Hivi mnawezaje kuishi Dodoma?

Hivi mnawezaje kuishi Dodoma?

Nimepita na SGR Dom to Dar,angalia zile nyumba pembeni ya reli kuanzia Pugu,Ukonga yote,mpaka Buguruni jinsi zilivyochoka unaweza kulinganisha na wapi pale Dodoma,mnajua kweli kujifariji...
 
😀😀Kumbe kule walipojenga Udom ni vichuguu!!?,Kwa Waziri Mkuu Area D ni vichuguu!!? ,Imagi Hill kwenye minara ni vichuguu...!!? Ihumwa Jeshini ni vichuguu..!!?, Ikulu ni vichuguu..!!? Milima nyuma ya gereza la Isanga ni vichuguu...!!?
Chuki+wivu ni hatari kwa afya yako aisee
Dodoma desert wanaishi rango uku
 

Attachments

  • Screenshot_20241015_164736_Google.jpg
    Screenshot_20241015_164736_Google.jpg
    154.2 KB · Views: 2
Ukienda Dom kwa akili za kivulana hutapaweza kwasababu hakuna kujuana, ukitaka kuishi kichawa huna kazi ya kukuingizia kipato unashikishwa ukuta unapoteza marinda mchana kweupe...
Mwanaume rijali huwez kulalamika changamoto ya hali ya hewa usafiri na maji, kama ulienda kufikia kwa mume wa dada lazima uone maisha ya kule ni magumu...
Lakini kwasasa Tanzania mkoa pekee wa kuishi na kufanya maisha ni Dom
 
huyo jamaa ni walewale "hater" nina wasiwasi kama kweli amewahi kufika Dom manake anajichanganya mwenyewe anasema eti anakaribia mwakamzima hajaona mvua wakati msimu wa masika mwakahuu Dom mvua ilinyesha ya kutosha hadi kuvunja rekodi😀😀
Kwamba
 

Attachments

  • Screenshot_20241015_165350_Maps.jpg
    Screenshot_20241015_165350_Maps.jpg
    693.6 KB · Views: 4
huyo jamaa ni walewale "hater" nina wasiwasi kama kweli amewahi kufika Dom manake anajichanganya mwenyewe anasema eti anakaribia mwakamzima hajaona mvua wakati msimu wa masika mwakahuu Dom mvua ilinyesha ya kutosha hadi kuvunja rekodi😀😀
Amna mtu mwenye akili aweke hate na hili jangwa
 
Bei ya nyumba umesahau ,nyumba ni ghali sana dodoma
Hili ni la ukweli, ila hilo linachangiwa na ubora wa nyumba zenyewe, kutokana na baridi kali usiku na upepo nyumba nyingi zinawekwa vioo....sasa nyumba dirisha la kioo kupanga kwa kodi ya 50k co rahisi sana, nyumba nyingi dom ni za kifamilia na co za kupanga...hilo linachangia pia kodi kuwa juu
Dodoma hakuna milima wala mito hata mmoja ila vichuguu kibao.
Dodoma hakuna milima wala mito hata mmoja ila vichuguu kibao.
 
Vipi kuhusu UTI, nasikia UTI ya huko ni Kali sana kutokana na uhaba wa maji kwa wahusika
 
Kwa ujumla mtu kama huyu ni dizaini ya watu wanaotegemea kufa wakiajiliwa na hata ukimpeleka ulaya hawez kuona fursa.
Kila sehemu Ina uzuri wake na ubaya wake, kwa ujumla kwa mtu anayekuja kwa kutokea dar akitaka ayaishi maisha ya dar lazima ikuwie vigumu.
Tujaribu kujifunza fursa Kila tunapoenda .
Kuna watu walitoka dar miaka ya 2018 wakiwa hawana chochote ila Leo ni mamilionea kwa sababu ya uvumilivu.
Kuna mtu alihamia 2018 akanunua 10 eka mipango kwa 1.8 mil Leo hii anauza sq 30*30 karibia 10mil .
Kila sehemu ni fursa na asilimia kubwa ya watumishi waliko nje ya dar wanaishi maisha na miradi mizuri tu kuliko hata wa dar.
Dar ni pazuri ukitaka kufungua tai na kukaa kwenye kiyoyozi .
Kama dodoma ni pa ovyo vipi mtwara ?
 
Nilikuwa nimejifanya ngunguri nikaenda pale Chef Asili kusubiri basi mida ya saa moja.Nilipigwa na baridi mpaka nikanunua uji wa mchele bila kupenda.Kuna upepo Dodoma usiku sijawahi ona.
😅afu wagogo wabishi wanaendesha boda bila helmet na ule upepo
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Back
Top Bottom