Ndio Mana nikakuuliza sababu enzi nipo bachela mboga yangu ilikua samaki, dagaa, maharage nikitaka kula vizuri naenda hoteli.Mkuu jiko halina wa kike waa wa kiume yeyote anapika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Mana nikakuuliza sababu enzi nipo bachela mboga yangu ilikua samaki, dagaa, maharage nikitaka kula vizuri naenda hoteli.Mkuu jiko halina wa kike waa wa kiume yeyote anapika
Kwa nini, unataka niwatag mmoja mmoja nipoteze muda ilihali ujumbe wenu ni mmoja.Huo mkorogo wa tags uliofanya hapo mbona nawe unaingia kwenye mkondo wa uzembe wa akili.
😂😂😂 kumbuka ulisema samaki atachelewa kuyeyukaKupenda kwako umbea kuliko kula kumekuponza
😂😂 sawa tajiriiiKwa nini, unataka niwatag mmoja mmoja nipoteze muda ilihali ujumbe wenu ni mmoja.
Haya Bi.Fulani endelea kula hai Hadi ufanane na Waha .Weee waacheni fish babes
bwana me nawapenda
Uzembe? Haahaaa...unadhani tuko Houston hapa😕Huo ni uzembe wa akili, unatakiwa kujua mboga ya siku saba zijazo.
Mrs Lissu nimekusoma, you are very bright!
Sana, nimejitahidi kupunguza ukali wa maneno, ningetaka kuutaja kiusahihi uzembe wa namuna hiyo mngenichukia.
Hata usingechukiwaSana, nimejitahidi kupunguza ukali wa maneno, ningetaka kuutaja kiusahihi uzembe wa namuna hiyo mngenichukia.
Unatoaje samaki saa 7 kwa fridge hadi ayeyuke apikwe aive watu tutakula saa ngapi.😂😂😂 kumbuka ulisema samaki atachelewa kuyeyuka
Ni uzembe wa hovyo sana, ila wewe unaonekana ni mwanamke makini sana, bahati mbaya PM umefunga!Uzembe? Haahaaa...unadhani tuko Houston hapa😕
Kumbe kidume🤣enzi zangu nikisikia njaa ndio naenda kununua naangalia zile zachap chapPoa poa Mwamba
Hii inaashiria uchumi wako uko vizuri, wengi wetu hatupati shida kuamua cha kula sababu tunalimited choice tunakula chakula kile pesa inaweza kununua automatically hakuna swali unaenda nunua nini siku hiyo. Tunazungusha dagaa, maharage, vegies bila wasiwasiNi kazi ngumu sana kupanga watu wale nini kuanzia break fast, lunch na dinner kila siku.
Sijakuelewa, nani wa kuwa ignored?Hata usingechukiwa
Ni unaswaga tu kwenye zizi la ignore list
Sawa mjomba MessiHaya Bi.Fulani endelea kula hai Hadi ufanane na Waha .
Happy new year.