Hivi mnawezaje kuishi Dodoma?

Hivi mnawezaje kuishi Dodoma?

Dodoma ni mahali pazuri kuishi, nimeishi maeneo mengi lakini kwa Dodoma nimefika, hali hii ya hewa ni nzuri sana kwa afya, usafiri hauna changamoto, nyumbani za kupanga ni za kutosha, hakuna foleni, unaweza kujenga nyumba katika eneo kubwa tu la kiwanja nk

Zingine ni changamoto za ugeni tu, Arusha kuna maeneo ya hovyo, Dar, Mbeya, Morogoro nk lakini naheshimu mahali ambapo wengine wanabarikiwa kuishi
 
Kama ni vumbi tu nahisi Arusha kuna vumbi zaidi, kama ni jua basi angalau la dom mana dom kuna upepo kama upo baharini, dom inafatia kwa mtandao mpana wa barabara baada ya Ilala, unakaa Mpwapwa? Au wewe aidha ni mwanafunzi ama mtoto unashindwa kuexplore jiji, kumradhi lakini....
Huwa nawashangaa sana wanaoichukia Dom eti kuna joto😀😀.Huku Dar ukienda kazini lazima ubebe kitambaa cha kujifutia majasho.Hatukatai Dom kuna joto(moderate) kipindi cha mchana ila usiku kuna ubaridi na kuanzia mwezi wa 6 hadi wa 9 Dom kuna baridi kama vile ya Mbeya
 
Nianze kwa kusema Nimeishi Arusha,Mwanza ,Dar Moshi, na saivi nipo Dodoma una elekea Mwaka sasa nipo uku kwa sababu za kikazi.

HALI YA HEWA
Huu mji toka nifike sijaona mvua ,mchana kuna jua kali sana na vumbi afu jion na usiku upepo mkali wa baridi kama jangwani karibia napakimbia .

MAKAZI
kwa saivi Dodoma ujenzi ndo mahala pake lakini watu hawajui kujenga kabsa ,Sizani ata kama wana tumia ramani kwenye kujenga maana wana jenga ma nyumba makubwa kama makubwa jinga afu mabaya hajapakwi rangi wala kupigwa lipu yana achwa ivyo ivyo. na madirishani wakiweka mifuko ya cement ,mabox au makaratasi ya magodoro ni kichefuchefu
Ukija kwenye bati ndo huzuni mabati marefu refu kama Mkuki

USAFIRI
Kama huna gari au sio wa kutokea STM .au STK etc uku hakufai usafiri aueleweki wala nauli hazieleweki kila mtu na nauli yake .

MAJI
Kwa mala ya kwanza nashuhudia maji ya idara ya maji yana chumvi l. kama huna kazi apakufai .maji ya kunywa ni ununue bila ivyo utakunywa chumvi uwe na meno kama ndugu zetu wa Arusha .


KAZI
Dodoma ofisi nyingi zina amia uku lakini sio sehemu bora ya kuja kuanzia maisha kama huna ramani tofauti na mikoa kama Dar,Mwanza na Arusha uku uta pauka dk 2 baada ya kushuka stand

MWISHO
nisipo ona ata mvua hii miezi ilio baki ata kwa mganga taenda nihame ofisi
Dodoma ni sehemu ya kuishi mtu mwenye ramani na pesa. ni sehemu nzuri sana kibiashara pia.
 
Nianze kwa kusema Nimeishi Arusha,Mwanza ,Dar Moshi, na saivi nipo Dodoma una elekea Mwaka sasa nipo uku kwa sababu za kikazi.

HALI YA HEWA
Huu mji toka nifike sijaona mvua ,mchana kuna jua kali sana na vumbi afu jion na usiku upepo mkali wa baridi kama jangwani karibia napakimbia .

MAKAZI
kwa saivi Dodoma ujenzi ndo mahala pake lakini watu hawajui kujenga kabsa ,Sizani ata kama wana tumia ramani kwenye kujenga maana wana jenga ma nyumba makubwa kama makubwa jinga afu mabaya hajapakwi rangi wala kupigwa lipu yana achwa ivyo ivyo. na madirishani wakiweka mifuko ya cement ,mabox au makaratasi ya magodoro ni kichefuchefu
Ukija kwenye bati ndo huzuni mabati marefu refu kama Mkuki

USAFIRI
Kama huna gari au sio wa kutokea STM .au STK etc uku hakufai usafiri aueleweki wala nauli hazieleweki kila mtu na nauli yake .

MAJI
Kwa mala ya kwanza nashuhudia maji ya idara ya maji yana chumvi l. kama huna kazi apakufai .maji ya kunywa ni ununue bila ivyo utakunywa chumvi uwe na meno kama ndugu zetu wa Arusha .


