Elly Andrew
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 411
- 175
Dodoma ni mahali pazuri kuishi, nimeishi maeneo mengi lakini kwa Dodoma nimefika, hali hii ya hewa ni nzuri sana kwa afya, usafiri hauna changamoto, nyumbani za kupanga ni za kutosha, hakuna foleni, unaweza kujenga nyumba katika eneo kubwa tu la kiwanja nk
Zingine ni changamoto za ugeni tu, Arusha kuna maeneo ya hovyo, Dar, Mbeya, Morogoro nk lakini naheshimu mahali ambapo wengine wanabarikiwa kuishi
Zingine ni changamoto za ugeni tu, Arusha kuna maeneo ya hovyo, Dar, Mbeya, Morogoro nk lakini naheshimu mahali ambapo wengine wanabarikiwa kuishi