OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mimi kazi yangu ni kupost JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby umekula mchana?😂😂😂 sio me bhana
Njaa tu zimenijaa hapa naswampa tu jf
Sijakula hata pesa ya kula siijui inapatikana wapi na ujobless huu 😂😂😂Baby umekula mchana?
Tafuta pesa nikudalalie 🤣🤣🤣wewe si hutaki kunidalalia
Polee sana🤣🤣🤣Sijakula hata pesa ya kula siijui inapatikana wapi na ujobless huu 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 nimecheka eti wauza chai huna ujasiri wa kuwaomba utelezi!!!Nikienda wanantania tu siku hz na maisha mazuri kumbe mi nimefilisika hadi wale wadada wauza chai Sina ujasiri wa kuwaomba utrelrezri
nitafutie mtoto mwenye nyonyo saa sita nakupa boom langu lote😂Tafuta pesa nikudalalie 🤣🤣🤣
Humu jf?? Humu tupo vikongwe nyonyo inasimama tukiinama kupiga deki 😂😂😂nitafutie mtoto mwenye nyonyo saa sita nakupa boom langu lote😂
Oyaa mi nlikuwa natumiia wi Fi ya hapa nlipo, nielekeze mapema🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka eti wauza chai huna ujasiri wa kuwaomba utelezi!!!
Hatuwezi kua maskini offline na online sehemu Moja tuoneshe ubabe chaliangu😂😂😂 sio me bhana
Njaa tu zimenijaa hapa naswampa tu jf
Hata mimi?Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
hawatafuti maisha wamewekeza kuwasaidia wanaoyatatafuta.[emoji419][emoji375]Wengine wamestaafu wakiwa na miaka 30, hawatafuti maisha wamewekeza kuwasaidia wanaoyatatafuta.
Wengi ni wafanyakazi wa serikali wakitumia free wi-fi. Muda mwingi wao huwa mitandaoniYaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Wengi Wetu ni waajiri, wengine jf wako kazini(Ofisini kwa na wengine Wana kazi ambazo haziwa keep kuwa busy nawachache ni ma jobless ambao mda mwingi ni walalamishi.Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Njoo wanyama 😂😂😂Oyaa mi nlikuwa natumiia wi Fi ya hapa nlipo, nielekeze mapema🤣
Me kote choka mbaya niwe offline niwe online tafrani tupu!!! Nipe connection boss wangu ya uwinga basi 😂😂😂Hatuwezi kua maskini offline na online sehemu Moja tuoneshe ubabe chaliangu
Ficha upumbavu wako kwa kukaa kimyaWengi Wetu ni waajiri, wengine jf wako kazini(Ofisini kwa na wengine Wana kazi ambazo haziwa keep kuwa busy nawachache ni ma jobless ambao mda mwingi ni walalamishi.
Mwisho kabisa mtu analipwa ruzuku kama Machadema unadhani atashinda wapi zaidi ya jf?
Iga ufe.
Matumizi mabaya sana ya ruzuku,kutwa kulalamika na kutukana ccm ila sijawahi ona hata dawati Moja kusaidia jamii.