KAZI
Dodoma ofisi nyingi zina amia uku lakini sio sehemu bora ya kuja kuanzia maisha kama huna ramani tofauti na mikoa kama Dar,Mwanza na Arusha uku uta pauka dk 2 baada ya kushuka stand

MWISHO
nisipo ona ata mvua hii miezi ilio baki ata kwa mganga taenda nihame ofisi
Kwa kawaida dodoma mvua tunategemea kuanzia December na April mwishoni mvua zinaacha kabisa mpaka mwakani.
Kuhusu nyumba ulizosema mbaya na hazina rangi, hizo kila mkoa zipo inategemea wewe umefikia wapi.
Kuhusu nauli za daladala, sumatra wa dar ndo hao hao wa mikoa yote ndio waoregulate nauli. Achaga kauongo !
 
Nianze kwa kusema Nimeishi Arusha,Mwanza ,Dar Moshi, na saivi nipo Dodoma una elekea Mwaka sasa nipo uku kwa sababu za kikazi.

HALI YA HEWA
Huu mji toka nifike sijaona mvua ,mchana kuna jua kali sana na vumbi afu jion na usiku upepo mkali wa baridi kama jangwani karibia napakimbia .

MAKAZI
kwa saivi Dodoma ujenzi ndo mahala pake lakini watu hawajui kujenga kabsa ,Sizani ata kama wana tumia ramani kwenye kujenga maana wana jenga ma nyumba makubwa kama makubwa jinga afu mabaya hajapakwi rangi wala kupigwa lipu yana achwa ivyo ivyo. na madirishani wakiweka mifuko ya cement ,mabox au makaratasi ya magodoro ni kichefuchefu
Ukija kwenye bati ndo huzuni mabati marefu refu kama Mkuki

USAFIRI
Kama huna gari au sio wa kutokea STM .au STK etc uku hakufai usafiri aueleweki wala nauli hazieleweki kila mtu na nauli yake .

MAJI
Kwa mala ya kwanza nashuhudia maji ya idara ya maji yana chumvi l. kama huna kazi apakufai .maji ya kunywa ni ununue bila ivyo utakunywa chumvi uwe na meno kama ndugu zetu wa Arusha .


KAZI
Dodoma ofisi nyingi zina amia uku lakini sio sehemu bora ya kuja kuanzia maisha kama huna ramani tofauti na mikoa kama Dar,Mwanza na Arusha uku uta pauka dk 2 baada ya kushuka stand

MWISHO
nisipo ona ata mvua hii miezi ilio baki ata kwa mganga taenda nihame ofisi
Bei ya nyumba umesahau ,nyumba ni ghali sana dodoma
 
Kwa kawaida dodoma mvua tunategemea kuanzia December na April mwishoni mvua zinaacha kabisa mpaka mwakani.
huyo jamaa ni walewale "hater" nina wasiwasi kama kweli amewahi kufika Dom manake anajichanganya mwenyewe anasema eti anakaribia mwakamzima hajaona mvua wakati msimu wa masika mwakahuu Dom mvua ilinyesha ya kutosha hadi kuvunja rekodi😀😀
 
Nianze kwa kusema Nimeishi Arusha,Mwanza ,Dar Moshi, na saivi nipo Dodoma una elekea Mwaka sasa nipo uku kwa sababu za kikazi.

HALI YA HEWA
Huu mji toka nifike sijaona mvua ,mchana kuna jua kali sana na vumbi afu jion na usiku upepo mkali wa baridi kama jangwani karibia napakimbia .

MAKAZI
kwa saivi Dodoma ujenzi ndo mahala pake lakini watu hawajui kujenga kabsa ,Sizani ata kama wana tumia ramani kwenye kujenga maana wana jenga ma nyumba makubwa kama makubwa jinga afu mabaya hajapakwi rangi wala kupigwa lipu yana achwa ivyo ivyo. na madirishani wakiweka mifuko ya cement ,mabox au makaratasi ya magodoro ni kichefuchefu
Ukija kwenye bati ndo huzuni mabati marefu refu kama Mkuki

USAFIRI
Kama huna gari au sio wa kutokea STM .au STK etc uku hakufai usafiri aueleweki wala nauli hazieleweki kila mtu na nauli yake .

MAJI
Kwa mala ya kwanza nashuhudia maji ya idara ya maji yana chumvi l. kama huna kazi apakufai .maji ya kunywa ni ununue bila ivyo utakunywa chumvi uwe na meno kama ndugu zetu wa Arusha .


KAZI
Dodoma ofisi nyingi zina amia uku lakini sio sehemu bora ya kuja kuanzia maisha kama huna ramani tofauti na mikoa kama Dar,Mwanza na Arusha uku uta pauka dk 2 baada ya kushuka stand

MWISHO
nisipo ona ata mvua hii miezi ilio baki ata kwa mganga taenda nihame ofisi
Hauna kiwanja ulichonunia uniuzie maana aisee Dodoma hapafai?
 
Nimeishi mikoa takribani 21 ya TZ BARA, ukiacha Kagera, Rukwa, Ruvuma, Katavi na Mtwara. Kila eneo kuna raha zake na karaha zake:-

DAR - msimu wa mvua hakufai, ni mji wa starehe na utafutaji pesa..kila biashara inatoka!
ARUSHA/MOSHI - mji wa starehe haswaa, na gharama za maisha zipo juu, hali ya hewa safi
MWANZA - pilika nyingi, starehe na biashara kadhaa
KIGOMA - hali nzuri ya hewa, vyakula kibao bei nusu, hakunaga njaa!
IRINGA - mji wa vyakula, hali ya hewa bariiiidi
DODOMA/SINGIDA - mvua chache kwa mwaka, baridi na upepo mkali kiangazi, maisha simpo!
nk...nk.....

