Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UumbwaaaKwanini dear. Bro wangu Maghayo akubembeleze?
Nyau weweNdio mnanitusi au? Maghayo niziache hizi mbuzi ziliwe na fisi malishoni?
Wewe ndiye unamtuma?🙄Nyau wewe
Mno na ndiyo maana nikizipataga huwa nazibandua kwa Hasira zote hadi nahakikisha zinavimba / wanajamba mno.Inaonekana unaipataga kwa mbinde sana 😁
We unacheza naye video game wenzio wanacheza naye michezo ya mikasi shauri yako hawana formula angalia linalowezekana wakati huoMambo vipi wakuu?
Binafsi naamini wakati wote Mrembo anapokuja ghettoni kwako si lazima Mjigijane...
Muda mwingine unaweza ukaishia kupiga nae Story tu..... au Mkacheki Muvi.... au Mkacheza video games....
Naamini ni kuonesha umekua kihisia hata kuongeza uaminifu kwa Mwenzako...
We unaonaje au ni mwendo wa kupeleka moto tu... 🔥🔥
Sio kila siku,,kila nikija kwakoYaani unataka kilasiku mpaka kifo kitutenganishe duuh...
Kazi ni...Mambo vipi wakuu?
Binafsi naamini wakati wote Mrembo anapokuja ghettoni kwako si lazima Mjigijane...
Muda mwingine unaweza ukaishia kupiga nae Story tu..... au Mkacheki Muvi.... au Mkacheza video games....
Naamini ni kuonesha umekua kihisia hata kuongeza uaminifu kwa Mwenzako...
We unaonaje au ni mwendo wa kupeleka moto tu... 🔥🔥
Acha ujinga wewe
Kama kaja anautaka mjegeje
Stori akapige na mashosti zake