Hivi mnawezaje kuwapeleka watoto wenu wa kike wakafanye kazi za ulinzi?

Hivi mnawezaje kuwapeleka watoto wenu wa kike wakafanye kazi za ulinzi?

Binafsi siamini katika 50/50 na sijawahi kuamini kuwa mwanamke anaweza kuwa sawa na mwanaume

Inatokea mzazi unampeleka mtoto wako jkt aje awe mlinzi wa makampuni anakesha akiwa lindo ni ajabu hii kuwa hakuna kazi nyingine?

Tumeona vita nyingi duniani kama kule middle east na Ukraine Frontline haina soldiers wa kike hii ni dhahili kuwa mtoto wa kike sio wa tasnia ya ulinzi, wako soft sana na siku zote ni wa kupambaniwa na wanaume

Tofauti na vigogo ambao hata watoto wao wakiwa wanajeshi na askari huwa katika vitengo maalum ambavyo kwa namna moja au nyingine wanakuwa hawahusiki na mission ngumu ngumu na lindo, kwa masikini mwenzangu kumpeleka mtoto wako akafanye kazi za ulinzi ni ukosefu wa uwajibikaji kwa mtoto wa kike ni hayo tu.
Mission nyingi ngumu zinafanywa na wanawake ila Mission nyingi hatarishi kwa uhai zinafanywa na wanaume.

Kila taasisi lazima wanawake wawepo otherwise itakuwa kazi ya utumwa kama miaka na miaka watakuwa watu wa jinsia moja tu.

Kukiwa na wanaume tu kwenye vyombo vya ulinzi tutazalisha wabakaji na mashoga wengi sana mwishowe dunia haitakuwa sehemu salama tena.
 
Sijajua ulitaka kumaanisha nini?

Kwanza kwenda JKT hasa ya kujitolea muhusika mara nyingi ndo anakuwa na msukumo wa ndani...... akiamini anaenda kuwa labda askari kwenye jeshi au taasisi nyinginezo za ulinzi...

Kwenda JKT pia kulitokana na mazingira pengine Hana option nyingine zaidi ya kwenda JKT akiamini huko atatimiza lengo lake.....

Kwenda JKT inaaminika ni njia ya kwenda kukuza vipaji na ubunifu plus kujifunza stadi kazi za maisha mfano kilimo, ufugaji, music, upishi, ufundi, udereva wapo waliotoka majumbani mwao hawana skills yoyote kufika kule wakajikuta wanaongeza ujuzi kwa namna moja ama nyingne....

Kwenda JKT na kuajiriwa makampuni ya ulinzi ni vitu viwili tofauti.....

Nijuavyo JKT ni shule mama ya kuwaandaa vijana tayari kulitumikia Taifa kupitia uzalendo...... Ambapo badae zikitoka ajira za jeshini ama taasisi nyinginezo za ulinzi km police, uhamiaji inakuwa rahisi kwa mtu aliyefuzu kutoka JKT kama mafunzo ya awali.....

Kutokana na changamoto za ajira majeshini inawalazimu watafute mbadala wa kazi wakisubiri hizo ajira jeshini ndo utakuta wameajiriwa maybe makampuni ya ulinzi......

Yapo makampuni ya ulinzi ambayo hata la saba au form four anaenda ili mradi ujue kusoma na kuandika......

Vijana maua...... Popote huchanua

Twendeni Tukalijenge Taifa.....

Mamaa walilee, mamaaa walileee

Mama walileee mamaa walilee


Iyoo mamaah iyoooh....

Iyoo mamaah iyoooh

Iyoo mamaah iyoooh.... Maah...

822kj
Wewe ni wa kike au wakiume mkuu?
 
Inatokea mzazi unampeleka mtoto wako jkt aje awe mlinzi wa makampuni anakesha akiwa lindo ni ajabu hii kuwa hakuna kazi nyingine?
Si bora hao wanapata pesa halali kwa nguvu na akili zao. Ushajiuliza umesomesha mtoto vizuri bado anakuja kuwa li malaya. Yan ameshindwa kutumia uwezo wa kuchanganua mambo akachanganua apate ajira nzuri bila kuuchosha mwili wake.
 
Si bora hao wanapata pesa halali kwa nguvu na akili zao. Ushajiuliza umesomesha mtoto vizuri bado anakuja kuwa li malaya. Yan ameshindwa kutumia uwezo wa kuchanganua mambo akachanganua apate ajira nzuri bila kuuchosha mwili wake.
Hakuna bora hapo vyote ni sawa wewe ke ikeshe usiku mzima akiwa lindo bado hajapigwa miti tu fikiria mara mbili
 
Mission nyingi ngumu zinafanywa na wanawake ila Mission nyingi hatarishi kwa uhai zinafanywa na wanaume.

Kila taasisi lazima wanawake wawepo otherwise itakuwa kazi ya utumwa kama miaka na miaka watakuwa watu wa jinsia moja tu.

Kukiwa na wanaume tu kwenye vyombo vya ulinzi tutazalisha wabakaji na mashoga wengi sana mwishowe dunia haitakuwa sehemu salama tena.
Ni sawa ila sio kwa mtoto wangu siwezi kumtoa sadaka akawe mboga huko na tabu juu
 
Hakuna bora hapo vyote ni sawa wewe ke ikeshe usiku mzima akiwa lindo bado hajapigwa miti tu fikiria mara mbili
Sasa afanye nini? Analea mtoto wake aliyeachwa na baba mpuuzi, analea wadogo zake, na familia nzima. Akadange muje mumuanzishie uzi humu?

Hebu tuwapunguzie aseeh. Waache hawa viumbe
 
Sasa afanye nini? Analea mtoto wake aliyeachwa na baba mpuuzi, analea wadogo zake, na familia nzima. Akadange muje mumuanzishie uzi humu?

Hebu tuwapunguzie aseeh. Waache hawa viumbe
Wewe kama baba umefanya nini kumsaidia huyo mtoto hadi awe hivyo acha kukwepa majukum yako
 
Binafsi siamini katika 50/50 na sijawahi kuamini kuwa mwanamke anaweza kuwa sawa na mwanaume

Inatokea mzazi unampeleka mtoto wako jkt aje awe mlinzi wa makampuni anakesha akiwa lindo ni ajabu hii kuwa hakuna kazi nyingine?

Tumeona vita nyingi duniani kama kule middle east na Ukraine Frontline haina soldiers wa kike hii ni dhahili kuwa mtoto wa kike sio wa tasnia ya ulinzi, wako soft sana na siku zote ni wa kupambaniwa na wanaume

Tofauti na vigogo ambao hata watoto wao wakiwa wanajeshi na askari huwa katika vitengo maalum ambavyo kwa namna moja au nyingine wanakuwa hawahusiki na mission ngumu ngumu na lindo, kwa masikini mwenzangu kumpeleka mtoto wako akafanye kazi za ulinzi ni ukosefu wa uwajibikaji kwa mtoto wa kike ni hayo tu.
Sasa sheria inasema wanawake wasachiwe na wanawake wenzao, nani atawasachi kusipokua na wanawake walinzi ?
 
Back
Top Bottom