie lirudishweMods waione hii.
Kama zile phd za heshima, itapendeza sana
Wamegoma naona, nishalikatia tamaa.Ewaaa ,umeona ehhhh, demi lile jukwaa la wakubwa tupiganie lirudishwe
Unaowakuta na wao wanakukuta so kwa kifupi wote mnakutana muda mmoja na mnatoka muda mmoja.Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Na sisi tunamshangaaHata sisi tunakushangaa, itakuwa muda unaoingia na sisi tunaingia muda huo huo
Akikujibu ipasavyo / kwa usahihi wake kwa Swali lako hili zuri na la Kimtego na lenye Mantiki ( Logic ) Kuntu, kwa Makusudi naenda Kukojoa / Kususu Mubashara ( Live ) kabisa pale MP1 Makongo Lugalo ili Wanikamate na Waniadhibu watakavyo.Kushinda kwao kuna kuathiri chochote?
🤣🤣🤣Sisi ni walinzi,hivyo tunakuwa tupo lindoni🏋🏋🏋
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?