Hata hivyo, binadamu tumeumbwa kuyazoea mazingira. Kwa mpambanaji wa kweli mbali na maradhi, kila mji/mkoa unaweza kuishi na mambo yakaenda.
Sijawahi shindwa kuishi Mkoa wowote ila extremely joto kama Dar hapana na extremely baridi kama Njombe sitaki.
 
Hivi toka lini mvua ndio imekuwa main factor? mikoa mingi yenye kupata mvua nyingi kwa mwaka tena nyingi sana lakini haina fusra. Mimi nahisi kunachuki nyingi sana kutoka kwa wakazi wa Dar ile kuchukuliwa hadhi ya kisiasa au cake kugawanywa tu imekuwa kero kwao. Nchi hii watu wamepata shida sana ilikuwa ukitaka chochote lazima uende Dar sasa leo watu wanayapata maeneo yao na kikubwa mji wa Serikali ukikamilika 100% ndio basi Dar ni biashara tu.
Ndio kinachoendelea hapa.

Sasa hao wa Dar wavumilie tuu kwamba Dom hakuna uswazi na Wala haitakuja kuwa na uswazi Wala Msongamano wa kisenge kisenge kama huko Dar kunakonuka.
 
Nianze kwa kusema Nimeishi Arusha,Mwanza ,Dar Moshi, na saivi nipo Dodoma una elekea Mwaka sasa nipo uku kwa sababu za kikazi.

HALI YA HEWA
Huu mji toka nifike sijaona mvua ,mchana kuna jua kali sana na vumbi afu jion na usiku upepo mkali wa baridi kama jangwani karibia napakimbia .

MAKAZI
kwa saivi Dodoma ujenzi ndo mahala pake lakini watu hawajui kujenga kabsa ,Sizani ata kama wana tumia ramani kwenye kujenga maana wana jenga ma nyumba makubwa kama makubwa jinga afu mabaya hajapakwi rangi wala kupigwa lipu yana achwa ivyo ivyo. na madirishani wakiweka mifuko ya cement ,mabox au makaratasi ya magodoro ni kichefuchefu
Ukija kwenye bati ndo huzuni mabati marefu refu kama Mkuki

USAFIRI
Kama huna gari au sio wa kutokea STM .au STK etc uku hakufai usafiri aueleweki wala nauli hazieleweki kila mtu na nauli yake .

MAJI
Kwa mala ya kwanza nashuhudia maji ya idara ya maji yana chumvi l. kama huna kazi apakufai .maji ya kunywa ni ununue bila ivyo utakunywa chumvi uwe na meno kama ndugu zetu wa Arusha .


KAZI
Dodoma ofisi nyingi zina amia uku lakini sio sehemu bora ya kuja kuanzia maisha kama huna ramani tofauti na mikoa kama Dar,Mwanza na Arusha uku uta pauka dk 2 baada ya kushuka stand

MWISHO
nisipo ona ata mvua hii miezi ilio baki ata kwa mganga taenda nihame ofisi
Ebu tuachie jiji letu, ukipashindwa kuishi wapo wengine wataweza.

Sio kila mahala ni pa kila mtu.
 
Huo ni uongo mkubwa, Mimi sio mwenyeji wa Dodoma,Hali ya Dodoma ni nusu jangwa sikatai,ardhi yake Ina rutuba sana,mshindi na mazao hawatumii mbolea za viwandani.Kuhusu ujenzi mafundi Kwa kweli ni ghari kulinganisha na kwetu Mbeya!Nyumba nyingi zimejengwa kwa kufuata ramani zilizokuwepo zamani ikiitwa CDA,Hayo mengine ni yeye kutokubaliana kuishi Dodoma.Pana fursa nyingi sana,Mfano ufugaji,kilimo,hakuna zao halikubali Dodoma ni Wewe tuu kujipanga.Nina miaka kumi sitamani kurudi Mbeya.Maana ardhi Mbeya ni finyu sana.
Kiufupi ukifika Dom Jiji lote ni jipya sio sawa na huko Mikoani Dar au kwingine kukikojaa uswazi na uswahili.

Binafsi napenda kuishi Dom sema ndio Sina fursa Kwa Sasa
 
Watu wanaishi Khartoum hakuna miti na joto 40°C ndio ushindwe kuishi Dodoma?

Usipoishi Dodoma kwenye pesa utaishia wapi pengine? Acha uzushi wa kijinga
Ishi popote unapotaka mimi sijakupangia.
Sijawahi shindwa kuishi Mkoa wowote ila extremely joto kama Dar hapana na extremely baridi kama Njombe sitaki.
Kama ambavyo hupataki Dar na Njombe. Nami ndivyo sipataki Dodoma.
 
Back
Top Bottom