Hivi mpinzani wa Rais Samia ni nani?

Hivi mpinzani wa Rais Samia ni nani?

Urais wake unaweza kuwa unatishiwa na nani? kwa maana nguvu kubwa inatumika kumfanyia kampeni kila mahali t shirt zinavaliwa mabango kila mahali sasa against who?

Kutoka vyama vya upinzani pia sioni mpinzani kwani hata vyama vingine vinampigia kampeni na kumtetea, sasa hofu ya nini na kwa nani?

Rais Samia ni mwenyekiti wa CCM ndiye mkuu wa karibia kila mtu serikalini na kwenye chama pia, sasa mpinzani wa kutishia power yake ni nani hadi nguvu kubwa hivyo itumike?

Je, kuna yanayoendelea ndani kwa ndani?

2025/30 tuna raisi mpya (kikatiba)
vyama vyenye dira, malengo, makusudi na madhumuni ya kujizatiti kushinda uchaguzi, kushika dola, kuunda serikali na kuwatumikia wanainchi, hakipoi wala kutulia kujipambanua na kujitambulisha kwa namna mbalimbali miongoni mwa jamii .....

vyama visivyo na uelekeo hukumbuka shuka asubuhi
 
Urais wake unaweza kuwa unatishiwa na nani? kwa maana nguvu kubwa inatumika kumfanyia kampeni kila mahali t shirt zinavaliwa mabango kila mahali sasa against who?

Kutoka vyama vya upinzani pia sioni mpinzani kwani hata vyama vingine vinampigia kampeni na kumtetea, sasa hofu ya nini na kwa nani?

Rais Samia ni mwenyekiti wa CCM ndiye mkuu wa karibia kila mtu serikalini na kwenye chama pia, sasa mpinzani wa kutishia power yake ni nani hadi nguvu kubwa hivyo itumike?

Je, kuna yanayoendelea ndani kwa ndani?

2025/30 tuna raisi mpya (kikatiba)
Ni kazi ya wapambe tu yeye kama yeye hana mpinzani kwani hatogombea 2025.
 
Urais wake unaweza kuwa unatishiwa na nani? kwa maana nguvu kubwa inatumika kumfanyia kampeni kila mahali t shirt zinavaliwa mabango kila mahali sasa against who?

Kutoka vyama vya upinzani pia sioni mpinzani kwani hata vyama vingine vinampigia kampeni na kumtetea, sasa hofu ya nini na kwa nani?

Rais Samia ni mwenyekiti wa CCM ndiye mkuu wa karibia kila mtu serikalini na kwenye chama pia, sasa mpinzani wa kutishia power yake ni nani hadi nguvu kubwa hivyo itumike?

Je, kuna yanayoendelea ndani kwa ndani?

2025/30 tuna raisi mpya (kikatiba)
Anajijua anatakiwa aachie ngazi ndio maana yeye na wapambe wake wanahangaika bure.
 
Yaaahh ndio ipo hivo, na kama vyama pinzani wataenda na hii style basi itawachanganya zaidi chama tawala. Na sometimes anadata zaidi akifikiria kwamba hata ndani ya chama chake kuna watu wana pambana kumtoa pale kimya kimya.....!! Ila tatzo ni kwamba hapati picha clear mpaka dk hii.
Vyama vya upinzani vimekuja na mkakati chonganishi na naona ni hatari sana kisiasa japo jamii inanufaika. Wakipata ishu wanaenda na ishu,mteule wa sekta husika (hapa wanagusa ya taaluma,kazi na maisha binafsi) na chama kabisa. Najiuliza kwa trend hiyo by 2025 nani atakuwa na credibility ya kumsemea? Yajayo yatatushangaza pengine.
 
yeah D.Trump is back, God Bless D.Trump …
Don’t bank on that.

Hakika atapata nomination ya Republicans chama alichokiteka kwa mbwembe zake. LAKINI kwenye uchaguzi mkuu atarajie “protest vote” kubwa toka kwa wananchi ambao wengi ni liberals.
 
Wapinzani wenyewe hawaelewi nani wamsimamishe kuwa wakilisha kwenye u Rais

Samia hana mpinzani ila si kwamba anafanya vitu vizuri ila tu n hamna wakumrithi.

hivyo ataendelea tu huyo huyo sababu haonekan mbadala wake.

wangeruhusu Mgombea Binafsi 2025 yangeibuka majina mengi mazuri ila sababu katiba hairuhusu inataka watu wanaotoka kwenye vyama vya siasa.

2025 sioni chama pinzani cha kusimamisha mtu mwenye point kumshinda SAMIA.
 
Wapinzani wenyewe hawaelewi nani wamsimamishe kuwa wakilisha kwenye u Rais

Samia hana mpinzani ila si kwamba anafanya vitu vizuri ila tu n hamna wakumrithi.

hivyo ataendelea tu huyo huyo sababu haonekan mbadala wake.

wangeruhusu Mgombea Binafsi 2025 yangeibuka majina mengi mazuri ila sababu katiba hairuhusu inataka watu wanaotoka kwenye vyama vya siasa.

2025 sioni chama pinzani cha kusimamisha mtu mwenye point kumshinda SAMIA.

Upinzani wamsimamishe mgombea Sasa hivi? Kwani NEC wametangaza?. Ni CCM kwa uoga wao wameanza kampeni mapema.

Halafu wewe unamuona Samiah ana ushawishi gani?. Huyu Samiah hata akisimamishwa na Mzee wa ubwabwa hatoboi. Samiah ana ushawishi gani?
 
Nitashangaa Sana Samiah akichukua fomu 2025?. Nitashangaa Sana. Aondoke tupate rais atakaye shughulikia na matatizo ya wananchi moja kwa moja.
 
Wapinzani wenyewe hawaelewi nani wamsimamishe kuwa wakilisha kwenye u Rais

Samia hana mpinzani ila si kwamba anafanya vitu vizuri ila tu n hamna wakumrithi.

hivyo ataendelea tu huyo huyo sababu haonekan mbadala wake.

wangeruhusu Mgombea Binafsi 2025 yangeibuka majina mengi mazuri ila sababu katiba hairuhusu inataka watu wanaotoka kwenye vyama vya siasa.

2025 sioni chama pinzani cha kusimamisha mtu mwenye point kumshinda SAMIA.
Kwa ujumla wananchi wamepuuza siasa. Na hata akitokea mpinzani mwenye point kuliko Samia, Bado hakuna mazingira ya ushindani wa kweli Bali hadaa. Inshort hakuna uchaguzi Tanzania Bali kuna upuuzi wa kawaida sana. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha imani ya wananchi kwenye chaguzi zetu.
 
PM achukue Maamuzi magumu aje CDM Hana Cha kupoteza, atachukua nchi mapemaa.....Hana kashifa ya wiziii ukiacha Uongo ambao unavumilika.
 
Back
Top Bottom