Hivi mnawezaje kuwapeleka watoto wenu wa kike wakafanye kazi za ulinzi?

Hivi mnawezaje kuwapeleka watoto wenu wa kike wakafanye kazi za ulinzi?

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Binafsi siamini katika 50/50 na sijawahi kuamini kuwa mwanamke anaweza kuwa sawa na mwanaume

Inatokea mzazi unampeleka mtoto wakoJKT aje awe mlinzi wa makampuni anakesha akiwa lindo ni ajabu hii kuwa hakuna kazi nyingine?

Tumeona vita nyingi duniani kama kule middle east na Ukraine Frontline haina soldiers wa kike hii ni dhahili kuwa mtoto wa kike sio wa tasnia ya ulinzi, wako soft sana na siku zote ni wa kupambaniwa na wanaume

Tofauti na vigogo ambao hata watoto wao wakiwa wanajeshi na askari huwa katika vitengo maalum ambavyo kwa namna moja au nyingine wanakuwa hawahusiki na mission ngumu ngumu na lindo, kwa masikini mwenzangu kumpeleka mtoto wako akafanye kazi za ulinzi ni ukosefu wa uwajibikaji kwa mtoto wa kike ni hayo tu.
 
Kitanda usichokilala hujui kunguni wake! Kwa kifupi hujui wala hauna ufahamu na ulisemalo. Hakuna mzazi anayependa Binti yake ataabike au afanye kazi za aina hiyo ni kwamba wakati mwingine hakuna chaguo inabidi iwe hivyo tu.
 
Binafsi siamini katika 50/50 na sijawahi kuamini kuwa mwanamke anaweza kuwa sawa na mwanaume

Inatokea mzazi unampeleka mtoto wako jkt aje awe mlinzi wa makampuni anakesha akiwa lindo ni ajabu hii kuwa hakuna kazi nyingine?

Tumeona vita nyingi duniani kama kule middle east na Ukraine Frontline haina soldiers wa kike hii ni dhahili kuwa mtoto wa kike sio wa tasnia ya ulinzi, wako soft sana na siku zote ni wa kupambaniwa na wanaume

Tofauti na vigogo ambao hata watoto wao wakiwa wanajeshi na askari huwa katika vitengo maalum ambavyo kwa namna moja au nyingine wanakuwa hawahusiki na mission ngumu ngumu na lindo, kwa masikini mwenzangu kumpeleka mtoto wako akafanye kazi za ulinzi ni ukosefu wa uwajibikaji kwa mtoto wa kike ni hayo tu.
Sababu kubwa ni umasikini,unakuta hio ndio "option" pekee iliyobaki.
Maisha ya bongo ni one man show,hakuna ndugu wa kukusaidia
Waarabu wanaishi kiundugu kama uislam ulivoandikwa kwenye QURAN,unaweza lelewa na mama mdogo ama mjomba kama tu mtoto wako,ndio maana hata homeless kule U.S huwezi Kuta mwaarabu,
Umeshawahi ona omba omba mwaarabu?
Waarabu ni watu wanaouishi uislam na kwenye uislam Kuna clear cut kati ya majukumu ya kike na ya kiume,ukiwemo vita.......Saudi Arabia ina maendeleo mara 100 ya Tz,ila hata kuendesha gari Sheria haina hata miaka 5 ndio imeruhusu,tena asiwe mwanamke peke yake
 
Tumeona vita nyingi duniani kama kule middle east na Ukraine Frontline haina soldiers wa kike hii ni dhahili kuwa mtoto wa kike sio wa tasnia ya ulinzi, wako soft sana na siku zote ni wa kupambaniwa na wanaume
Hujaona Kumbe ?

 

Attachments

  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    10 KB · Views: 5
  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    11.1 KB · Views: 5
  • images (7).jpeg
    images (7).jpeg
    11.5 KB · Views: 6
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    11.7 KB · Views: 4
  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    6.4 KB · Views: 4
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    12.7 KB · Views: 2
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    11.9 KB · Views: 2
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    11.8 KB · Views: 4
  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    15.2 KB · Views: 2
  • download (2).jpeg
    download (2).jpeg
    15 KB · Views: 2
  • download (1).jpeg
    download (1).jpeg
    11.5 KB · Views: 3
Kitanda usichokilala hujui kunguni wake! Kwa kifupi hujui wala hauna ufahamu na ulisemalo. Hakuna mzazi anayependa Binti yake ataabike au afanye kazi za aina hiyo ni kwamba wakati mwingine hakuna chaguo inabidi iwe hivyo tu.
Kuna binti alikuwa Suma jkt,alikuwa na maisha magumu sana,sijui wanalipwa sh.ngapi
 
Binafsi siamini katika 50/50 na sijawahi kuamini kuwa mwanamke anaweza kuwa sawa na mwanaume

Inatokea mzazi unampeleka mtoto wako jkt aje awe mlinzi wa makampuni anakesha akiwa lindo ni ajabu hii kuwa hakuna kazi nyingine?

Tumeona vita nyingi duniani kama kule middle east na Ukraine Frontline haina soldiers wa kike hii ni dhahili kuwa mtoto wa kike sio wa tasnia ya ulinzi, wako soft sana na siku zote ni wa kupambaniwa na wanaume

Tofauti na vigogo ambao hata watoto wao wakiwa wanajeshi na askari huwa katika vitengo maalum ambavyo kwa namna moja au nyingine wanakuwa hawahusiki na mission ngumu ngumu na lindo, kwa masikini mwenzangu kumpeleka mtoto wako akafanye kazi za ulinzi ni ukosefu wa uwajibikaji kwa mtoto wa kike ni hayo tu.
Asante kwa kuliona hilo, sijui atalea watoto saa ngapi?
 
Kwa sasa hakuna kazi ya mwanaume wala mwanamke ni 50/50 wacha mvua inyeshe tuone panapovuja
 
Back
Top Bottom