Hivi mnaoshinda JF huwa mnakuwa mnafanya nini?

Hivi mnaoshinda JF huwa mnakuwa mnafanya nini?

Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Hata mimi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Wengi ni wafanyakazi wa serikali wakitumia free wi-fi. Muda mwingi wao huwa mitandaoni
 
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Wengi Wetu ni waajiri, wengine jf wako kazini(Ofisini kwa na wengine Wana kazi ambazo haziwa keep kuwa busy nawachache ni ma jobless ambao mda mwingi ni walalamishi.

Mwisho kabisa mtu analipwa ruzuku kama Machadema unadhani atashinda wapi zaidi ya jf?

Iga ufe.
 
Wengi Wetu ni waajiri, wengine jf wako kazini(Ofisini kwa na wengine Wana kazi ambazo haziwa keep kuwa busy nawachache ni ma jobless ambao mda mwingi ni walalamishi.

Mwisho kabisa mtu analipwa ruzuku kama Machadema unadhani atashinda wapi zaidi ya jf?

Iga ufe.
Ficha upumbavu wako kwa kukaa kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom