Hivi mnapata ugumu kujua mboga ya kupika kama mimi?

Kuna kipindi mama watoto kidogo tugombane, kila siku anauliza tupike nini. Kumbe mnapata tabu eeh.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂 kumbuka ulisema samaki atachelewa kuyeyuka
Unatoaje samaki saa 7 kwa fridge hadi ayeyuke apikwe aive watu tutakula saa ngapi.

Ulitaka tu kulisha wenzako dagaa😂😂Roho mbaya tu
 
Ni kazi ngumu sana kupanga watu wale nini kuanzia break fast, lunch na dinner kila siku.
Hii inaashiria uchumi wako uko vizuri, wengi wetu hatupati shida kuamua cha kula sababu tunalimited choice tunakula chakula kile pesa inaweza kununua automatically hakuna swali unaenda nunua nini siku hiyo. Tunazungusha dagaa, maharage, vegies bila wasiwasi
 
Unatoaje samaki saa 7 kwa fridge hadi ayeyuke apikwe aive watu tutakula saa ngapi.

Ulitaka tu kulisha wenzako dagaa😂😂Roho mbaya tu
😂😂😂😂 dagaa nao ni fish babes

Kasema Nedlloyd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…