Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Ndoman nikaja,,kuchek muvi umeambiwa kwetu hakuna tvYaah,, kwamfano ukija 3mfululizo , zote utataka..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoman nikaja,,kuchek muvi umeambiwa kwetu hakuna tvYaah,, kwamfano ukija 3mfululizo , zote utataka..?
Namna io,,acha uzembe kijana watakusaidia,,ukiona kaja ujue kautaka😂😂 Bhasi we will go your Way..
Tuseme inategemea maybe wewe mnakutana kwa Mbinde sana kwahyo ukipata nafasi unaitumia..Namna io,,acha uzembe kijana watakusaidia,,ukiona kaja ujue kautaka
Sasa nayey kila siku anafata nini,,kama kufua na usafi siku mbili si zinatoshaTuseme inategemea maybe wewe mnakutana kwa Mbinde sana kwahyo ukipata nafasi unaitumia..
Mfano mimi GF wangu yeye hana kazi .. Mara nyingi anakua Home!! Ukute sasa mimi niko Free wiki nzima , Kwahiyo lazima anitembelee kila siku...
Sasa sio lazima Tugigije kila siku japo Tusipoonana mda Mrefu may be Tatu kavu au Wiki hio hainaga kuremba...
Ila kwa kukutana Mfululizo Tunaweza tukaruka leo Then kesho Show show...
Hii under 18 bila shaka.(kizazi cha fb)Mambo vipi wakuu?
Binafsi naamini wakati wote Mrembo anapokuja ghettoni kwako si lazima Mjigijane...
Muda mwingine unaweza ukaishia kupiga nae Story tu..... au Mkacheki Muvi.... au Mkacheza video games....
Naamini ni kuonesha umekua kihisia hata kuongeza uaminifu kwa Mwenzako...
We unaonaje au ni mwendo wa kupeleka moto tu... 🔥🔥
wacha aendelee kuja tuSasa aende wapi, Kushinda peke ake anakua Bored!!
Mimi napend kukujigijigi mpaka unanichukia hahaha
Mshenga wangu huyo atakuleta Ngarenaro MaghayoWewe ndiye unamtuma?🙄
Ndoivo mkuuYah ukifululiza lazma upate Delayed ejaculation, Mapumziko ni muhimu mkuu