Malpighian
Senior Member
- Jan 16, 2015
- 139
- 219
Siku ya kwanza kufika Dodoma sikuwa tofauti na Rango wa animation,ila nashukuru Mungu niliweza kucopy na mazingira kwa miaka 3.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una dalili zote za USHOGA,mtu wa kazi hawezi kulialia eti Dodoma kuna vumbi sijui joto,hizo ni dalili za upinde,nenda kaishi Zanzibar walikojaa upinde wenzako,Dodoma waachie watu wa kazi kenge weweWe ni mchumba tu
😅😅😅Siku ya kwanza kufika Dodoma sikuwa tofauti na Rango wa animation,ila nashukuru Mungu niliweza kucopy na mazingira kwa miaka 3.
Una Mental disorder sio bureUna dalili zote za USHOGA,mtu wa kazi hawezi kulialia eti Dodoma kuna vumbi sijui joto,hizo ni dalili za upinde,nenda kaishi Zanzibar walikojaa upinde wenzako,Dodoma waachie watu wa kazi kenge wewe
Sahihi hasa jion kuna wingu zito lakini hamna mvua .Dodoma ina wingu una weza zani mvua ina nyesha kila wakati kumbe linawapa moyo tu..usha kutana na nyoka wa ngapi hadi leo
Wewe unapenda malaya wa Dodoma tu mkuu😆Bhata zangu nalia dodoma, it's a nicest place to be!
Mashoga mnapenda sana ubaridibaridi,Dodoma hakukufaiSahihi hasa jion kuna wingu zito lakini hamna mvua .
Dabalo umenikumbusha mbali sana,hivi bwawa lipo badoKaribu Wilaya ya Chamwino,,Kata ya Dabalo,,Kijiji cha NAYU,,KITONGOJI cha Kinyami tuchimbe dhahabu,kama hutojali lakini
Huo ni uongo mkubwa, Mimi sio mwenyeji wa Dodoma,Hali ya Dodoma ni nusu jangwa sikatai,ardhi yake Ina rutuba sana,mshindi na mazao hawatumii mbolea za viwandani.Kuhusu ujenzi mafundi Kwa kweli ni ghari kulinganisha na kwetu Mbeya!Nyumba nyingi zimejengwa kwa kufuata ramani zilizokuwepo zamani ikiitwa CDA,Hayo mengine ni yeye kutokubaliana kuishi Dodoma.Pana fursa nyingi sana,Mfano ufugaji,kilimo,hakuna zao halikubali Dodoma ni Wewe tuu kujipanga.Nina miaka kumi sitamani kurudi Mbeya.Maana ardhi Mbeya ni finyu sana.Nianze kwa kusema Nimeishi Arusha,Mwanza ,Dar Moshi, na saivi nipo Dodoma una elekea Mwaka sasa nipo uku kwa sababu za kikazi.
HALI YA HEWA
Huu mji toka nifike sijaona mvua ,mchana kuna jua kali sana na vumbi afu jion na usiku upepo mkali wa baridi kama jangwani karibia napakimbia .
MAKAZI
kwa saivi Dodoma ujenzi ndo mahala pake lakini watu hawajui kujenga kabsa ,Sizani ata kama wana tumia ramani kwenye kujenga maana wana jenga ma nyumba makubwa kama makubwa jinga afu mabaya hajapakwi rangi wala kupigwa lipu yana achwa ivyo ivyo. na madirishani wakiweka mifuko ya cement ,mabox au makaratasi ya magodoro ni kichefuchefu
Ukija kwenye bati ndo huzuni mabati marefu refu kama Mkuki
USAFIRI
Kama huna gari au sio wa kutokea STM .au STK etc uku hakufai usafiri aueleweki wala nauli hazieleweki kila mtu na nauli yake .
MAJI
Kwa mala ya kwanza nashuhudia maji ya idara ya maji yana chumvi l. kama huna kazi apakufai .maji ya kunywa ni ununue bila ivyo utakunywa chumvi uwe na meno kama ndugu zetu wa Arusha .
KAZI
Dodoma ofisi nyingi zina amia uku lakini sio sehemu bora ya kuja kuanzia maisha kama huna ramani tofauti na mikoa kama Dar,Mwanza na Arusha uku uta pauka dk 2 baada ya kushuka stand
MWISHO
nisipo ona ata mvua hii miezi ilio baki ata kwa mganga taenda nihame ofisi
Fursa za kupaushwa na jua kali lenye vumbi ?Karibu Dom mkuu ukipazoea hutakaa ujute kwa fursa zilizo hapa
Hivi toka lini mvua ndio imekuwa main factor? mikoa mingi yenye kupata mvua nyingi kwa mwaka tena nyingi sana lakini haina fusra. Mimi nahisi kunachuki nyingi sana kutoka kwa wakazi wa Dar ile kuchukuliwa hadhi ya kisiasa au cake kugawanywa tu imekuwa kero kwao. Nchi hii watu wamepata shida sana ilikuwa ukitaka chochote lazima uende Dar sasa leo watu wanayapata maeneo yao na kikubwa mji wa Serikali ukikamilika 100% ndio basi Dar ni biashara tu.Dodoma ina wingu una weza zani mvua ina nyesha kila wakati kumbe linawapa moyo tu..usha kutana na nyoka wa ngapi hadi leo
Mkuu kama miti enzi za primary tulipandishwa sana na hapo unakabidhiwa mti au kipande cha bustani ukihudumie lakini nilipita baada ya miaka mingi, bado hali ipo vile vileDabalo umenikumbusha mbali sana,hivi bwawa lipo bado
Ova
Uko sahihi mkuu hakuna kujenga bila kuwapa Ramani,Zamani ramani zilikuwa mpaka ukachague CDA!,Sasa hivi jiji.😂😂Mwanzoni nilivyokuja nilisema nini hiki. Lakini kukaa Kaa nikaona kumbe ni mindset tu. Umesema upo kikazi halafu unauliza wanajengaje bila ramani? Dodoma ipi unajenga bila ramani.?
Kuweka Frame za mbele tu walitaka turudi jiji eti kibali Cha mchoro tukapate.😂
Nakuelewa changamoto uliyopata kutoka Arusha ghafla tu uhamie Dodoma ni majonzi ya muda kiukweli.
Dar kuna joto kali, msongamano wa watu unaofanya kila kitu kuwa struggle na bado hujaongelea mvua zikinyesha. Msimbazi haipitikiDar amna vumbi na upepo mkali