Shetta
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 445
- 797
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha popoma utatekeleza kweli mkuuAkikujibu ipasavyo / kwa usahihi wake kwa Swali lako hili zuri na la Kimtego na lenye Mantiki ( Logic ) Kuntu, kwa Makusudi naenda Kukojoa / Kususu Mubashara ( Live ) kabisa pale MP1 Makongo Lugalo ili Wanikamate na Waniadhibu watakavyo.
May be wrong or rightHiyo avatar yako huwa naonaga utakua wale wamama wa itakadi sana nyumbani sheria nyingi unalianzisha muda wowote, samahani lakini ni mtazamo tu
Umefunga uzi [emoji120][emoji120][emoji120]Sasa wewe ambaye unacho cha kufanya,unajuaje kama wapo mda wote? Huenda huo mda huo wa kuchungulia na kusoma, na wao ndo hivo wanao huo huo wa kupost. Lakini pia,kutokuwepo kwako huenda chanzo kikawa uhaba wa bando. Na ujue wengine wanazo 24h/7
Very good observation
Lakini usijudge wote negative. Nitatolea mfano wa mdada huku nayemfahamu ratiba zake
Ni mfanyabiashara, katika biashara ana vijana wa kufanya kazi yeye huwa pembeni tu kucheck hivyo asubuhi mchana au jioni sio ajabu kuwa active jf
Akirudi home ana mdada wa kazi, sasa hapo utasema hana cha kufanya? Watu tumetofautina kulingana na shughuli au kazi zetu
Men ndio tuna ratiba kidogo complicated hata kama uwe na watu wa kukufanyia kazi zako, hivyo kwa men ukikuta wapo active muda wote hilo ni tatizo kubwa na ni kiashiria cha upweke wa hali ya juu
Ushasema tunashinda JF halafu unauliza tunfanya nini. Majanga.Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Tuanzie hapa kwanza😉Sasa wewe ambaye unacho cha kufanya,unajuaje kama wapo mda wote? Huenda huo mda huo wa kuchungulia na kusoma, na wao ndo hivo wanao huo huo wa kupost. Lakini pia,kutokuwepo kwako huenda chanzo kikawa uhaba wa bando. Na ujue wengine wanazo 24h/7
Sasa wewe ambaye unacho cha kufanya,unajuaje kama wapo mda wote? Huenda huo mda huo wa kuchungulia na kusoma, na wao ndo hivo wanao huo huo wa kupost. Lakini pia,kutokuwepo kwako huenda chanzo kikawa uhaba wa bando. Na ujue wengine wanazo 24h/7
Hata sisi tunakushangaa, itakuwa muda unaoingia na sisi tunaingia muda huo huo
Ndo unachojua hiko mdogo angumimi nipo pm nasumbua totoz😂
Kazi gani 🤓🤓🤓🙌🙌🙌Mkuu usijichoshe watu wapo kazini humu
Kila mtu anashinda mechi zake, ukiona mtu yumo humu 24/7 jua yuko kazini usitake kujua kazi gani[emoji28]Kazi gani [emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119]
acha unafki we mzeeNdo unachojua hiko mdogo angu
Wengi huku ni watu wazima yaan wastaasfu,u know what? Am out
Jobless pro max kazi yetu ni kujibu vbya maana tuna hasira qali sana
"""usitake kujua kazi gani""Kila mtu anashinda mechi zake, ukiona mtu yumo humu 24/7 jua yuko kazini usitake kujua kazi gani[emoji28]
Ndo unachokijua huku jf kusumbua shangazi zako sio 🤓🙌acha unafki we mzee
nipe kibarua nitulieNdo unachokijua huku jf kusumbua shangazi zako sio 🤓🙌